ndammu
JF-Expert Member
- Apr 21, 2017
- 3,971
- 4,440
Ushahidi unaungwa na kila shahidi nanatofautiana namwengine ndio kunyooka?Tusubiri tuone ila hii kesi imemkalia mbowe vibaya,na kwa ushahidi ulivyonyooka ..sijui
Yaani mnajidhalilisha vibaya sana ham na uwezo mbona jaji anakubaliana na yanayofichuliwa na mawakili wa utetezi kuubariki lakni maamuzi anatoa kichwani mwake bila vifungu vya sheria.
Mtabebwa sana lakni maji yakishamwagika hayazoleki tena.
Sent from my SM-N9150 using JamiiForums mobile app