Mawaziri Selemani Jafo na Dotto Biteko watunukiwa PhD ya Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM)

Pamoja na maneno mengi sana..hujandika Selemani amepata PhD ya nini. Na ameisotea miaka mingapi. PhD nyingi vio vya bongo ni usanii mtupu..kifupi PhD nzuri unapata ukiwa scratched. PhD gani unamicheo kibao,? nani atakunyima huku ukienda na Bahasha bhana? If you want to Prove my point "Check how those so called Professors in the government wanadeliver nini.angalia jinsi wanavotushangaza..Mwingine jana tu anadai hajui kupanda kwa gharama ya vifaa vya ujenzi.
 
Vyuo "serious" lazima hiyo Dissertation yako itoe paper kwenye reputable journal hata kama una A zote kwenye coursework, bila kutimiza hicho kigezo huwezi kuruhusiwa kudefend dissertation (research) yako, Sasa kama hicho chuo ulichokitaja nacho ni serious then its Ok.
 
Basi huyu alikuwa anajua chemistry, CH114 and 220. Ukivuka hapo umemaliza UDSM from dept of science! Alimaliza form six, akenda Canada for BSc, MSc, and PhD from the same University! He was good upstairs!
Lakini alikuwa kicheche! Kicheche kabisa kwa maana halisi. Kicheche ni mnyama fulani huwa anasubiri ufuge kuku halafu aje kuwawinda bandani.
 
Kwani Jaffo ndiye mzaramo wakwanza kupata PhD ? Mbona kelele sana?
 
si rahisi kihivyo. Lazima hiyo kazi iwe publishable! Uko sahihi lkn lazima katika coursework kuwe na kitu kipya unakielezea, a new theory at least...... and something of that nature.......
 
Wewe tu ni mwanaume kama mabinti. Sisi hatuna mpango na hayo ma-PHD ya kuokoteza. Sisi tunachotaka uwajibikaji na utendaji bora. Tunataka watu kama Sokoine. Wasio na tamaa. Hizo PhD za siku hizi hata hazijulikani zina maana gani?.
 
Lakini alikuwa kicheche! Kicheche kabisa kwa maana halisi. Kicheche ni mnyama fulani huwa anasubiri ufuge kuku halafu aje kuwawinda bandani.
Niwe mkweli, amenifundisha miaka 4, sikusikia kitu hicho..... Prof Gaspar Ndaalio...alikuwa Mchaga. RIP my Prof!
 
Ungeandika tu kuwa Jafo anapata PhD leo ingetosha!
Mihemko yako ya kike ndio imeharibu kila kitu, ona unaogelea maneno sasa!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…