Mawakili wa Mbowe ni kama timu ya mpira iliyozidiwa, wanataka goli la mkono

Mawakili wa Mbowe ni kama timu ya mpira iliyozidiwa, wanataka goli la mkono

Hapo vipi!!

Nimekuwa nafuatilia hii kesi ya Mbowe kwa ukaribu sana.

Na nimeshuhudia mapingamizi mengi ya kikosa nguvu ya kisheria hivyo kutupiliwa mbali mahakama.

Hii ni ishara inayoonyesha timu ya Jamhuri inayongozwa na prominent lawyer Robert kidando ni moto wa kuotea mbali.

Ninachokiona ni kwamba haya mapingamizi mengi yanayokatwa na upande Kibatala ni kujaribu kutengezea picture ya kuwaminisha wananchi yakwamba uwanja wanaochezea haupo fair; jambo ambalo ni utoto kabisa.

Pia wameonyesha kupanic panic pasipo sababu mfano leo mzee wa “what is terrorism” anatumia maneno makali mahakamani. Acha panic kijana, jenga hoja za kisheria vizuri
Hoja ya kwamba jamhuri inabebwa, wapinzani wamefanya kichaka cha kujifichia
Mkuu ilikiwaje lile desa likapenya toka stoo hadi kizimbani ?
 
Hapo vipi!!

Nimekuwa nafuatilia hii kesi ya Mbowe kwa ukaribu sana.

Na nimeshuhudia mapingamizi mengi ya kikosa nguvu ya kisheria hivyo kutupiliwa mbali mahakama.

Hii ni ishara inayoonyesha timu ya Jamhuri inayongozwa na prominent lawyer Robert kidando ni moto wa kuotea mbali.

Ninachokiona ni kwamba haya mapingamizi mengi yanayokatwa na upande Kibatala ni kujaribu kutengezea picture ya kuwaminisha wananchi yakwamba uwanja wanaochezea haupo fair; jambo ambalo ni utoto kabisa.

Pia wameonyesha kupanic panic pasipo sababu mfano leo mzee wa “what is terrorism” anatumia maneno makali mahakamani. Acha panic kijana, jenga hoja za kisheria vizuri
Hoja ya kwamba jamhuri inabebwa, wapinzani wamefanya kichaka cha kujifichia
Kweli Mungu katupa haki ya kutoa mawazo watu wote tunaouvuta pumzi. Hata wewe pia!
 
Wewe acha bangi, hujui mantiki ya wakili kuweka pingamizi, unaongea tu upumbavu upumbavu humu wakati wewe ni Layman. You're nothing but a lunatic.
 
😁😁😁
AIgmal.jpg
 
Katika kesi hii nimeshuhudia utofauti kubwa mno kati ya Mawakili wa umma na Mawakili wa Kujitegemea. sijui wenzangu na nyie mme -note hii kitu, bila mkakati na Jaji - sijui kama hii kesi ingekuwa hai hadi leo.
 
Wacha wasusie waone anafungwa na viboko juu
Mfano akifungwa wewe personally utafaidika na nini? Wenzako wanagombea madaraka na wengine wanatetea ugali wao hapo mahakamani, sasa wewe mwenzangu na miye unafaidika na nini hasa?
 
Mfano akifungwa wewe personally utafaidika na nini? Wenzako wanagombea madaraka na wengine wanatetea ugali wao hapo mahakamani, sasa wewe mwenzangu na miye unafaidika na nini hasa?
Huyo sio mwanasiasa ni guidi mwenye kampuni yake ya chadema
 
Acha mihemmko ya kichama
Au hujui kusoma vyema kutokana na akili yako nyembamba.
Kwa ufupi mawakili wa Mbowe ndio best of the best ukilinganisha na hao wa ccm. Jaji ndie anawabeba!
 
Hao mawakili wa Mbowe wapo kimkakati,na wanajua wanachokifanya.pamoja na hayo mapingamizi kutupwa,lakini wanasheria hao ile tu kugundua hizo weakness inaonesha wako makini Sana.

Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
Mkuu huo ndio ukweli, inaonekana wameshajua mchezo mzima umepangwa kuanzia jaji hadi mapolisi. Hawa wanakusanya vilelezo wakamchomoe mahakama ya Rufaa.
 
Back
Top Bottom