Mawaziri waliotemwa katika mabadiliko ya Baraza la Mawaziri

Mawaziri waliotemwa katika mabadiliko ya Baraza la Mawaziri

Ukiwaacha hawa kwenye hilo bunge la Mahoka utamteuwa nani?

Tatizo linaanzia kwa aina ya watu wanaopitishwa kugombea ubunge


Dawa ya jambo hili wabunge wasiwe mawaziri, Rais awe na mamlaka ya kumteuwa Mtanzania yeyote kuwa Waziri.
Tunafuata mfumo wa commonwealth country kwahiyo sio rahisi kuchomoka huko, labda wateule wote wa rais wazibitishwe na bunge lkn sio bunge hili ambalo halina meno.
 
Kweli Mkuu hiyo Barabara Mimi tangu nipo mdogo na sasa Nina miaka 40,naenda Mwakaleli kwa Babu Barabara hiyo haina lami mpaka leo,achilia Mwakibete pia Mwandosya kwao pia aanapita hiyo njia,sasa sijui shida ni nini!
Mwandosya nilishukuru Mungu kupigwa chini

Alipigania uwanja wa ndege awe tu na nyodo zake apande ndege Dar hadi mbeya au akitoka nje

Uwanja wa ndege ule halikuwa hitaji la wanambeya mbeya kunalimwa sana ndizi, viazi mviringo,mpunga,chai,mbao nk na kuna gesi

Vyote hivyo hakuna kinahitaji ndege vinasafirishwa na magari

Mwandosya naye alikuwa mjinga fulani hivi na u Uproffesa wake

Alitakiwa kupigania kujenga barabara ya katumba hadi Mwakaleli akiwa mbunge

Uwanja wa ndege ule haukutakiwa kuwepo wanapanda tu wafanyabiashara wachache wakinga walioko Mbeya mjini na viofisa vya serikali vichache vya mahakama, bunge na serikali na taasisi Vienda kikazi mbeya kwa gharama za taasisi zao

Kule kinahitajika zaidi barabara sio hilo wanja la ndege la Mwandosya mpenda ndege
 
Kweli Mkuu hiyo Barabara Mimi tangu nipo mdogo na sasa Nina miaka 40,naenda Mwakaleli kwa Babu Barabara hiyo haina lami mpaka leo,achilia Mwakibete pia Mwandosya kwao pia aanapita hiyo njia,sasa sijui shida ni nini!
Kuna vya ndege vinajengwa mikoa mbalimbali huwa ni hitaji la viongozi sio wananchi

Mojawapo ni kiwanja cha Songwe Mbeya lilikuwa hitaji la viongozi sio wananchi wazalisha chai, ndizi mpunga viazi mviringo na gesi zalishwa kule

Katika vitu Professor Mwandosya alichemka ni kutaka uwanja wa ndege mkubwa mbeya

Yaani Proffessor mzima alikuwa hata hajielewi kipau mbele kule kipi



Very sad
 
Atupele Mwakibete halali yake kutemwa hajafanya chochote jimboni kwake

Barabara ya kutoka Katumba hadi mwakaleli taabu tupu wakati hiyo barabara ndiko kunatoka gesi na chai inayoingizia Chi pesa za kigeni kwa wingi

Yaani serikali inavuna pesa kule lakini kutengeneza barabara hawataki na Mwakibete wao
Tangu wadogo gesi IPO,lkn lami hakuna.inaudhi sana
 
Atupele Mwakibete halali yake kutemwa hajafanya chochote jimboni kwake

Barabara ya kutoka Katumba hadi mwakaleli taabu tupu wakati hiyo barabara ndiko kunatoka gesi na chai inayoingizia Chi pesa za kigeni kwa wingi

Yaani serikali inavuna pesa kule lakini kutengeneza barabara hawataki na Mwakibete wao
Jamaa nimesoma nae, ila siku anatangazwa mbunge nilishangaa sana
 
Kuna kitu labda kashtuka
Kuwa kuna mahali watu wanamdanganya na kumpeleka kusiko na minong'ono yao ya kumnong'oneza ya uongo

Uongo na udanganyifu huwa una mwisho

Mtu hadanganyiki milele
Huyu Samia anadanganywa sana na mkwere na ndiye anayempeleka shimoni! Leo ameteua wajumbe wa baraza la mipango, kati ya wanne walioteuliwa wawili walikuwa ndio madalali wakubwa kwenye ubinafsishaji wa mashirika ya umma!! Ami Mpungwe ndiye dalali makubwa wa makampuni ya makaburu kuja kununua rasilimali zetu kwa bei ya kutupa ikiwemo benki ya NBC, Kilombero Sugar, TBL pamoja na TANZANITE ONE!

Mwenzie Omar ISSA ndiye aliyekuwa dalali wa kuwauziua wahindi TTCL ambayo baadae Magufuli alikuja kuinunua upya na kuirudisha serikalini!! Huyu huyu Omar Issa ndio alimletea Mkwere mradi wa mkopo toka World Bank ukiitwa BEST RESULTS NOW ambao alipoingia Ikulu, Magufuli aliufutilia mbali akiuita mradi wa UPIGAJI!!

Sasa hawa madalali ndio Samia ameshauriwa na mkwere awateuwe kwenye tume ya mipango unategemea nini? Ni muendelezo wa upigaji wao wa kifisadi basi.
 
Huyu Samia anadanganywa sana na mkwere na ndiye anayempeleka shimoni! Leo ameteua wajumbe wa baraza la mipango, kati ya wanne walioteuliwa wawili walikuwa ndio madalali wakubwa kwenye ubinafsishaji wa mashirika ya umma!! Ami Mpungwe ndiye dalali makubwa wa makampuni ya makaburu kuja kununua rasilimali zetu kwa bei ya kutupa ikiwemo benki ya NBC, Kilombero Sugar, TBL pamoja na TANZANITE ONE! Mwenzie Omar ISSA ndiye aliyekuwa dalali wa kuwauziua wahindi TTCL ambayo baadae Magufuli alikuja kuinunua upya na kuirudisha serikalini!! Huyu huyu Omar Issa ndio alimletea Mkwere mradi wa mkopo toka World Bank ukiitwa BEST RESULTS NOW ambao alipoingia Ikulu, Magufuli aliufutilia mbali akiuita mradi wa UPIGAJI!!

Sasa hawa madalali ndio Samia ameshauriwa na mkwere awateuwe kwenye tume ya mipango unategemea nini? Ni muendelezo wa upigaji wao wa kifisadi basi.

Labda ndio mipango yenyewe. Upigaji mpate akili Watanzania, ziwakae sawa. Mpate majembe, na majemedari kuwavusha.
 
Tangu wadogo gesi IPO,lkn lami hakuna.inaudhi sana
Kabisa

Sijui serikali inawaonaje watu wa kule wajinga,mbwa au kenge au nini? Kwa nini hawapeleki lami ? Pesa zivunwe kule watengeneze barabara kwao au Dar au kusiko na chochote kisa kiongozi mkubwa a
Huyu Samia anadanganywa sana na mkwere na ndiye anayempeleka shimoni! Leo ameteua wajumbe wa baraza la mipango, kati ya wanne walioteuliwa wawili walikuwa ndio madalali wakubwa kwenye ubinafsishaji wa mashirika ya umma!! Ami Mpungwe ndiye dalali makubwa wa makampuni ya makaburu kuja kununua rasilimali zetu kwa bei ya kutupa ikiwemo benki ya NBC, Kilombero Sugar, TBL pamoja na TANZANITE ONE! Mwenzie Omar ISSA ndiye aliyekuwa dalali wa kuwauziua wahindi TTCL ambayo baadae Magufuli alikuja kuinunua upya na kuirudisha serikalini!! Huyu huyu Omar Issa ndio alimletea Mkwere mradi wa mkopo toka World Bank ukiitwa BEST RESULTS NOW ambao alipoingia Ikulu, Magufuli aliufutilia mbali akiuita mradi wa UPIGAJI!!

Sasa hawa madalali ndio Samia ameshauriwa na mkwere awateuwe kwenye tume ya mipango unategemea nini? Ni muendelezo wa upigaji wao wa kifisadi basi.
Gesture Mongela aliongea ka clip.fulani akihutubia kuwa Samia amskie aachane na washauri wanaume wanapotosha hadi dunia

Huyo mwanaume aliyeongea Getrude Mongela mpotosha Samia nani? Kikwete au nani?

Gertrude Mwongela hiyo mada I'mo humu jamii forums wiki iliyopita akisisitiza Samia Asikie aachane na wanaume waponaompotosha ila hakutaja hao wanaume wanaompotosha Samia na uzee wake ni akina nani?

Umri wa Raisi Samia ni.wa kupotoshwa na wanaume? Swali aulizwe getrude Mongela
 
Rais Samia Suluhu Hassan leo Jumatano Agosti 30, 2023 amefanya mabadiliko Baraza la Mawaziri ambapo Waziri mmoja na Manaibu wawili wameachwa na nafasi zao zimechukuliwa na wengine.
o, Dk. Mwigulu Nchemba kuwa Waziri wa Fedha.
Kibwingu mkuu huo anachekesha kweli ,January yeye kapewa wizara nyingine licha ya kuvurunda, yule anayenfanya kazi kwa bidii eti ndo anetolewa sawa tusubiri tuone
 
Mwandosya nilishukuru Mungu kupigwa chini

Alipigania uwanja wa ndege awe tu na nyodo zake apande ndege Dar hadi mbeya au akitoka nje

Uwanja wa ndege ule halikuwa hitaji la wanambeya mbeya kunalimwa sana ndizi, viazi mviringo,mpunga,chai,mbao nk na kuna gesi

Vyote hivyo hakuna kinahitaji ndege vinasafirishwa na magari

Mwandosya naye alikuwa mjinga fulani hivi na u Uproffesa wake

Alitakiwa kupigania kujenga barabara ya katumba hadi Mwakaleli akiwa mbunge

Uwanja wa ndege ule haukutakiwa kuwepo wanapanda tu wafanyabiashara wachache wakinga walioko Mbeya mjini na viofisa vya serikali vichache vya mahakama, bunge na serikali na taasisi Vienda kikazi mbeya kwa gharama za taasisi zao

Kule kinahitajika zaidi barabara sio hilo wanja la ndege la Mwandosya mpenda ndege
Hii Barbara katumba to mwakaleli imo ktk mpango wa tanrod.Huyu kijana kilichomponza sio chawa sana kama wengine na ikizingatiwa Mwabukusi ni mzaliwa wa Busokelo kilichotokea kilitegemewa. Otherwise ni mchapakazi mzuri
 
Back
Top Bottom