Ushahidi unaungwa na kila shahidi nanatofautiana namwengine ndio kunyooka?Tusubiri tuone ila hii kesi imemkalia mbowe vibaya,na kwa ushahidi ulivyonyooka ..sijui
Kesi dhidi ya Mbowe ina faida au hasara gani kwa taifa?Hapo vipi!!
Nimekuwa nafuatilia hii kesi ya Mbowe kwa ukaribu sana.
Na nimeshuhudia mapingamizi mengi ya kikosa nguvu ya kisheria hivyo kutupiliwa mbali mahakama.
Hii ni ishara inayoonyesha timu ya Jamhuri inayongozwa na prominent lawyer Robert kidando ni moto wa kuotea mbali.
Ninachokiona ni kwamba haya mapingamizi mengi yanayokatwa na upande Kibatala ni kujaribu kutengezea picture ya kuwaminisha wananchi yakwamba uwanja wanaochezea haupo fair; jambo ambalo ni utoto kabisa.
Pia wameonyesha kupanic panic pasipo sababu mfano leo mzee wa “what is terrorism” anatumia maneno makali mahakamani. Acha panic kijana, jenga hoja za kisheria vizuri
Hoja ya kwamba jamhuri inabebwa, wapinzani wamefanya kichaka cha kujifichia
Kesi ya Sabaya CCTV camera zinamuonyesha kabisa kavamia duka na anapiga watu, huo ni ushahidi wa kuunga? Au ni wewe tu hujaziona hizo?Hii hoja ya kubebwa imekuwa ikitumika vibaya na wapinzani..mbona ushahidi wa kwenye kesi ya mbowe upo wazi kuliko hata ule wa Sabaya wa kuunga unga
Tusaidie majibu yaliyotolewa baada ya Wakili Msomi kuuliza kuhusu "What is terrorism na who are terrorists?(Terrorists).Akili siyo nywele...Hapo vipi!!
Nimekuwa nafuatilia hii kesi ya Mbowe kwa ukaribu sana.
Na nimeshuhudia mapingamizi mengi ya kikosa nguvu ya kisheria hivyo kutupiliwa mbali mahakama.
Hii ni ishara inayoonyesha timu ya Jamhuri inayongozwa na prominent lawyer Robert kidando ni moto wa kuotea mbali.
Ninachokiona ni kwamba haya mapingamizi mengi yanayokatwa na upande Kibatala ni kujaribu kutengezea picture ya kuwaminisha wananchi yakwamba uwanja wanaochezea haupo fair; jambo ambalo ni utoto kabisa.
Pia wameonyesha kupanic panic pasipo sababu mfano leo mzee wa “what is terrorism” anatumia maneno makali mahakamani. Acha panic kijana, jenga hoja za kisheria vizuri
Hoja ya kwamba jamhuri inabebwa, wapinzani wamefanya kichaka cha kujifichia
Haya ni maswali ya kitoto ..niyakuuwauliza watoto wa shule ya msingi.Tusaidie majibu yaliyotolewa baada ya Wakili Msomi kuuliza kuhusu "What is terrorism na who are terrorists?(Terrorists).Akili siyo nywele...
Hangaya na watu wake wanaenda kuumbuka!
Taja kesi moja tu unayomaanisha, kama zote hazikuishia kwa jamhuri kubwagwaKwa akili hizi ndio maana mnashindwa kesi mahakamani...ngoja prominent lawyer Robert kidando awanyooshe
Wanamwita eti ni shujaa , tuone huo ushujaa upo wapiHapo vipi!!
Nimekuwa nafuatilia hii kesi ya Mbowe kwa ukaribu sana.
Na nimeshuhudia mapingamizi mengi ya kikosa nguvu ya kisheria hivyo kutupiliwa mbali mahakama.
Hii ni ishara inayoonyesha timu ya Jamhuri inayongozwa na prominent lawyer Robert kidando ni moto wa kuotea mbali.
Ninachokiona ni kwamba haya mapingamizi mengi yanayokatwa na upande Kibatala ni kujaribu kutengezea picture ya kuwaminisha wananchi yakwamba uwanja wanaochezea haupo fair; jambo ambalo ni utoto kabisa.
Pia wameonyesha kupanic panic pasipo sababu mfano leo mzee wa “what is terrorism” anatumia maneno makali mahakamani. Acha panic kijana, jenga hoja za kisheria vizuri
Hoja ya kwamba jamhuri inabebwa, wapinzani wamefanya kichaka cha kujifichia
Mkumbushe basi ili shujaa wenu ashindeEndelea kufuatilia huenda ukajifunza kitu!
Jaji huyu aliwahi kuitupa kesi huko Mwanza baada ya kujiridhisha kuwa quotes za Sheria zilizotumiwa hazikuwa relevant sawa na pingamizi alilolitupa Leo!
Kasahau kuwa alishawahi kufanya rulling inayofanana na aliyoitupa! Hakufanya kwa maana ya kuwa alisahu bali analinda mkate wake kwani hajiongozi bali anaelekezwa la kufanya!
Haishangazi kwani nchi ina mhimili mmoja TU Kwa sasa yaani executive tangu awamu ya tano!
Je, umejifunza lolote mpaka hapo?
Ndeo akili za lema hizoWacha wasusie waone anafungwa na viboko juu
Ndiyo hivyo naye aonekane ametoa comment hatakama ni shuduHuyu mrema anajua nini sasa..?
.
Katiba mpya ndo itakuja kutetea magaidi mbona mnajitoa ufaham kiasi hichoCCM ndo maana hamtaki katiba mpya, maana bila kubebwa na dola na mahakama hamuwezi kutoboa
Tusubiri tuone ila hii kesi imemkalia mbowe vibaya,na kwa ushahidi ulivyonyooka ..sijui
Mtu kakutwa na Desa huko! Yaani wanafunzi kaingia examination room na desa.Hapo vipi!!
Nimekuwa nafuatilia hii kesi ya Mbowe kwa ukaribu sana.
Na nimeshuhudia mapingamizi mengi ya kikosa nguvu ya kisheria hivyo kutupiliwa mbali mahakama.
Hii ni ishara inayoonyesha timu ya Jamhuri inayongozwa na prominent lawyer Robert kidando ni moto wa kuotea mbali.
Ninachokiona ni kwamba haya mapingamizi mengi yanayokatwa na upande Kibatala ni kujaribu kutengezea picture ya kuwaminisha wananchi yakwamba uwanja wanaochezea haupo fair; jambo ambalo ni utoto kabisa.
Pia wameonyesha kupanic panic pasipo sababu mfano leo mzee wa “what is terrorism” anatumia maneno makali mahakamani. Acha panic kijana, jenga hoja za kisheria vizuri
Hoja ya kwamba jamhuri inabebwa, wapinzani wamefanya kichaka cha kujifichia
Unatumia akili kubwa kujibu hoja za mpumbavuHapo vipi!!
Kesi mpaka ije imalizike ni mchakato mrefu. Unaweza kuona kama wanazidiwa, ingawa mimi sioni hivyo. Lakini ujue pia hii ni hatua ya Mahakama Kuu. Bado kuna Mahakama ya Rufaa, ambayo kwa Tanzania ndiyo ya mwisho. Kuna fursa nyingine ya Mahakama ya Afrika Mashariki na ya Afrika (ambazo hukumu zao ni pursuasive), endapo upande usioridhika utaamua kukata rufaa au kupeleka shauri kwenye hizo mahakama. Hivyo, ni mapema mno kuona upande uliozidiwa na above all cha muhimu ni ushahidi unaotolewa ni kwa kiasi gani/uzito gani unawatia hatiani bila kuacha chembe ya shaka watuhumiwa.
Kama umeacha unafiki embu eleza hayo mapingamizi 'MENGI' yaliyotupiliwa mbali ni mangapi?Hapo vipi!!
Nimekuwa nafuatilia hii kesi ya Mbowe kwa ukaribu sana.
Na nimeshuhudia mapingamizi mengi ya kikosa nguvu ya kisheria hivyo kutupiliwa mbali mahakama.
Hii ni ishara inayoonyesha timu ya Jamhuri inayongozwa na prominent lawyer Robert kidando ni moto wa kuotea mbali.
Ninachokiona ni kwamba haya mapingamizi mengi yanayokatwa na upande Kibatala ni kujaribu kutengezea picture ya kuwaminisha wananchi yakwamba uwanja wanaochezea haupo fair; jambo ambalo ni utoto kabisa.
Pia wameonyesha kupanic panic pasipo sababu mfano leo mzee wa “what is terrorism” anatumia maneno makali mahakamani. Acha panic kijana, jenga hoja za kisheria vizuri
Hoja ya kwamba jamhuri inabebwa, wapinzani wamefanya kichaka cha kujifichia
Bado anajievalute! Na baadaye atachagua kutumikia maagizo au taaluma yake! Na inavyoonekana atausikiliza moyo wake na kuamua kuitendea haki taaluma yake na kutenda haki! Nimkumbushe TU, na kukukumbusha na wewe kuwa Mungu wa haki hadhihakiwi kamwe kwani hutenda na kujibu maombi magumu!Mkumbushe basi ili shujaa wenu ashinde
Nijuavyo hata mazuzu ni matajiri, hivyo tusikariri kuwa anayeweza kuwa tajiri ni mwenye haiba Fulani, pekee, na utajiri upo anuai hata utajiri was ujinga,chuki,choyo,roho mbaya,ukatili upo.Haya maneno tumeshayazoea ndio kichaka chenu cha kujifichia
Kiini macho tuu...mahakama na SERIKALI wameandaa hii kesi....mahakama inatoa nyaraka kwa mashaidi....na wanaendelea kukaa Kama semina kadri kesi inavyoendelea.Hapo vipi!!
Nimekuwa nafuatilia hii kesi ya Mbowe kwa ukaribu sana.
Na nimeshuhudia mapingamizi mengi ya kikosa nguvu ya kisheria hivyo kutupiliwa mbali mahakama.
Hii ni ishara inayoonyesha timu ya Jamhuri inayongozwa na prominent lawyer Robert kidando ni moto wa kuotea mbali.
Ninachokiona ni kwamba haya mapingamizi mengi yanayokatwa na upande Kibatala ni kujaribu kutengezea picture ya kuwaminisha wananchi yakwamba uwanja wanaochezea haupo fair; jambo ambalo ni utoto kabisa.
Pia wameonyesha kupanic panic pasipo sababu mfano leo mzee wa “what is terrorism” anatumia maneno makali mahakamani. Acha panic kijana, jenga hoja za kisheria vizuri
Hoja ya kwamba jamhuri inabebwa, wapinzani wamefanya kichaka cha kujifichia