Subira the princess
JF-Expert Member
- Mar 3, 2018
- 3,474
- 3,744
mmmmhMjumbe wa kamati kuu ya Chadema mh Boniface Jacob amesema hadi leo jumla ya mawakili wasomi 386 wamejitokeza na kujiandikisha kumtetea Freeman Mbowe mahakamani siku ya Agost 5 katika mahakama ya kisutu jijini Dar es salaam.
Nawasalimu kwa jina la JMT.
My take; Huu utitiri wa mawakili siyo maandamano kweli?
Acha uongo. Unadhani kumtetea mtu mahakamani unajiandikisha kama shule?Mjumbe wa kamati kuu ya Chadema mh Boniface Jacob amesema hadi leo jumla ya mawakili wasomi 386 wamejitokeza na kujiandikisha kumtetea Freeman Mbowe mahakamani siku ya Agost 5 katika mahakama ya kisutu jijini Dar es salaam.
Nawasalimu kwa jina la JMT.
My take; Huu utitiri wa mawakili siyo maandamano kweli?
Mm sio chadema wala ccm ila mbowe hua nasema huyu jamaa ni kichwa sana maana kaisimamisha chadema na kua chama pinzani kikuuu tz pia kwa misuko suko anayo pata km ingekua mm nilisha acha siasa maana km pesa anayo.Sasa leo unakuta paka moja hata pale mtaani kwao tu hata familia yao wanaliona ni kenge fulani halina hata mbele wala nyuma.Kisa kanununa kitecno chake basi kutwa kumtukana mbowe hebu tumpe heshima yake jamaa na km ana hatia tuache mahakama ifanye kazi.Bavicha akili zenu ni pumba yani nyie nima popoma wa kiwango cha SGR ndiyo mana nduli mwenyekiti wenu ameziweka akili zenu mfukoni mwake.
Ficha upumbavu wako mshenzi wewe.Mm sio chadema wala ccm ila mbowe hua nasema huyu jamaa ni kichwa sana maana kaisimamisha chadema na kua chama pinzani kikuuu tz pia kwa misuko suko anayo pata km ingekua mm nilisha acha siasa maana km pesa anayo.Sasa leo unakuta paka moja hata pale mtaani kwao tu hata familia yao wanaliona ni kenge fulani halina hata mbele wala nyuma.Kisa kanununa kitecno chake basi kutwa kumtukana mbowe hebu tumpe heshima yake jamaa na km ana hatia tuache mahakama ifanye kazi.
Nguo zipi zinazovuliwa kwa serikali,huoni kuwa hao mawakili Ni wafuasi wa chadema wanataka kutengeneza dili la kupiga pesa za chadema.Mambo mengine serikali inafanya ya ajabu sana, ona Sasa wanavyoenda kuvuliwa nguo!
1.Ndio namna ya kutoa mchango waoWanalipwa na nani?
Hivi ile hotel iliyo karibu na lenana hotel mwanza ni ya mbowe au sirro?......Sio kosa wala sio jambo la kisiasa kuwakilishwa na mawakili 386, kwasababu sheria za nchi zinatoa haki kwa washtakiwa wote kutetewa na mawakili mbele ya mahakama (Natural Justice - Right To Be Represented).
Ila cha ajabu CCM wataligeuza jambo hilo la Gaidi Freeman Mbowe kuwa la kisiasa zaidi, kama alivyotangulia IGP Sirro kuligeuza la kisiasa jana kwenye press na waandishi wa habari. Akaenda mbele zaidi na kumtia hatiani hata kabla mtuhumiwa Gaidi Freeman Mbowe hajafikishwa mbele ya mahakama.
Cha ajabu IGP Sirro hakuwahi kuongelea kwenye vyombo vya habari swala la viongozi wa umma kutumia vijana wake wa police kufanya uhalifu. Mfano, Paul Makonda na Ole Sabaaya walivokua wakitumia vijana wa IGP Sirro kufanya uhalifu wa kutumia silaha na risasi (Kama alivosema jana tunanunua kwa hela zetu) kuteka na ujambazi Dar Es Salaam, Arusha, Moshi na Kilimanjaro.
IGP Sirro mungu anakuona, usichokifahamu kesi ya Gaidi Freeman Mbowe umeishaivuruga kwa kuiongelea mbele ya vyombo vya habari, na mmeshaisiriba kinyesi Tanzania kwenye swala la mbowe.
Ww ndo ficha ujinga wako alie kuzid mpe heshima yake sio kutukana tu.Ficha upumbavu wako mshenzi wewe.
Mnafiki na mzandiki wewe, adhabu ya kiberiti halali yakoMjumbe wa kamati kuu ya Chadema mh Boniface Jacob amesema hadi leo jumla ya mawakili wasomi 386 wamejitokeza na kujiandikisha kumtetea Freeman Mbowe mahakamani siku ya Agost 5 katika mahakama ya kisutu jijini Dar es salaam.
Nawasalimu kwa jina la JMT.
My take; Huu utitiri wa mawakili siyo maandamano kweli?
Hutaki?Hakuna kitu kama hicho
Manka unaona gele?!Acha uongo. Unadhani kumtetea mtu mahakamani unajiandikisha kama shule?
Hutaki?Hakuna kitu kama hicho
Bonny ni mnafiki tangu lini meku?Mnafiki na mzandiki wewe, adhabu ya kiberiti halali yako
Hutaki?Hakuna kitu kama hicho
Hutaki?Hakuna kitu kama hicho
PumbavuManka unaona gele?!
Sirro kasema ni wakili mmoja tu ataruhusiwa kuingia mahakamani...wengine wote watakuwa waandamanaji....kuvunjwa miguu kutawahusu.Mjumbe wa kamati kuu ya Chadema mh Boniface Jacob amesema hadi leo jumla ya mawakili wasomi 386 wamejitokeza na kujiandikisha kumtetea Freeman Mbowe mahakamani siku ya Agost 5 katika mahakama ya kisutu jijini Dar es Salaam.
Nawasalimu kwa jina la JMT.
My take; Huu utitiri wa mawakili siyo maandamano kweli?
Hata ukiwa na mawakili 1000 lakini mwisho wa siku anaye toa Hukumu ni mtu mmoja tu.Mjumbe wa kamati kuu ya Chadema mh Boniface Jacob amesema hadi leo jumla ya mawakili wasomi 386 wamejitokeza na kujiandikisha kumtetea Freeman Mbowe mahakamani siku ya Agost 5 katika mahakama ya kisutu jijini Dar es salaam.
Nawasalimu kwa jina la JMT.
My take; Huu utitiri wa mawakili siyo maandamano kweli?