Mawakili kesi ya Mbowe na wenzake watatu walibadili mbinu baada ya kuona kila pingamizi la utetezi linagonga mwamba

Hoja nzuri- sasa wakili Kibatala angalia alikopotezea mda
ulitumiwa 500,000 ukatoa 499000 umemwambia mh. Jaji 1000 imeenda wapi? halafu watu mnasema kaupiga mwingi na unaona una uwezo wa kupima uwezo wangu wa kufikiri- kwanza hicho kipimo hakipo
Kesi nzima hapo ndo unaona kukosea kuuliza 1000 ilienda wapi? Ilikuwa ni lazima iulizwe labda shahidi angeweza kusema hiyo 1000 sasa ndo ilikuwa inunue vilipuzi, mabomu, ikate magogo,n.k
 
Mhe. Jaji, naomba kwenda washroom.....spana zikizidi mkojo unambana kwenye suruali.

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Hivi ni kwamba Mbowe na wenzake watatu ni magaidi, ila Rais ameombwa kuifuta kesi yao kama msamaha!? Au ni vipi? Nisaidieni hapo.

Cc WIGWA
Hata mimi sijaelewa hapa, siasa ni michezo kama michezo nyingine.

Tumsubiri chifu arudi nchini tuone kama atasema lolote.
 
Ni ngumu sana kuisemea nafsi ya mtu. Lakini naamini akijua hakuna adhabu ya ziada baada ya kuomba msamaha naye anaweza kukiri ukweli na kuomba msamaha.

Na hii dhana ya kuomba msamaha ni dhana ngumu sana kwetu Tanzania kwasababu mara nyingi viongozi wanakosea lakini badala ya kuwaomba msamaha wananchi utasikia wanakanusha au wakati mwingine wanajikausha kabisa kama sio wao waliokosea wananchi.

Na wakati mwingine tu hata katika ngazi ya familia suala la kuombana msamaha linakuwa gumu sana. Lakini kama taifa lazima tufike mahali tuwe na sehemu ya kuanzia. Na ingependeza zaidi tukanzia hapa kwenye kesi ya Mbowe jumlisha kumharibia vitega uchumi vyake na Lisu kupigwa risasi kisha tusonge mbele pamoja kama taifa.
 
Na kwa muonekano wa huo mguu, jamaa angepigwa mzinga parefuu.

Cc Tate Mkuu
Yaani nipe tu pole, nikweli sijapata chochote valentine hii tofauti na maneno matamu amabayo kwangu sio muhimu.

Ila kupitia valentine hii nimetega mtego nina uakika utanasa, si unajua kuwekeza kidogo ukaja pata kkikubwa baadae.
Mzinga wa valentine ntaupata indirectly si unajua sisi tunaojielewa hatuombi indirect? Tunasubiriaga nafasi itokee mtu alipe deni bila kujua.
 
Hii kesi imedhihirisha kwamba kuna watu wengi wako magerezani kwa kukosa wa kuwatetea.Polisi walio wengi hukamata wangu na kuwafungulia kesi kwa makosa ambayo hayakufanyika.Nyie mbolisi Mungu atawaumbua na mtakuja kulia kilio cha mbwa.
 
Kesi nzima hapo ndo unaona kukosea kuuliza 1000 ilienda wapi? Ilikuwa ni lazima iulizwe labda shahidi angeweza kusema hiyo 1000 sasa ndo ilikuwa inunue vilipuzi, mabomu, ikate magogo,n.k
Huyo uwezo mdogo wa kuchambua.maswali madogo madogo yenye logic kubwa.
 
Matatizo Makubwa yalianzia October 2015 Mpaka March 2021.
 
Kesi nzima hapo ndo unaona kukosea kuuliza 1000 ilienda wapi? Ilikuwa ni lazima iulizwe labda shahidi angeweza kusema hiyo 1000 sasa ndo ilikuwa inunue vilipuzi, mabomu, ikate magogo,n.k
Tusiongee mengi - tuongee Jumamosi asubuhi
 
Mama leo akihojiwa na mtangazaji wa DW ameshangaza Sana kwamba hakuna mtuhumiwa wa ugaidi aliyefungwa kesi iko mahakamani tuache Jambo kesi iamuliwe na mahakama hiyo kesho ,bbc akihojiwa alisema washafungwa au alishindwa kutofautisha mahabausu na kufungwa gerezani
 
All in all, big up kwa wakili 'msomi kibatala na team yake' kwa namna alivyo wasambaratisha ma -mashetani ya CCM adi mengine Zaidi ya 10 yaka ogopa kuja kutoa ushaidi mahakaman!
Kula like mkuu!
 

Mpaka aachiwe lazima kuwe na ushahidi kuwa sio gaid. Sasa nani ataleta ushahidi huo kama sio kuacha kesi iendelee?
Mkuu Upande wa mashtaka, umeshamaliza ushahidi wao hivyo. Ushahidi uliotoka, ndiyo huo uliousikia wa hao mashahidi 13.
Kulichobaki, ni mahakama kuona kwa ushahidi uliotolewa, ni kweli kuna UGAIDI uliofanyika, au kutaka kufanyika? Kama ni ulikuwepo, akina Mbowe nao, wataanza kujitetea kuwa sio kweli au kweli!
Sasa, hapa JF kama wewe ni kweli mmojawapo wa ma -G.T, na huna mihemko ya ITIKADI za kisiasa, unaweza kujua, kama kuna ukweli wa TUHUMA hizo, au laaah!
 
Kesi ya mbowe ni ya kupika,ni vijambo vya kisiasa hili wawaweke upinzani busy wakikamilisha mambo yao mengine.

Upinzani hawako bungeni, wakiwacha mbowe uraian atawasumbua na katiba mpya ,sijui haki sijui nini.

Cha kufanya ni kumuweka ndani , kiwaka kazi ya kwenda mahakamani pia kuwaweka busy wananchi wakifatilia kesi hiyo.
 
Ila walishindwa kupangua ukweli kuwa Mbowe alimtumia pesa Urio
Kwani kuna dhambi gani Mbowe kumtumia Urio pesa? Lakini pia upande wa mashtaka umeshindwa kuthibitisha kuwa hizo pesa zimetumika kufadhili vitendo vya kigaidi.
 
Hii ni aibu kubwa sana kwa serikali kumpa mtu sampuli ya Sirro kuwa IGP wakati hakuna anachojua tofauti na kubambikia watu vyesi feki ili mradi tu siku moja wamruhusu agombee ubunge kwa tiketi ya ccm.

Sirro is very useless and a poor excuse for an IGP.

Asubiri kesi itupiliwe mbali ndio tuje tumkandie humu vizuri. Bure kabisa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…