Chaliifrancisco
JF-Expert Member
- Jan 17, 2015
- 26,021
- 79,710
Watu wengi wasichokijua ni hiki. Kesi ya Mbowe bado hata haijaanza.Yaani wewe ndio sifuri kabisa kwanza hujui hata kama kinachoendelea mahakamani ni kesi ndogo ya kuhusu namna ya ukamataji? Na hapo kesi ya ugaidi bado haijaanza jifunze kusoma kabla hujakirupuka
Hiyo ni kesi ndogo dada wala kesi yenyewe haijaanza kusikilizwa. Muwe mnauliza basi.Asante kwa kuliona Hilo hao mawakili wanauliza maswali mepesi ka unyoya wa jogoo kishenzi na kuacha maswali nkonki ka hayo uliyoyaandika Sasa hawako critical kwenye ku frame maswali ya maana
Maswali yako ni mepesi sana, kimsingi si maswali. Labda kama umeambiwa jitetee ndo unaweza kulialia namna hiyo.Unaleta ushabiki wa Simba na Yanga kwa mambo ya maana.
Ila hivo vitu ni vyepesi sana either case kubwa au ndogo vingi ushabiki tuHiyo ni kesi ndogo dada wala kesi yenyewe haijaanza kusikilizwa. Muwe mnauliza basi.
Niliwaza hivi ila nikahisi kwakuwa ikisikilizwa kwanza kesi ndogo katika kesi ya msingi nikaona bora niache kwanza, ila kwa hisia zangu naona kabisa Mh Mbowe uenda akatiwa hatiani lakini wanajaribu kuwahi asifikie huko na ndiyo maana wameenda kufungua kesi mahakama ya kimataifa kupinga kukatwa kwa Mbowe kama kulikiuka haki zake.
Niliwaza hivi ila nikahisi kwakuwa ikisikilizwa kwanza kesi ndogo katika kesi ya msingi nikaona bora niache kwanza, ila kwa hisia zangu naona kabisa Mh Mbowe uenda akatiwa hatiani lakini wanajaribu kuwahi asifikie huko na ndiyo maana wameenda kufungua kesi mahakama ya kimataifa kupinga kukatwa kwa Mbowe kama kulikiuka haki zake.
Hakunaga kitu kidogo mahakamani. Then pia katika haki za binadamu hakuna kitu kidogo. Unaweza kuona hayo yanayoulizwa hapo mahakamani ni kama mambo ya kitoto lakini mpaka muda huu impact itakuwa ni kubwa sana.Ila hivo vitu ni vyepesi sana either case kubwa au ndogo vingi ushabiki tu
Hilo swali lillilenga kuonyesha tofauti ya majibu kati ya mashahidi wawili waliohusika kuwakmata watuhumiwa.Na hili msingi wake ni kuonyesha kuwa ushahidi ni wa kupikwa.Tukio moja mmefanya pamoja kwa nini majibu yawe tofauti?Mtuhumiwa mlimkamata akiwa anakunywa supu au anatembea? tayari swali hilo la wakili msomi halafu baada ya jibu hakuna kinachofuata yaani alikuwa na maana gani kuuliza swali kama hilo
Yani jeshi hili la police libadilike kisa kesi hii , nadhani huwajui vizuri police wa nchi hii au unajisahaulisha.Hakunaga kitu kidogo mahakamani. Then pia katika haki za binadamu hakuna kitu kidogo. Unaweza kuona hayo yanayoulizwa hapo mahakamani ni kama mambo ya kitoto lakini mpaka muda huu impact itakuwa ni kubwa sana.
Itabadilisha sana jinsi jeshi la polisi linavyojiendesha kwa kuondoa ile tabia ya kufanya kazi kwa mazoea (bila kufata Police General Order). Pia kwa upande mwingine sisi raia ambao ni ma layman wa sheria tunapata kujifunza na kutambua haki zetu.
So mimi nadhani sio jambo dogo kama unavyofikiri. Ni kesi moja ya msingi sana.
You have nailed it brother....the burden ya walalamikaji ni ku prove their case beyond reasonable doubt! na kazi ya upande wa utetezi ni ku create reasonable doubts....ndicho wanachojaribu kufanya Kibatala na wenzie kwenye hii kesi ya Mbowe...kuonesha kuwa kuna mashaka makubwa juu ya hii kesi!kwa hivyo unakross examine kufatana na elements hizo ili kuibua mashaka......
Haraka ya nini?Katika ufuatiliaji wangu mdogo, watu wengi wameonekana kuwa na ushabiki na mihemko kuhusiana na kesi inayomkabili Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe.
Wengine wameonekana kuwasifia mawakili wa mtuhumiwa kwamba wana ustadi mkubwa katika kuwabana mashahidi wa upande wa mashtaka (eti hadi wanaomba kwenda msalani). Binafsi, naomba niwe tofauti. Mawakili wengi wa Kitanzania wanafanya mambo mengi kwa kukariri.
Ningependa maswali yafuatayo yaulizwe, either ndani au nje ya mahakama.
1. Je, Serikali imewahi kumhukumu au kumtuhumu Mbowe kwa tukio lolote la ugaidi ambalo liliwahi kufanyika ndani au nje ya nchi?
2. Ni kawaida sana kuona vikundi vya kigaidi vikiwa na majina ya kujitambulisha. Je, kwa mujibu wa uchunguzi wa Polisi, kikundi cha kigaidi anachodaiwa kuongoza Mbowe kinaitwaje?
3. Mbowe anajulikana zaidi nchini kama Mwanasiasa. Ugaidi kwa tafsiri ni lazima uwe na agenda fulani. Je, kwa mujibu wa uchunguzi wa Polisi, nini ni agenda ya kundi ambalo analodaiwa kuongoza Mbowe?
Sitegemei kama upande wa Mashtaka umejiandaa kujibu maswali ya namna hii hasa kama yataulizwa mwanzoni kabisa wa kesi. Majibu ya haya maswali kutoka kwenye vinywa vya upande wa mashtaka yana implications kubwa sana baada ya kesi, whether Mbowe amefungwa au ameachiwa huru.
Mawakili wa Mbowe, acheni kukariri kuhoji mapungufu ya technicalities. Hata kama kuna upungufu huko, kuyakomalia hayo hakuwezi kufanya kesi ifutwe kirahisi kama mnavyodhani. Nendeni moja kwa moja kwenye msingi wa kesi.
Sawa mkuu, kimtazamo tu, umesikia malalamiko ya watuhumiwa wale watatu jinsi wanavyosema walitembezewa kipigo Cha mbwa koko?Mkuu, usidhani sikuelewi au sijui unachokisema. Nadhani tofauti yetu ni mtazamo wa kwa nini kesi hii imefunguliwa in the first place. Kwa jinsi mawakili wanavyokalia maswali ya namna hii, ndiyo adhma ya serikali inapotimia, ambayo kwa upande wangu nadhani ni kumtoa tu Mbowe kwenye ulingo wa siasa kwa muda fulani. Hawana nia ya kumfunga Mbowe, hilo mimi naamini kabisa.
Waachane na preliminary examinations hizo, kama maswali ya msingi kama niliyosema hayawezi kuulizwa wakati huu, waipe pressure serikali na upande wa mashitaka kwa kuomba kesi iende kwenye trial na judgement haraka halafu wakayaulize haya maswali huko. Hilo litawavuruga zaidi maana nia ni kuipeleka kesi taratibu kwa jinsi inavyowezekana.
Msomi utauaππππ
View attachment 1949619
Okay ifikie mahali nisema kuwa that's a matter of perspectives. Seems kuwa wewe umeshaamua kuwa hilo ni suala dogo na halina maana kwa mtazamo wako. Basi niseme tu kuwa niliyoyaandika hapo juu ni mtizamo wangu wala sio lazima uwe sawa na wako mkuu.Yani jeshi hili la police libadilike kisa kesi hii , nadhani huwajui vizuri police wa nchi hii au unajisahaulisha.
Hyo case ndogo vitu ni vidogo na hvo vyote ni kupoteza mda na mbowe atasota na kuachiwa late hapo chama kinakuwa kimezorota na kushindwa kuji establish ndio lengo la case Sasa kuchelewesha itakula kwa mbowe
Kilaza bush lawayer amekurupuka tu huko alipotoka anaandika maruweruwe yake tu hapa.Yaani wewe ndio sifuri kabisa kwanza hujui hata kama kinachoendelea mahakamani ni kesi ndogo ya kuhusu namna ya ukamataji? Na hapo kesi ya ugaidi bado haijaanza jifunze kusoma kabla hujakirupuka