Mawaziri waliotemwa katika mabadiliko ya Baraza la Mawaziri

Mawaziri waliotemwa katika mabadiliko ya Baraza la Mawaziri

LABDA JERRY ATAWEZA KUMALIZA SHIDA NA MATATIZO NA DHULMA KATIKA WIZARA HII SUGU.
JERRY KATIKA UTENDAJI WAKO ITAKULAZIMU UTENGE MUDA WA KUSIKILIZA MATATIZO YA WANANCHI WEWE MWENYEWE, MAANA HATA UBADILISHE VIPI MAKAMISHNA HAITAKUSAIDIA KITU CHOCHOTE, MAANA WANAPOFIKA TU WAZEE WA JIJI HUWAWEKA FASTA MIKONONI KWA MSAADA WA WATUMISHI WAKONGWE, DAWATI LA KINONDONI.
*JERRY, KILA LA HERI.
Ardhi inateswa na rushwa sn
 
Yule naibu wa Maliasili kwa kweli ni zero kabisa.Kama January tu.Sema Mary na Ms Mabula wana damu ya kunguni.Maana January kabadilishiwq wizara pamoja na kuvurunda.
 
Rais Samia Suluhu Hassan leo Jumatano Agosti 30, 2023 amefanya mabadiliko Baraza la Mawaziri ambapo Waziri mmoja na Manaibu wawili wameachwa na nafasi zao zimechukuliwa na wengine.

View attachment 2733703
Aliyekuwa Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Dk Angeline Mabula

Miongoni mwa walioachwa ni aliyekuwa Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Dk Angeline Mabula ambaye nafasi yake imechukuliwa na Jerry Silaha Mbunge wa Ukonga.

View attachment 2733704
Aliyekuwa Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Mary Masanja

Pia, aliyekuwa Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Mary Masanja naye ameachwa huku nafasi hiyo ikichukuliwa na Dunstan Kitandula.

View attachment 2733705
Aliyekuwa Naibu Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi, Atupele Mwakibete

Mwingine aliyeachwa ni aliyekuwa Naibu Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi, Atupele Mwakibete ambapo kwa sasa wizara hiyo imegawanywa mara mbili; upande wa Ujenzi Rais Samia amemteua Godfrey Kasekenya kuwa Naibu Waziri na Uchukuzi amemteua David Kihenzile kuwa Naibu Waziri.

Mabadiliko haya yanatokea ikiwa ni siku 56 tangu afanye mabadiliko madogo katika baraza hilo kwa kuigawa Wizara ya Fedha na Mipango pamoja na Wizara ya Uwekezaji, Viwanda na Biashara na kuunda Wizara tatu; Ofisi ya Rais Mipango na Uwekezaji, Wizara ya Fedha na Wizara ya Viwanda na Biashara.

Ambapo alimteua Mbunge wa Ubungo Profesa Kitila Mkumbo kuwa Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Mipango na Uwekezaji.

Pia alimteua aliyekuwa Waziri wa Fedha na Mipango, Dk. Mwigulu Nchemba kuwa Waziri wa Fedha.
Walistahili kufukuzwa.Bado wafuatao

Ndunguru
Chana
Siluswa
 
Yeyote mwenye accomplishment za mama mabula.azisema hapa. Naona alipwaya sana zaidi ya kujipigia chapuo eneo la NHC la kawe packers kujitwalia
 
Rais Samia Suluhu Hassan leo Jumatano Agosti 30, 2023 amefanya mabadiliko Baraza la Mawaziri ambapo Waziri mmoja na Manaibu wawili wameachwa na nafasi zao zimechukuliwa na wengine.

View attachment 2733703
Aliyekuwa Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Dk Angeline Mabula

Miongoni mwa walioachwa ni aliyekuwa Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Dk Angeline Mabula ambaye nafasi yake imechukuliwa na Jerry Silaha Mbunge wa Ukonga.

View attachment 2733704
Aliyekuwa Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Mary Masanja

Pia, aliyekuwa Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Mary Masanja naye ameachwa huku nafasi hiyo ikichukuliwa na Dunstan Kitandula.

View attachment 2733705
Aliyekuwa Naibu Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi, Atupele Mwakibete

Mwingine aliyeachwa ni aliyekuwa Naibu Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi, Atupele Mwakibete ambapo kwa sasa wizara hiyo imegawanywa mara mbili; upande wa Ujenzi Rais Samia amemteua Godfrey Kasekenya kuwa Naibu Waziri na Uchukuzi amemteua David Kihenzile kuwa Naibu Waziri.

Mabadiliko haya yanatokea ikiwa ni siku 56 tangu afanye mabadiliko madogo katika baraza hilo kwa kuigawa Wizara ya Fedha na Mipango pamoja na Wizara ya Uwekezaji, Viwanda na Biashara na kuunda Wizara tatu; Ofisi ya Rais Mipango na Uwekezaji, Wizara ya Fedha na Wizara ya Viwanda na Biashara.

Ambapo alimteua Mbunge wa Ubungo Profesa Kitila Mkumbo kuwa Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Mipango na Uwekezaji.

Pia alimteua aliyekuwa Waziri wa Fedha na Mipango, Dk. Mwigulu Nchemba kuwa Waziri wa Fedha.
Hadi leo hii serikali yetu ina wizara gapi?
 
Rais Samia Suluhu Hassan leo Jumatano Agosti 30, 2023 amefanya mabadiliko Baraza la Mawaziri ambapo Waziri mmoja na Manaibu wawili wameachwa na nafasi zao zimechukuliwa na wengine.

View attachment 2733703
Aliyekuwa Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Dk Angeline Mabula

Miongoni mwa walioachwa ni aliyekuwa Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Dk Angeline Mabula ambaye nafasi yake imechukuliwa na Jerry Silaha Mbunge wa Ukonga.

View attachment 2733704
Aliyekuwa Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Mary Masanja

Pia, aliyekuwa Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Mary Masanja naye ameachwa huku nafasi hiyo ikichukuliwa na Dunstan Kitandula.

View attachment 2733705
Aliyekuwa Naibu Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi, Atupele Mwakibete

Mwingine aliyeachwa ni aliyekuwa Naibu Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi, Atupele Mwakibete ambapo kwa sasa wizara hiyo imegawanywa mara mbili; upande wa Ujenzi Rais Samia amemteua Godfrey Kasekenya kuwa Naibu Waziri na Uchukuzi amemteua David Kihenzile kuwa Naibu Waziri.

Mabadiliko haya yanatokea ikiwa ni siku 56 tangu afanye mabadiliko madogo katika baraza hilo kwa kuigawa Wizara ya Fedha na Mipango pamoja na Wizara ya Uwekezaji, Viwanda na Biashara na kuunda Wizara tatu; Ofisi ya Rais Mipango na Uwekezaji, Wizara ya Fedha na Wizara ya Viwanda na Biashara.

Ambapo alimteua Mbunge wa Ubungo Profesa Kitila Mkumbo kuwa Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Mipango na Uwekezaji.

Pia alimteua aliyekuwa Waziri wa Fedha na Mipango, Dk. Mwigulu Nchemba kuwa Waziri wa Fedha.
Waliostahili kuachwa ni
1. Mzee wa mawe.
2. Kaka yake na Februari,
3. Nape
4. Chana,
5. Masauni,
6. Makame.........
 
LABDA JERRY ATAWEZA KUMALIZA SHIDA NA MATATIZO NA DHULMA KATIKA WIZARA HII SUGU.
JERRY KATIKA UTENDAJI WAKO ITAKULAZIMU UTENGE MUDA WA KUSIKILIZA MATATIZO YA WANANCHI WEWE MWENYEWE, MAANA HATA UBADILISHE VIPI MAKAMISHNA HAITAKUSAIDIA KITU CHOCHOTE, MAANA WANAPOFIKA TU WAZEE WA JIJI HUWAWEKA FASTA MIKONONI KWA MSAADA WA WATUMISHI WAKONGWE, DAWATI LA KINONDONI.
*JERRY, KILA LA HERI.
Nakupa pole humjui Jerry Silaa, hapo ndio amepata fursa ya kutengeneza pesa za kampeni.

Wengi huwa hamjui kama Jerry ni Mchaga.
 
Waliostahili kuachwa ni
1. Mzee wa mawe.
2. Kaka yake na Februari,
3. Nape
4. Chana,
5. Masauni,
6. Makame.........
Ukiwaacha hawa kwenye hilo bunge la Mahoka utamteuwa nani?

Tatizo linaanzia kwa aina ya watu wanaopitishwa kugombea ubunge


Dawa ya jambo hili wabunge wasiwe mawaziri, Rais awe na mamlaka ya kumteuwa Mtanzania yeyote kuwa Waziri.
 
Rais Samia Suluhu Hassan leo Jumatano Agosti 30, 2023 amefanya mabadiliko Baraza la Mawaziri ambapo Waziri mmoja na Manaibu wawili wameachwa na nafasi zao zimechukuliwa na wengine.

View attachment 2733703
Aliyekuwa Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Dk Angeline Mabula

Miongoni mwa walioachwa ni aliyekuwa Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Dk Angeline Mabula ambaye nafasi yake imechukuliwa na Jerry Silaha Mbunge wa Ukonga.

View attachment 2733704
Aliyekuwa Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Mary Masanja

Pia, aliyekuwa Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Mary Masanja naye ameachwa huku nafasi hiyo ikichukuliwa na Dunstan Kitandula.

View attachment 2733705
Aliyekuwa Naibu Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi, Atupele Mwakibete

Mwingine aliyeachwa ni aliyekuwa Naibu Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi, Atupele Mwakibete ambapo kwa sasa wizara hiyo imegawanywa mara mbili; upande wa Ujenzi Rais Samia amemteua Godfrey Kasekenya kuwa Naibu Waziri na Uchukuzi amemteua David Kihenzile kuwa Naibu Waziri.

Mabadiliko haya yanatokea ikiwa ni siku 56 tangu afanye mabadiliko madogo katika baraza hilo kwa kuigawa Wizara ya Fedha na Mipango pamoja na Wizara ya Uwekezaji, Viwanda na Biashara na kuunda Wizara tatu; Ofisi ya Rais Mipango na Uwekezaji, Wizara ya Fedha na Wizara ya Viwanda na Biashara.

Ambapo alimteua Mbunge wa Ubungo Profesa Kitila Mkumbo kuwa Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Mipango na Uwekezaji.

Pia alimteua aliyekuwa Waziri wa Fedha na Mipango, Dk. Mwigulu Nchemba kuwa Waziri wa Fedha.
Kwa nini wale wenye vinasaba na Kanda ya ziwa wanaachwa? Je ni kwa sababu hua ni wazarendo ? Mashimba Ndaki mwenyewe alisha pigwa chini, ila sisi wananchi tunajua watu wa Kanda Ile ni wazarendo na wapiga kazi
 
Rais Samia Suluhu Hassan leo Jumatano Agosti 30, 2023 amefanya mabadiliko Baraza la Mawaziri ambapo Waziri mmoja na Manaibu wawili wameachwa na nafasi zao zimechukuliwa na wengine.

View attachment 2733703
Aliyekuwa Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Dk Angeline Mabula

Miongoni mwa walioachwa ni aliyekuwa Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Dk Angeline Mabula ambaye nafasi yake imechukuliwa na Jerry Silaha Mbunge wa Ukonga.

View attachment 2733704
Aliyekuwa Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Mary Masanja

Pia, aliyekuwa Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Mary Masanja naye ameachwa huku nafasi hiyo ikichukuliwa na Dunstan Kitandula.

View attachment 2733705
Aliyekuwa Naibu Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi, Atupele Mwakibete

Mwingine aliyeachwa ni aliyekuwa Naibu Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi, Atupele Mwakibete ambapo kwa sasa wizara hiyo imegawanywa mara mbili; upande wa Ujenzi Rais Samia amemteua Godfrey Kasekenya kuwa Naibu Waziri na Uchukuzi amemteua David Kihenzile kuwa Naibu Waziri.

Mabadiliko haya yanatokea ikiwa ni siku 56 tangu afanye mabadiliko madogo katika baraza hilo kwa kuigawa Wizara ya Fedha na Mipango pamoja na Wizara ya Uwekezaji, Viwanda na Biashara na kuunda Wizara tatu; Ofisi ya Rais Mipango na Uwekezaji, Wizara ya Fedha na Wizara ya Viwanda na Biashara.

Ambapo alimteua Mbunge wa Ubungo Profesa Kitila Mkumbo kuwa Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Mipango na Uwekezaji.

Pia alimteua aliyekuwa Waziri wa Fedha na Mipango, Dk. Mwigulu Nchemba kuwa Waziri wa Fedha.
Huyo Mabula Jimbo la Ilemela Lina Barabara mbovu balaa,bora akae kando!
 
Atupele Mwakibete halali yake kutemwa hajafanya chochote jimboni kwake

Barabara ya kutoka Katumba hadi mwakaleli taabu tupu wakati hiyo barabara ndiko kunatoka gesi na chai inayoingizia Chi pesa za kigeni kwa wingi

Yaani serikali inavuna pesa kule lakini kutengeneza barabara hawataki na Mwakibete wao
Kweli Mkuu hiyo Barabara Mimi tangu nipo mdogo na sasa Nina miaka 40,naenda Mwakaleli kwa Babu Barabara hiyo haina lami mpaka leo,achilia Mwakibete pia Mwandosya kwao pia aanapita hiyo njia,sasa sijui shida ni nini!
 
Back
Top Bottom