900 Itapendeza zaidi
JF-Expert Member
- Nov 19, 2017
- 7,704
- 9,186
hata hvyo hao mawakili wana moyo sana kuwapigania watu ambao tayari walishahukumiwa na raisi bila kusikilizwa kuwarudisha rudisha tu pale mahakamani ni mwendelezo wa usanii wa ccm
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi sioni hivyo mbona? Huwa unafuatilia vizuri 'cross-examination' kwa mashahidi na majibu yanayojitokeza?Tusubiri tuone ila hii kesi imemkalia mbowe vibaya,na kwa ushahidi ulivyonyooka ..sijui
Actuaĺy aliuluza what is tourism? I was there!Hapo vipi!!
Nimekuwa nafuatilia hii kesi ya Mbowe kwa ukaribu sana.
Na nimeshuhudia mapingamizi mengi ya kikosa nguvu ya kisheria hivyo kutupiliwa mbali mahakama.
Hii ni ishara inayoonyesha timu ya Jamhuri inayongozwa na prominent lawyer Robert kidando ni moto wa kuotea mbali.
Ninachokiona ni kwamba haya mapingamizi mengi yanayokatwa na upande Kibatala ni kujaribu kutengezea picture ya kuwaminisha wananchi yakwamba uwanja wanaochezea haupo fair; jambo ambalo ni utoto kabisa.
Pia wameonyesha kupanic panic pasipo sababu mfano leo mzee wa “what is terrorism” anatumia maneno makali mahakamani. Acha panic kijana, jenga hoja za kisheria vizuri
Kesi ya Mwanza ilikuwa ni ya kushikwa ugoni na ingine ni ng'ombe waliibiwa na Wataturu. Hii ni ya ugaidi, tungekufa maelfu - huwezi kumwacha huru gaidi eti tu kwa sababu umekosrna Kilinanjaro City badala ya MoshiEndelea kufuatilia huenda ukajifunza kitu!
Jaji huyu aliwahi kuitupa kesi huko Mwanza baada ya kujiridhisha kuwa quotes za Sheria zilizotumiwa hazikuwa relevant sawa na pingamizi alilolitupa Leo!
Kasahau kuwa alishawahi kufanya rulling inayofanana na aliyoitupa! Hakufanya kwa maana ya kuwa alisahu bali analinda mkate wake kwani hajiongozi bali anaelekezwa la kufanya!
Haishangazi kwani nchi ina mhimili mmoja TU Kwa sasa yaani executive tangu awamu ya tano!
Je, umejifunza lolote mpaka hapo?
KIBATALA hamna kitu pale jamaa ni mjanja sana kuwafanya watu waamini kuwa ni mtaalamu wa sheria kumbe hakuna kitu kila pingamizi analolazimisha lina feli na anajitahidi kurefusha muda tu lakini hana hoja ya msingiHapo vipi!!
Nimekuwa nafuatilia hii kesi ya Mbowe kwa ukaribu sana.
Na nimeshuhudia mapingamizi mengi ya kikosa nguvu ya kisheria hivyo kutupiliwa mbali mahakama.
Hii ni ishara inayoonyesha timu ya Jamhuri inayongozwa na prominent lawyer Robert kidando ni moto wa kuotea mbali.
Ninachokiona ni kwamba haya mapingamizi mengi yanayokatwa na upande Kibatala ni kujaribu kutengezea picture ya kuwaminisha wananchi yakwamba uwanja wanaochezea haupo fair; jambo ambalo ni utoto kabisa.
Pia wameonyesha kupanic panic pasipo sababu mfano leo mzee wa “what is terrorism” anatumia maneno makali mahakamani. Acha panic kijana, jenga hoja za kisheria vizuri
kwakweli yaani wanaleta utoto utoto tu kwenye hii kesi kibatala sheria bado mtoto sana iila anaujanja tu wa kuongeaKesi ya Mwanza ilikuwa ni ya kushikwa ugoni na ingine ni ng'ombe waliibiwa na Wataturu. Hii ni ya ugaidi, tungekufa maelfu - huwezi kumwacha huru gaidi eti tu kwa sababu umekosrna Kilinanjaro City badala ya Moshi
huu ni uongo mtakavitu yaani ufipa wameshindwa kujenga ofisi hizo za mikoani wataweza? shidambowe alikuwa anakula hella za kujenga ofisi ukiulizwa hela ya sabodo milioni miamoja ya kujenga ofisi kuu ya chama aliipeleka wapi utasemaje mbowe ni mwizi tu kama walivyo wezi wenginemabaya zaidi imeweka mkakatu wa kujenga ofisi kuu kila mkoa na wilaya.
Hao mawakili wa Mbowe wapo kimkakati,na wanajua wanachokifanya.pamoja na hayo mapingamizi kutupwa,lakini wanasheria hao ile tu kugundua hizo weakness inaonesha wako makini Sana.Hapo vipi!!
Nimekuwa nafuatilia hii kesi ya Mbowe kwa ukaribu sana.
Na nimeshuhudia mapingamizi mengi ya kikosa nguvu ya kisheria hivyo kutupiliwa mbali mahakama.
Hii ni ishara inayoonyesha timu ya Jamhuri inayongozwa na prominent lawyer Robert kidando ni moto wa kuotea mbali.
Ninachokiona ni kwamba haya mapingamizi mengi yanayokatwa na upande Kibatala ni kujaribu kutengezea picture ya kuwaminisha wananchi yakwamba uwanja wanaochezea haupo fair; jambo ambalo ni utoto kabisa.
Pia wameonyesha kupanic panic pasipo sababu mfano leo mzee wa “what is terrorism” anatumia maneno makali mahakamani. Acha panic kijana, jenga hoja za kisheria vizuri
unakuaje makini kwa kugundua kosa ambalo siyokosa?kutupwa kwa pingamizi inamaana amechemsha kasema uongo hajui anachokifanya anataka kukwepesha ukweli anaihadaa mahakamaHao mawakili wa Mbowe wapo kimkakati,na wanajua wanachokifanya.pamoja na hayo mapingamizi kutupwa,lakini wanasheria hao ile tu kugundua hizo weakness inaonesha wako makini Sana.
Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
Wanajazana tu Mahakamani lkn uwezo wao mdogo, sasa wamemtoa Wakili Shinyanga eti aje Dar kuongeza nguvu, wana akili kweli? Umtoe Wakili Shinyanga akashinde kesi Dar?Hapo vipi!!
Nimekuwa nafuatilia hii kesi ya Mbowe kwa ukaribu sana.
Na nimeshuhudia mapingamizi mengi ya kikosa nguvu ya kisheria hivyo kutupiliwa mbali mahakama.
Hii ni ishara inayoonyesha timu ya Jamhuri inayongozwa na prominent lawyer Robert kidando ni moto wa kuotea mbali.
Ninachokiona ni kwamba haya mapingamizi mengi yanayokatwa na upande Kibatala ni kujaribu kutengezea picture ya kuwaminisha wananchi yakwamba uwanja wanaochezea haupo fair; jambo ambalo ni utoto kabisa.
Pia wameonyesha kupanic panic pasipo sababu mfano leo mzee wa “what is terrorism” anatumia maneno makali mahakamani. Acha panic kijana, jenga hoja za kisheria vizuri
Wewe utakuwa unafuatilia mwishoni kabisa😊Mimi sioni hivyo mbona? Huwa unafuatilia vizuri 'cross-examination' kwa mashahidi na majibu yanayojitokeza?
Unateseka na mimba yako ukiwa wapi?Hapo vipi!!
Nimekuwa nafuatilia hii kesi ya Mbowe kwa ukaribu sana.
Na nimeshuhudia mapingamizi mengi ya kikosa nguvu ya kisheria hivyo kutupiliwa mbali mahakama.
Hii ni ishara inayoonyesha timu ya Jamhuri inayongozwa na prominent lawyer Robert kidando ni moto wa kuotea mbali.
Ninachokiona ni kwamba haya mapingamizi mengi yanayokatwa na upande Kibatala ni kujaribu kutengezea picture ya kuwaminisha wananchi yakwamba uwanja wanaochezea haupo fair; jambo ambalo ni utoto kabisa.
Pia wameonyesha kupanic panic pasipo sababu mfano leo mzee wa “what is terrorism” anatumia maneno makali mahakamani. Acha panic kijana, jenga hoja za kisheria vizuri
Hatutegi darasa hili, nipo mwl. Jana, juzi, Leo na kesho🏃.Endelea kufuatilia huenda ukajifunza kitu!
Jaji huyu aliwahi kuitupa kesi huko Mwanza baada ya kujiridhisha kuwa quotes za Sheria zilizotumiwa hazikuwa relevant sawa na pingamizi alilolitupa Leo!
Kasahau kuwa alishawahi kufanya rulling inayofanana na aliyoitupa! Hakufanya kwa maana ya kuwa alisahu bali analinda mkate wake kwani hajiongozi bali anaelekezwa la kufanya!
Haishangazi kwani nchi ina mhimili mmoja TU Kwa sasa yaani executive tangu awamu ya tano!
Je, umejifunza lolote mpaka hapo?
Siyo kuandika kinyume tu hiyo ndio akili yake iko nyuma Kama siafuUmeandika kinyume.
Hiyo itakuwa sawa na ya zuzuSiyo kuandika kinyume tu hiyo ndio akili yake iko nyuma Kama siafu
Jaji wako wa kimkakati ndiye anaekubali hoja za utetezi ili mradi lazima aende kwa Siyani, TISS na Lumumba kupewa majibu yasiyo ya kisheria.Hapo vipi!!
Nimekuwa nafuatilia hii kesi ya Mbowe kwa ukaribu sana.
Na nimeshuhudia mapingamizi mengi ya kikosa nguvu ya kisheria hivyo kutupiliwa mbali mahakama.
Hii ni ishara inayoonyesha timu ya Jamhuri inayongozwa na prominent lawyer Robert kidando ni moto wa kuotea mbali.
Ninachokiona ni kwamba haya mapingamizi mengi yanayokatwa na upande Kibatala ni kujaribu kutengezea picture ya kuwaminisha wananchi yakwamba uwanja wanaochezea haupo fair; jambo ambalo ni utoto kabisa. Wa kucho
Pia wameonyesha kupanic panic pasipo sababu mfano leo mzee wa “what is terrorism” anatumia maneno makali mahakamani. Acha panic kijana, jenga hoja za kisheria vizuri
Haya maneno tumeshayazoea ndio kichaka chenu cha kujifichiaJaji wako wa kimkakati ndiye anaekubali hoja za utetezi ili mradi lazima aende kwa Siyani, TISS na Lumumba kupewa majibu yasiyo ya kisheria.
Wadanganye wapumbavu na wapuuxi wenzio siyo kwa watu wenye akili zao timamu