Mawaziri waliotemwa katika mabadiliko ya Baraza la Mawaziri

Mwakibete ni mzigo hana jipya

Haaminiki tena na wapigakura
 
Kwa nini wale wenye vinasaba na Kanda ya ziwa wanaachwa? Je ni kwa sababu hua ni wazarendo ? Mashimba Ndaki mwenyewe alisha pigwa chini, ila sisi wananchi tunajua watu wa Kanda Ile ni wazarendo na wapiga kazi
Acha ukanda na ukabila wewe ndo aliyewaachia mjomba wenu yule Mwenda zake wewe unataka kuniambia watu wa kanda ya ziwa ndio perfect kuliko kanda nyingine? Na kwa taarifa yako tuko pale nchi hampewi tena hizo ni za ndani yani ile top 3 mtaisikia redioni
 
Mkuu umemchamba so poa[emoji16][emoji16]
 
Maneno kuntu hayo

Na siku akiteua Muslims wengi uje na slogan hii tena...
 
Mcheza akichemsha unabadilisha namba au unamtoa unaweka mchezaji mwingine yeye kazi aliyojipa ni kubadilisha namba kipa anacheza namba sita mara namba 3 anenda namaba 10 hapo ni akil au matope
 
Mitaa ya dar inachangia pato la taifa kuliko hiyo mwakaleli yako mara mia kadhaa mbele. Kufananisha mwakaleli nakuita mitaa ya dar eti ya wauza maandazi ni ujinga wa kiwango cha juu saana. Mbeya yote kimaingizo haifikii halimashauri moja tu ya dar. Ukibisha tafuta ukweli
Yaani kabisa kuna mandizi pia kibao yanaenda mikoa yote bado barabara serikali haitaki kutengeneza sehemu yenye uchumi mkubwa kama hiyo wanatengenezea barabara mitaani za wauza maandazi na vitumbua wa dar es salaam
 
Hiv pale mang'oma bado hawajaweka hata kakipande kadogo ka lami?
 
Ndo maana unatakiwa uwe na akili kama za mchwa kukaa hapo ardhi,au uwe untouchable kama January Makamba. Yule mama alivyokuwa waziri kamili ,nikajua hapa hatoweza.
 
Mbona unatafuta "scapegoat " mwenye madaraka ni mmoja ambaye amekabidhiwa Jamhuri kwa muujibu wa Katiba yetu. Huyo Mkwere anatoka wapi - au wewe ndio wale wanaamini kwamba Mwanamke hawezi kuwa Mkuu wa nchi lazima kuwa na mwanamume anaye mwongoza kwa "remote control". Hii ni Karne ya 21 - Achana na Mkwere lete hoja zako tuzielewe siyo kuturudisha nyuma kifahamu kama watoto wa chekechea - Mkwere alimaliza kazi yake salama na alikuwa mwanademokrasia kweli kweli, apewe Sifa zake.
 
Kama kuna Jimbo ambalo halijatendewa haki kwa nchi nzima ni Jimbo hili la Busokelo kutokana mchango wake kiuchumi.kwa wasilolijua Busokelo ilitoa mchango mkubwa kwa Zao la kahawa tangu uhuru.Baada ya Zao kupotea kwa magonjwa mazao mengine kama chai,parachichi,gas,mbao za stima,viazi, vyote vikitumia barabara ya vumbi hata baada ya Rais magufuli kuahidi kuijenga kwa kiwango Cha lami.Kinachoshangaza baadhi ya majimbo yaliyoanzishwa hivi karibuni yameunganishwa na lami.Unahitaji kuwa malaika kuona ni jambo la kawaida
 
Mkwere angemaliza kazi yake angejichimbia kwao ""MSOGA" akicheza na wajukuu zake kama alivyochimbia enzi za Magufuli!!! Leo hii Msoga hakukaliki kila leo yupo kisogoni kwa huyu bibi ndio maana anachanganyikiwa!! Ndio maana amemchagulia Samia TISS kachero Mkuu ili aweze kufanya vitu vyake!! He is a devil incarnate.
Mwanademocrasia kwa kuua waandishi wa habari? Mikono yake ina damu ya marehemu Mwangosi ; halafu wewe bwege unamsifia mwanademokrasia!
 
SAMIA ni mwanamke kama Wanawake wengine, kupotoshwa na wanaume ni rahisi sana!! Mtaani tunawaona wanawake wa umri kuzidi yeye na wanadanganywa na watoto wadogo kuliko wao itakuwa hao wa umri wa mkwere?
 
Ila ni ka-handsome..laabda amewaongezea nguvu kazi wanyambala??!!!
 
Na utalii utakuzwa na barabara?
 
SAMIA ni mwanamke kama Wanawake wengine, kupotoshwa na wanaume ni rahisi sana!! Mtaani tunawaona wanawake wa umri kuzidi yeye na wanadanganywa na watoto wadogo kuliko wao itakuwa hao wa umri wa mkwere?
Mkuu Bulesi Hivi ni kweli wanawake ni rahisi kudanganywa hata akiwa ni mwanamke mtu mzima?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…