Kesi nzima hapo ndo unaona kukosea kuuliza 1000 ilienda wapi? Ilikuwa ni lazima iulizwe labda shahidi angeweza kusema hiyo 1000 sasa ndo ilikuwa inunue vilipuzi, mabomu, ikate magogo,n.kHoja nzuri- sasa wakili Kibatala angalia alikopotezea mda
ulitumiwa 500,000 ukatoa 499000 umemwambia mh. Jaji 1000 imeenda wapi? halafu watu mnasema kaupiga mwingi na unaona una uwezo wa kupima uwezo wangu wa kufikiri- kwanza hicho kipimo hakipo
HaswaaaaHii kesi nadhani ingekuwa imeshafutwa.
Kinachokwamisha ni kwakuwa mheshimiwa alilishwa matango pori mapema na yeye akayala bila kujiridhisha sasa wanaogopa kuifuta kwakuwa Chifu atadhalilika.
Mhe. Jaji, naomba kwenda washroom.....spana zikizidi mkojo unambana kwenye suruali.Mwanzoni katika kesi ya Mbowe, Kila Pingamizi la utetezi lilikuwa linagonga mwamba na vielelezo vikawa vinapokelewa “by hooks and crooks”
Utetezi ukabadili mbinu kuokoa muda wa wateja kwani walijua mapingamizi yao yangekula muda na yangetupwa.
Ikabuniwa mbinu mpya
Utetezi ukawa unakubali vielelezo na ushaidi uingie mahakamani.
Wakawa wana challenge ushahidi na vielelezo kwa mlango wa nyuma wa cross examination.
Mashaidi wakapwaya na vielelezo vikapwaya mbele ya jaji watanzania wakishuhudia.
Wakabainisha blunders mbali mbali zifuatazo
1. Washtakiwa walikamatwa kabla hata jalada halijafinguliwa. Hii inamaanisha waliwakamata ndipo jitihada za kupika kesi ndio zikaanza. Inaonekana wapangaji wa hili walihamaki kuona makomandoo wakimlinda Mbowe na Lissu. Pengine mawasiliano yao yakafatiliwa yakawaongoza kwa Urio
Inaonekana Urio “akafinywa” (Haya yanathibitishwa na maelezo ya watuhumiwa katika kesi ndani ya kesi kuwa walimuona urio akipigwa kituo cha Tazara)
Baada ya kufinywa Urio akaeleza jinsi alivyowatafutia kazi lakini akalazimishwa kuwa shaidi wa Jamuhuri ili kulinda kazi yake.
Katika hali ya kupanick wapangaji wa kesi hii wakahisi inawezekana makomandoo wote waliofukuzwa kazi watakuwa wameenda kufanya kazi kwa Mbowe hivyo katika kamata kamata ndipo Komandoo MHINA akakamtwa Tabora na kina Kingai na Mahita. (Mhina alitoa ushahidi akiwa defense side)
2. Nyaraka zilikuwa zinaungwaungwa. Utetezi uliooomba Detention register ya Chang’ombe na Central kwa tarehe walizokamtwa watuhumiwa, kwa kuwa Mashtaka hawakujiandaa na hili wakafoji nyaraka kwa kubackdate ikainekana wazi lakini Jaji akaamuru daftari lipokelewe.
3. Extraction report ya Tigo inaharibu kila kitu kwani inaumbua kuwa file lilifunguliwa 2021 lakini mashtaka walifai file lilifunguliwa 2020. Ripoti ya tigo inajibu file la polisi lenye refence ya mwaka 2021. Kipengele hiki kina legal implication kubwa sana kwa faida ya defense
4. Prosecution wameshindwa kuipa kesi miguu kwa kuonyesha ni jinsi gani pesa alizotuma mbowe ziliweza kuprocure ugaidi. Pesa zinaonekana ni za nguo,chakula, nauli. Pesa nyingine upelelezi hawakusema zilitumika vipi bali ukawa unajibu ni transaction fees.
Katika hoja ya transaction fee Kibatala alikuwa na swali moja tu.
Swali: Ulimwambia mheshimiwa jaji maswala ya transaction fee?
Jibu: Sikumwambia
Swali:Katika maelezo yako kuna sehemu tutaona umeelezea hivyo?
Jibu: Sikueleza
Hapa ndipo kesi ilipokatwa mtama
5. Polisi hawakijui kitendea kazi chao PGO. Kila ilipogusiwa PGO walikuwa wanatoa macho kama wanasoma talaka.
Hawajui Fomu ya Kuzuia mali, Fomu ya Gari la polisi, Fomu ya kulebbel vizibiti, nk.
View attachment 2121994
Hata mimi sijaelewa hapa, siasa ni michezo kama michezo nyingine.Hivi ni kwamba Mbowe na wenzake watatu ni magaidi, ila Rais ameombwa kuifuta kesi yao kama msamaha!? Au ni vipi? Nisaidieni hapo.
Cc WIGWA
Ni ngumu sana kuisemea nafsi ya mtu. Lakini naamini akijua hakuna adhabu ya ziada baada ya kuomba msamaha naye anaweza kukiri ukweli na kuomba msamaha.Umenena vizuri sana mkuu ili Taifa lisonge mbele, tuanze upya. Lakini kama ingekua ni kitu kinawezekana kufanyika, unaona mtu kama ACP Kingai akiulizwa, anaweza kuongea ukweli na kuomba msamaha ili awe huru kwenye nafsi yake kwa yale aliyoyafanya kuifikisha hii kesi ilipofika?
Yaani nipe tu pole, nikweli sijapata chochote valentine hii tofauti na maneno matamu amabayo kwangu sio muhimu.
Huyo uwezo mdogo wa kuchambua.maswali madogo madogo yenye logic kubwa.Kesi nzima hapo ndo unaona kukosea kuuliza 1000 ilienda wapi? Ilikuwa ni lazima iulizwe labda shahidi angeweza kusema hiyo 1000 sasa ndo ilikuwa inunue vilipuzi, mabomu, ikate magogo,n.k
Matatizo Makubwa yalianzia October 2015 Mpaka March 2021.Nafikiri wanachadema na wapenda haki wote Tanzania wanapaswa kuweka akiba mpaka hapo jaji atakapotoa hukumu yake. Naona wengi hapa wanashangalia kabla ya hukumu lakini ndio ile hali ya watanzania kusahau mambo ya msingi ndani ya muda mfupi. Watu wameshasahau jinsi mapingamizi ya wazi yalivyokuwa yanatupwa na jinsi maamuzi tata yalivyokuwa yanaamuliwa tokea jaji wa kwanza, wa pili na hata huyu watatu. Kama sheria na taratibu zingefuatwa tokea mwanzo hii kesi ilikuwa ni mfu tokea mapingamizi ya awali lakini ilitumika namna kuiendeleza mpaka Mungu alipoamua kuudhihirisha ukuu wake kupitia mashahidi wa mchongo kujichanganya sana kizimbani.
Kwangu mimi kama kuna makubaliano ya kuimaliza kesi bila masharti yoyote ni jambo la kupongezwa na ninaombea iwe hivyo. Sisi watanzania ni wamoja na hasa sisi tuliokulia enzi za Nyerere pamoja na shida zote za miaka ile lakini kuheshimu utu wa mtu na usawa ilikuwa ndio nguzo kubwa ya umoja wa taifa letu. Hakukuwa na matabaka ya aina yoyote lakini sasa hivi kuna watu eti wanataka kujiona wao ni bora na wanahaki zaidi kuliko wengine katika nchi hii kwa sababu tu wapo chama fulani. Hivi kuna raha gani ya maisha kumsingizia binadamu mwenzio mwenye familia na wategemezi kama wewe eti gaidi akaozee jela ili tu upate cheo? Hivi ni lini watanzania tulianza rasmi kuwa roho za kikatili kiasi hiki?
Kwa kweli inatia uchungu sana hasa nikikumbuka upendo wa watanzania tuliokuwa nao sio tu kati yetu watanzania kwa watanzania bali ulivuka mipaka mpaka Afrika nzima kiasi kwamba Tanzania ilisaidia nchi nyingine kupata uhuru wao.
Tusiongee mengi - tuongee Jumamosi asubuhiKesi nzima hapo ndo unaona kukosea kuuliza 1000 ilienda wapi? Ilikuwa ni lazima iulizwe labda shahidi angeweza kusema hiyo 1000 sasa ndo ilikuwa inunue vilipuzi, mabomu, ikate magogo,n.k
Akili ndogo tu yule analazimisha white kuwa black kila nkiona comment yake nikiisoma nakuta ni utopolo tuHuyo uwezo mdogo wa kuchambua.maswali madogo madogo yenye logic kubwa.
Walikuwa wanaenda kukojoa kweli au kugeuza geuza hirizi chooni kuzipasha moto?Mhe. Jaji, naomba kwenda washroom.....spana zikizidi mkojo unambana kwenye suruali.
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Kula like mkuu!All in all, big up kwa wakili 'msomi kibatala na team yake' kwa namna alivyo wasambaratisha ma -mashetani ya CCM adi mengine Zaidi ya 10 yaka ogopa kuja kutoa ushaidi mahakaman!
Nachojua hata kama ameombwa kumwachia hawezi mwachia sasa hivi ataprove failure.kwahiyo watazungushwa weee siku zitapita.
Mpaka aachiwe lazima kuwe na ushahidi kuwa sio gaid. Sasa nani ataleta ushahidi huo kama sio kuacha kesi iendelee?
Tutaona huko mbele unless kuna makubaliano nje ya pazia
Mkuu Upande wa mashtaka, umeshamaliza ushahidi wao hivyo. Ushahidi uliotoka, ndiyo huo uliousikia wa hao mashahidi 13.Mpaka aachiwe lazima kuwe na ushahidi kuwa sio gaid. Sasa nani ataleta ushahidi huo kama sio kuacha kesi iendelee?
HapanaKwa maneno machache baada ya kufuatilia hadi ilipofikia, nini imani yako kwenye hii kesi. Je, Mbowe na wenzake watatu, walikua wanapanga ugaidi?
Walikuwa wanaenda kukojoa kweli au kugeuza geuza hirizi chooni kuzipasha moto?
Kesi ya mbowe ni ya kupika,ni vijambo vya kisiasa hili wawaweke upinzani busy wakikamilisha mambo yao mengine.Mkuu Upande wa mashtaka, umeshamaliza ushahidi wao hivyo. Ushahidi uliotoka, ndiyo huo uliousikia wa hao mashahidi 13.
Kulichobaki, ni mahakama kuona kwa ushahidi uliotolewa, ni kweli kuna UGAIDI uliofanyika, au kutaka kufanyika? Kama ni ulikuwepo, akina Mbowe nao, wataanza kujitetea kuwa sio kweli au kweli!
Sasa, hapa JF kama wewe ni kweli mmojawapo wa ma -G.T, na huna mihemko ya ITIKADI za kisiasa, unaweza kujua, kama kuna ukweli wa TUHUMA hizo, au laaah!
Kwani kuna dhambi gani Mbowe kumtumia Urio pesa? Lakini pia upande wa mashtaka umeshindwa kuthibitisha kuwa hizo pesa zimetumika kufadhili vitendo vya kigaidi.Ila walishindwa kupangua ukweli kuwa Mbowe alimtumia pesa Urio