Mawakili wa Mbowe ni kama timu ya mpira iliyozidiwa, wanataka goli la mkono

Mawakili wa Mbowe ni kama timu ya mpira iliyozidiwa, wanataka goli la mkono

Hapo vipi!!

Nimekuwa nafuatilia hii kesi ya Mbowe kwa ukaribu sana.

Na nimeshuhudia mapingamizi mengi ya kikosa nguvu ya kisheria hivyo kutupiliwa mbali mahakama.

Hii ni ishara inayoonyesha timu ya Jamhuri inayongozwa na prominent lawyer Robert kidando ni moto wa kuotea mbali.

Ninachokiona ni kwamba haya mapingamizi mengi yanayokatwa na upande Kibatala ni kujaribu kutengezea picture ya kuwaminisha wananchi yakwamba uwanja wanaochezea haupo fair; jambo ambalo ni utoto kabisa.

Pia wameonyesha kupanic panic pasipo sababu mfano leo mzee wa “what is terrorism” anatumia maneno makali mahakamani. Acha panic kijana, jenga hoja za kisheria vizuri
Actuaĺy aliuluza what is tourism? I was there!
 
Endelea kufuatilia huenda ukajifunza kitu!

Jaji huyu aliwahi kuitupa kesi huko Mwanza baada ya kujiridhisha kuwa quotes za Sheria zilizotumiwa hazikuwa relevant sawa na pingamizi alilolitupa Leo!

Kasahau kuwa alishawahi kufanya rulling inayofanana na aliyoitupa! Hakufanya kwa maana ya kuwa alisahu bali analinda mkate wake kwani hajiongozi bali anaelekezwa la kufanya!

Haishangazi kwani nchi ina mhimili mmoja TU Kwa sasa yaani executive tangu awamu ya tano!

Je, umejifunza lolote mpaka hapo?
Kesi ya Mwanza ilikuwa ni ya kushikwa ugoni na ingine ni ng'ombe waliibiwa na Wataturu. Hii ni ya ugaidi, tungekufa maelfu - huwezi kumwacha huru gaidi eti tu kwa sababu umekosrna Kilinanjaro City badala ya Moshi
 
Hapo vipi!!

Nimekuwa nafuatilia hii kesi ya Mbowe kwa ukaribu sana.

Na nimeshuhudia mapingamizi mengi ya kikosa nguvu ya kisheria hivyo kutupiliwa mbali mahakama.

Hii ni ishara inayoonyesha timu ya Jamhuri inayongozwa na prominent lawyer Robert kidando ni moto wa kuotea mbali.

Ninachokiona ni kwamba haya mapingamizi mengi yanayokatwa na upande Kibatala ni kujaribu kutengezea picture ya kuwaminisha wananchi yakwamba uwanja wanaochezea haupo fair; jambo ambalo ni utoto kabisa.

Pia wameonyesha kupanic panic pasipo sababu mfano leo mzee wa “what is terrorism” anatumia maneno makali mahakamani. Acha panic kijana, jenga hoja za kisheria vizuri
KIBATALA hamna kitu pale jamaa ni mjanja sana kuwafanya watu waamini kuwa ni mtaalamu wa sheria kumbe hakuna kitu kila pingamizi analolazimisha lina feli na anajitahidi kurefusha muda tu lakini hana hoja ya msingi
 
Kesi ya Mwanza ilikuwa ni ya kushikwa ugoni na ingine ni ng'ombe waliibiwa na Wataturu. Hii ni ya ugaidi, tungekufa maelfu - huwezi kumwacha huru gaidi eti tu kwa sababu umekosrna Kilinanjaro City badala ya Moshi
kwakweli yaani wanaleta utoto utoto tu kwenye hii kesi kibatala sheria bado mtoto sana iila anaujanja tu wa kuongea
 
mabaya zaidi imeweka mkakatu wa kujenga ofisi kuu kila mkoa na wilaya.
huu ni uongo mtakavitu yaani ufipa wameshindwa kujenga ofisi hizo za mikoani wataweza? shidambowe alikuwa anakula hella za kujenga ofisi ukiulizwa hela ya sabodo milioni miamoja ya kujenga ofisi kuu ya chama aliipeleka wapi utasemaje mbowe ni mwizi tu kama walivyo wezi wengine
 
Hapo vipi!!

Nimekuwa nafuatilia hii kesi ya Mbowe kwa ukaribu sana.

Na nimeshuhudia mapingamizi mengi ya kikosa nguvu ya kisheria hivyo kutupiliwa mbali mahakama.

Hii ni ishara inayoonyesha timu ya Jamhuri inayongozwa na prominent lawyer Robert kidando ni moto wa kuotea mbali.

Ninachokiona ni kwamba haya mapingamizi mengi yanayokatwa na upande Kibatala ni kujaribu kutengezea picture ya kuwaminisha wananchi yakwamba uwanja wanaochezea haupo fair; jambo ambalo ni utoto kabisa.

Pia wameonyesha kupanic panic pasipo sababu mfano leo mzee wa “what is terrorism” anatumia maneno makali mahakamani. Acha panic kijana, jenga hoja za kisheria vizuri
Hao mawakili wa Mbowe wapo kimkakati,na wanajua wanachokifanya.pamoja na hayo mapingamizi kutupwa,lakini wanasheria hao ile tu kugundua hizo weakness inaonesha wako makini Sana.

Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
 
Hao mawakili wa Mbowe wapo kimkakati,na wanajua wanachokifanya.pamoja na hayo mapingamizi kutupwa,lakini wanasheria hao ile tu kugundua hizo weakness inaonesha wako makini Sana.

Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
unakuaje makini kwa kugundua kosa ambalo siyokosa?kutupwa kwa pingamizi inamaana amechemsha kasema uongo hajui anachokifanya anataka kukwepesha ukweli anaihadaa mahakama
 
Hapo vipi!!

Nimekuwa nafuatilia hii kesi ya Mbowe kwa ukaribu sana.

Na nimeshuhudia mapingamizi mengi ya kikosa nguvu ya kisheria hivyo kutupiliwa mbali mahakama.

Hii ni ishara inayoonyesha timu ya Jamhuri inayongozwa na prominent lawyer Robert kidando ni moto wa kuotea mbali.

Ninachokiona ni kwamba haya mapingamizi mengi yanayokatwa na upande Kibatala ni kujaribu kutengezea picture ya kuwaminisha wananchi yakwamba uwanja wanaochezea haupo fair; jambo ambalo ni utoto kabisa.

Pia wameonyesha kupanic panic pasipo sababu mfano leo mzee wa “what is terrorism” anatumia maneno makali mahakamani. Acha panic kijana, jenga hoja za kisheria vizuri
Wanajazana tu Mahakamani lkn uwezo wao mdogo, sasa wamemtoa Wakili Shinyanga eti aje Dar kuongeza nguvu, wana akili kweli? Umtoe Wakili Shinyanga akashinde kesi Dar?
 
Na majaji na walioshitaki ni kama timu iliyokwishafungwa inataka kurudisha magoli.
 
Hapo vipi!!

Nimekuwa nafuatilia hii kesi ya Mbowe kwa ukaribu sana.

Na nimeshuhudia mapingamizi mengi ya kikosa nguvu ya kisheria hivyo kutupiliwa mbali mahakama.

Hii ni ishara inayoonyesha timu ya Jamhuri inayongozwa na prominent lawyer Robert kidando ni moto wa kuotea mbali.

Ninachokiona ni kwamba haya mapingamizi mengi yanayokatwa na upande Kibatala ni kujaribu kutengezea picture ya kuwaminisha wananchi yakwamba uwanja wanaochezea haupo fair; jambo ambalo ni utoto kabisa.

Pia wameonyesha kupanic panic pasipo sababu mfano leo mzee wa “what is terrorism” anatumia maneno makali mahakamani. Acha panic kijana, jenga hoja za kisheria vizuri
Unateseka na mimba yako ukiwa wapi?
 
Endelea kufuatilia huenda ukajifunza kitu!

Jaji huyu aliwahi kuitupa kesi huko Mwanza baada ya kujiridhisha kuwa quotes za Sheria zilizotumiwa hazikuwa relevant sawa na pingamizi alilolitupa Leo!

Kasahau kuwa alishawahi kufanya rulling inayofanana na aliyoitupa! Hakufanya kwa maana ya kuwa alisahu bali analinda mkate wake kwani hajiongozi bali anaelekezwa la kufanya!

Haishangazi kwani nchi ina mhimili mmoja TU Kwa sasa yaani executive tangu awamu ya tano!

Je, umejifunza lolote mpaka hapo?
Hatutegi darasa hili, nipo mwl. Jana, juzi, Leo na kesho🏃.
 
Hapo vipi!!

Nimekuwa nafuatilia hii kesi ya Mbowe kwa ukaribu sana.

Na nimeshuhudia mapingamizi mengi ya kikosa nguvu ya kisheria hivyo kutupiliwa mbali mahakama.

Hii ni ishara inayoonyesha timu ya Jamhuri inayongozwa na prominent lawyer Robert kidando ni moto wa kuotea mbali.

Ninachokiona ni kwamba haya mapingamizi mengi yanayokatwa na upande Kibatala ni kujaribu kutengezea picture ya kuwaminisha wananchi yakwamba uwanja wanaochezea haupo fair; jambo ambalo ni utoto kabisa. Wa kucho

Pia wameonyesha kupanic panic pasipo sababu mfano leo mzee wa “what is terrorism” anatumia maneno makali mahakamani. Acha panic kijana, jenga hoja za kisheria vizuri
Jaji wako wa kimkakati ndiye anaekubali hoja za utetezi ili mradi lazima aende kwa Siyani, TISS na Lumumba kupewa majibu yasiyo ya kisheria.

Wadanganye wapumbavu na wapuuxi wenzio siyo kwa watu wenye akili zao timamu
 
Hakuna marefu yasio na mwisho....Leo hii anko angepewa nafasi ya kurudi nyumbani angekuja kuomba
 
Jaji wako wa kimkakati ndiye anaekubali hoja za utetezi ili mradi lazima aende kwa Siyani, TISS na Lumumba kupewa majibu yasiyo ya kisheria.

Wadanganye wapumbavu na wapuuxi wenzio siyo kwa watu wenye akili zao timamu
Haya maneno tumeshayazoea ndio kichaka chenu cha kujifichia
 
Back
Top Bottom