Mawakili wa Mbowe ni kama timu ya mpira iliyozidiwa, wanataka goli la mkono

Mawakili wa Mbowe ni kama timu ya mpira iliyozidiwa, wanataka goli la mkono

Hapo vipi!!

Nimekuwa nafuatilia hii kesi ya Mbowe kwa ukaribu sana.

Na nimeshuhudia mapingamizi mengi ya kikosa nguvu ya kisheria hivyo kutupiliwa mbali mahakama.

Hii ni ishara inayoonyesha timu ya Jamhuri inayongozwa na prominent lawyer Robert kidando ni moto wa kuotea mbali.

Ninachokiona ni kwamba haya mapingamizi mengi yanayokatwa na upande Kibatala ni kujaribu kutengezea picture ya kuwaminisha wananchi yakwamba uwanja wanaochezea haupo fair; jambo ambalo ni utoto kabisa.

Pia wameonyesha kupanic panic pasipo sababu mfano leo mzee wa “what is terrorism” anatumia maneno makali mahakamani. Acha panic kijana, jenga hoja za kisheria vizuri
Hoja ya kwamba jamhuri inabebwa wapinzani wamefanya kichaka cha kujifichia
Ila ww unajua umeandika matango pori
 
Hapo vipi!!

Nimekuwa nafuatilia hii kesi ya Mbowe kwa ukaribu sana.

Na nimeshuhudia mapingamizi mengi ya kikosa nguvu ya kisheria hivyo kutupiliwa mbali mahakama.

Hii ni ishara inayoonyesha timu ya Jamhuri inayongozwa na prominent lawyer Robert kidando ni moto wa kuotea mbali.

Ninachokiona ni kwamba haya mapingamizi mengi yanayokatwa na upande Kibatala ni kujaribu kutengezea picture ya kuwaminisha wananchi yakwamba uwanja wanaochezea haupo fair; jambo ambalo ni utoto kabisa.

Pia wameonyesha kupanic panic pasipo sababu mfano leo mzee wa “what is terrorism” anatumia maneno makali mahakamani. Acha panic kijana, jenga hoja za kisheria vizuri
Hoja ya kwamba jamhuri inabebwa wapinzani wamefanya kichaka cha kujifichia
Mama yako kwani katoka pale uwanja wa fisi?
 
Sheria za nchi hazipindishwi kirahisi rahisi kama unavyodhani vinginevyo UTAADHIRIKA.

Hapo vipi!!

Nimekuwa nafuatilia hii kesi ya Mbowe kwa ukaribu sana.

Na nimeshuhudia mapingamizi mengi ya kikosa nguvu ya kisheria hivyo kutupiliwa mbali mahakama.

Hii ni ishara inayoonyesha timu ya Jamhuri inayongozwa na prominent lawyer Robert kidando ni moto wa kuotea mbali.

Ninachokiona ni kwamba haya mapingamizi mengi yanayokatwa na upande Kibatala ni kujaribu kutengezea picture ya kuwaminisha wananchi yakwamba uwanja wanaochezea haupo fair; jambo ambalo ni utoto kabisa.

Pia wameonyesha kupanic panic pasipo sababu mfano leo mzee wa “what is terrorism” anatumia maneno makali mahakamani. Acha panic kijana, jenga hoja za kisheria vizuri
Hoja ya kwamba jamhuri inabebwa wapinzani wamefanya kichaka cha kujifichia
 
Kwani ukiwa mpumbavu wa kiwango chako hata kula mavi umezoea acha ulaji wa nyama za watu.
Wewe ni wa Lumumba pure makao ya mazuzu.
Kwa akili hizi ndio maana mnashindwa kesi mahakamani...ngoja prominent lawyer Robert kidando awanyooshe
 
Wacha wasusie waone anafungwa na viboko juu
Hata akifungwa bado shida zako ziko pale pale, utaendelea kubanwa mbavu na tozo, bei petrol (najua hata baiskeli humiliki anyway), unajua umasikini uko kwenye akili yako so hata hii nchi akitawala Malaika you will die poor...
 
Hata akifungwa bado shida zako ziko pale pale, utaendelea kubanwa mbavu na tozo, bei petrol (najua hata baiskeli humiliki anyway), unajua umasikini uko kwenye akili yako so hata hii nchi akitawala Malaika you will die poor...
Kwa akili hizi ndio maana mnashindwa kesi mahakamani...ngoja prominent lawyer Robert kidando awanyooshe
 
Huoni hiyo judgement aliyokuwekea ya huyo Jaji ZUZU ambayo inapingana na uhuni alioamua kuufanya jana? Au umeamua kujitoa ufahamu ili uamini unachotaka kuamini?

Huyu mrema anajua nini sasa..?
.
 
Ni Tanzania pekee jaji anatoa hukumu pasi na rejea ya vifungu vya kisheria au rejea ya kesi zilizokwisha amuliwa ila kwa kufuata mtazamo wake binafsi

Ni Tanzania pekee jaji anapingana katika mashauri mawili aliyoamua yeye ie shauri la kwanza Kesi no. 37 kati ya Wilfred John vs Paul Kazungu kuhusu wrong citition na hii kesi zote ni kuhusu wrong citition ila zina maamuzi tofauti jaji yule yule

Mpaka sasa kesi imeshakua na majaji watatu walioendesha kesi, mapingamizi matatu na kesi ndogo mbili ndani ya kesi ya msingi.

Tumeshuhudia uvunjwaji wa sheria na taratibu nyingi za msingi kuanzia ukamatwaji wa watuhumiwa, uendeshaji wa kesi yenyewe na baadhi ya maamuzi ya msingi kwenye mwendendo wa mashauri yanayotokana na kesi ya msingi.

Kesi inayofuatiliwa sana kuanzia serikalini, vyombo vya kimataifa, raia wa kawaida.

Kwaiyo ndugu #Tajiri Tanzanite uchambuzi wako naona ni wa kitoto na ni mwepesi Sana ukizingatia uzito wa kesi yenyewe hiyo ni kutokana uko biased kwamba mtazamo wako ni mwembamba sana. Cha kukushauri kunywa maji mengi hakikisha unakojoa kabla ya kulala maana inaonekana unaotaga vibaya usije kuzesha godoro
 
CCM ndo maana hamtaki katiba mpya, maana bila kubebwa na dola na mahakama hamuwezi kutoboa
 
Hapo vipi!!

Nimekuwa nafuatilia hii kesi ya Mbowe kwa ukaribu sana.

Na nimeshuhudia mapingamizi mengi ya kikosa nguvu ya kisheria hivyo kutupiliwa mbali mahakama.

Hii ni ishara inayoonyesha timu ya Jamhuri inayongozwa na prominent lawyer Robert kidando ni moto wa kuotea mbali.

Ninachokiona ni kwamba haya mapingamizi mengi yanayokatwa na upande Kibatala ni kujaribu kutengezea picture ya kuwaminisha wananchi yakwamba uwanja wanaochezea haupo fair; jambo ambalo ni utoto kabisa.

Pia wameonyesha kupanic panic pasipo sababu mfano leo mzee wa “what is terrorism” anatumia maneno makali mahakamani. Acha panic kijana, jenga hoja za kisheria vizuri
Hoja ya kwamba jamhuri inabebwa, wapinzani wamefanya kichaka cha kujifichia
Kwa kilaza kama wewe huwezi kuelewa,wewe una akili za kuvukia barabara na kwendea chooni tu
 
Kwa kilaza kama wewe huwezi kuelewa,wewe una akili za kuvukia barabara na kwendea chooni tu
CCM ndo maana hamtaki katiba mpya, maana bila kubebwa na dola na mahakama hamuwezi kutoboa
Hii hoja ya kubebwa imekuwa ikitumika vibaya na wapinzani..mbona ushahidi wa kwenye kesi ya mbowe upo wazi kuliko hata ule wa Sabaya wa kuunga unga
 
Endelea kufuatilia huenda ukajifunza kitu!

Jaji huyu aliwahi kuitupa kesi huko Mwanza baada ya kujiridhisha kuwa quotes za Sheria zilizotumiwa hazikuwa relevant sawa na pingamizi alilolitupa Leo!

Kasahau kuwa alishawahi kufanya rulling inayofanana na aliyoitupa! Hakufanya kwa maana ya kuwa alisahu bali analinda mkate wake kwani hajiongozi bali anaelekezwa la kufanya!

Haishangazi kwani nchi ina mhimili mmoja TU Kwa sasa yaani executive tangu awamu ya tano!

Je, umejifunza lolote mpaka hapo?
Ndio naliona Hadi inakera
 
Back
Top Bottom