Mawakili wa Mbowe ni kama timu ya mpira iliyozidiwa, wanataka goli la mkono

Mawakili wa Mbowe ni kama timu ya mpira iliyozidiwa, wanataka goli la mkono

Tusubiri tuone ila hii kesi imemkalia mbowe vibaya,na kwa ushahidi ulivyonyooka ..sijui
Ushahidi unaungwa na kila shahidi nanatofautiana namwengine ndio kunyooka?

Yaani mnajidhalilisha vibaya sana ham na uwezo mbona jaji anakubaliana na yanayofichuliwa na mawakili wa utetezi kuubariki lakni maamuzi anatoa kichwani mwake bila vifungu vya sheria.

Mtabebwa sana lakni maji yakishamwagika hayazoleki tena.

Sent from my SM-N9150 using JamiiForums mobile app
 
Hapo vipi!!

Nimekuwa nafuatilia hii kesi ya Mbowe kwa ukaribu sana.

Na nimeshuhudia mapingamizi mengi ya kikosa nguvu ya kisheria hivyo kutupiliwa mbali mahakama.

Hii ni ishara inayoonyesha timu ya Jamhuri inayongozwa na prominent lawyer Robert kidando ni moto wa kuotea mbali.

Ninachokiona ni kwamba haya mapingamizi mengi yanayokatwa na upande Kibatala ni kujaribu kutengezea picture ya kuwaminisha wananchi yakwamba uwanja wanaochezea haupo fair; jambo ambalo ni utoto kabisa.

Pia wameonyesha kupanic panic pasipo sababu mfano leo mzee wa “what is terrorism” anatumia maneno makali mahakamani. Acha panic kijana, jenga hoja za kisheria vizuri
Hoja ya kwamba jamhuri inabebwa, wapinzani wamefanya kichaka cha kujifichia
Kesi dhidi ya Mbowe ina faida au hasara gani kwa taifa?
 
Hii hoja ya kubebwa imekuwa ikitumika vibaya na wapinzani..mbona ushahidi wa kwenye kesi ya mbowe upo wazi kuliko hata ule wa Sabaya wa kuunga unga
Kesi ya Sabaya CCTV camera zinamuonyesha kabisa kavamia duka na anapiga watu, huo ni ushahidi wa kuunga? Au ni wewe tu hujaziona hizo?
 
Hapo vipi!!

Nimekuwa nafuatilia hii kesi ya Mbowe kwa ukaribu sana.

Na nimeshuhudia mapingamizi mengi ya kikosa nguvu ya kisheria hivyo kutupiliwa mbali mahakama.

Hii ni ishara inayoonyesha timu ya Jamhuri inayongozwa na prominent lawyer Robert kidando ni moto wa kuotea mbali.

Ninachokiona ni kwamba haya mapingamizi mengi yanayokatwa na upande Kibatala ni kujaribu kutengezea picture ya kuwaminisha wananchi yakwamba uwanja wanaochezea haupo fair; jambo ambalo ni utoto kabisa.

Pia wameonyesha kupanic panic pasipo sababu mfano leo mzee wa “what is terrorism” anatumia maneno makali mahakamani. Acha panic kijana, jenga hoja za kisheria vizuri
Hoja ya kwamba jamhuri inabebwa, wapinzani wamefanya kichaka cha kujifichia
Tusaidie majibu yaliyotolewa baada ya Wakili Msomi kuuliza kuhusu "What is terrorism na who are terrorists?(Terrorists).Akili siyo nywele...
Hangaya na watu wake wanaenda kuumbuka!
 
Tusaidie majibu yaliyotolewa baada ya Wakili Msomi kuuliza kuhusu "What is terrorism na who are terrorists?(Terrorists).Akili siyo nywele...
Hangaya na watu wake wanaenda kuumbuka!
Haya ni maswali ya kitoto ..niyakuuwauliza watoto wa shule ya msingi.
 
Hapo vipi!!

Nimekuwa nafuatilia hii kesi ya Mbowe kwa ukaribu sana.

Na nimeshuhudia mapingamizi mengi ya kikosa nguvu ya kisheria hivyo kutupiliwa mbali mahakama.

Hii ni ishara inayoonyesha timu ya Jamhuri inayongozwa na prominent lawyer Robert kidando ni moto wa kuotea mbali.

Ninachokiona ni kwamba haya mapingamizi mengi yanayokatwa na upande Kibatala ni kujaribu kutengezea picture ya kuwaminisha wananchi yakwamba uwanja wanaochezea haupo fair; jambo ambalo ni utoto kabisa.

Pia wameonyesha kupanic panic pasipo sababu mfano leo mzee wa “what is terrorism” anatumia maneno makali mahakamani. Acha panic kijana, jenga hoja za kisheria vizuri
Hoja ya kwamba jamhuri inabebwa, wapinzani wamefanya kichaka cha kujifichia
Wanamwita eti ni shujaa , tuone huo ushujaa upo wapi
 
Endelea kufuatilia huenda ukajifunza kitu!

Jaji huyu aliwahi kuitupa kesi huko Mwanza baada ya kujiridhisha kuwa quotes za Sheria zilizotumiwa hazikuwa relevant sawa na pingamizi alilolitupa Leo!

Kasahau kuwa alishawahi kufanya rulling inayofanana na aliyoitupa! Hakufanya kwa maana ya kuwa alisahu bali analinda mkate wake kwani hajiongozi bali anaelekezwa la kufanya!

Haishangazi kwani nchi ina mhimili mmoja TU Kwa sasa yaani executive tangu awamu ya tano!

Je, umejifunza lolote mpaka hapo?
Mkumbushe basi ili shujaa wenu ashinde
 
Hapo vipi!!

Nimekuwa nafuatilia hii kesi ya Mbowe kwa ukaribu sana.

Na nimeshuhudia mapingamizi mengi ya kikosa nguvu ya kisheria hivyo kutupiliwa mbali mahakama.

Hii ni ishara inayoonyesha timu ya Jamhuri inayongozwa na prominent lawyer Robert kidando ni moto wa kuotea mbali.

Ninachokiona ni kwamba haya mapingamizi mengi yanayokatwa na upande Kibatala ni kujaribu kutengezea picture ya kuwaminisha wananchi yakwamba uwanja wanaochezea haupo fair; jambo ambalo ni utoto kabisa.

Pia wameonyesha kupanic panic pasipo sababu mfano leo mzee wa “what is terrorism” anatumia maneno makali mahakamani. Acha panic kijana, jenga hoja za kisheria vizuri
Hoja ya kwamba jamhuri inabebwa, wapinzani wamefanya kichaka cha kujifichia
Mtu kakutwa na Desa huko! Yaani wanafunzi kaingia examination room na desa.
Sema.na hilo
 
Hapo vipi!!

Kesi mpaka ije imalizike ni mchakato mrefu. Unaweza kuona kama wanazidiwa, ingawa mimi sioni hivyo. Lakini ujue pia hii ni hatua ya Mahakama Kuu. Bado kuna Mahakama ya Rufaa, ambayo kwa Tanzania ndiyo ya mwisho. Kuna fursa nyingine ya Mahakama ya Afrika Mashariki na ya Afrika (ambazo hukumu zao ni pursuasive), endapo upande usioridhika utaamua kukata rufaa au kupeleka shauri kwenye hizo mahakama. Hivyo, ni mapema mno kuona upande uliozidiwa na above all cha muhimu ni ushahidi unaotolewa ni kwa kiasi gani/uzito gani unawatia hatiani bila kuacha chembe ya shaka watuhumiwa.
Unatumia akili kubwa kujibu hoja za mpumbavu
Pole sana
 
Hapo vipi!!

Nimekuwa nafuatilia hii kesi ya Mbowe kwa ukaribu sana.

Na nimeshuhudia mapingamizi mengi ya kikosa nguvu ya kisheria hivyo kutupiliwa mbali mahakama.

Hii ni ishara inayoonyesha timu ya Jamhuri inayongozwa na prominent lawyer Robert kidando ni moto wa kuotea mbali.

Ninachokiona ni kwamba haya mapingamizi mengi yanayokatwa na upande Kibatala ni kujaribu kutengezea picture ya kuwaminisha wananchi yakwamba uwanja wanaochezea haupo fair; jambo ambalo ni utoto kabisa.

Pia wameonyesha kupanic panic pasipo sababu mfano leo mzee wa “what is terrorism” anatumia maneno makali mahakamani. Acha panic kijana, jenga hoja za kisheria vizuri
Hoja ya kwamba jamhuri inabebwa, wapinzani wamefanya kichaka cha kujifichia
Kama umeacha unafiki embu eleza hayo mapingamizi 'MENGI' yaliyotupiliwa mbali ni mangapi?

Nani asojua jaji anateuliwa na MTU anayetamani Mbowe afungwe!! Na pengine afe kabisa!! Ili asiteseke kuiba kura.

Ni marangapi wamemshitaki Mbowe na wenzie na washtakiwa wakashinda sanyingine kwenye rufaa ikiwemo kesi ya mdada alopigwa risasi na mafulishi (sivyema kumtaja)...

Kwanini mnakuwaga wazito kuelewa na kukumbuka? Au ubongo wenu uko makalioni unachanganyika na mafi???
 
Mkumbushe basi ili shujaa wenu ashinde
Bado anajievalute! Na baadaye atachagua kutumikia maagizo au taaluma yake! Na inavyoonekana atausikiliza moyo wake na kuamua kuitendea haki taaluma yake na kutenda haki! Nimkumbushe TU, na kukukumbusha na wewe kuwa Mungu wa haki hadhihakiwi kamwe kwani hutenda na kujibu maombi magumu!
 
Haya maneno tumeshayazoea ndio kichaka chenu cha kujifichia
Nijuavyo hata mazuzu ni matajiri, hivyo tusikariri kuwa anayeweza kuwa tajiri ni mwenye haiba Fulani, pekee, na utajiri upo anuai hata utajiri was ujinga,chuki,choyo,roho mbaya,ukatili upo.
 
Hapo vipi!!

Nimekuwa nafuatilia hii kesi ya Mbowe kwa ukaribu sana.

Na nimeshuhudia mapingamizi mengi ya kikosa nguvu ya kisheria hivyo kutupiliwa mbali mahakama.

Hii ni ishara inayoonyesha timu ya Jamhuri inayongozwa na prominent lawyer Robert kidando ni moto wa kuotea mbali.

Ninachokiona ni kwamba haya mapingamizi mengi yanayokatwa na upande Kibatala ni kujaribu kutengezea picture ya kuwaminisha wananchi yakwamba uwanja wanaochezea haupo fair; jambo ambalo ni utoto kabisa.

Pia wameonyesha kupanic panic pasipo sababu mfano leo mzee wa “what is terrorism” anatumia maneno makali mahakamani. Acha panic kijana, jenga hoja za kisheria vizuri
Hoja ya kwamba jamhuri inabebwa, wapinzani wamefanya kichaka cha kujifichia
Kiini macho tuu...mahakama na SERIKALI wameandaa hii kesi....mahakama inatoa nyaraka kwa mashaidi....na wanaendelea kukaa Kama semina kadri kesi inavyoendelea.
 
Back
Top Bottom