Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
- Thread starter
-
- #141
Njoo bongo ucheze Simba ama Azam alafu baada ya mwaka utakwenda kucheza kwenye timu kama Namungo!FISTON MAYELE🎙️"MISRI Hakuna Kusifiwa Hakuna Kupostiwa, Huku Mechi Imeisha Umefunga Ume-assist, unarudi nyumbani kula wali unalala."
"Kuna ukweli Waarabu wana ubaguzi, ukija uwe umejiandaa "Niliwahi kuongea na viongozi sijaja hapa kukaa benchi, tofauti na hapo December naondoka, mmetoa pesa lazima nicheze."
"December tulienda Uarabuni, tukafungwa, kocha akaandika ripoti nitolewe kwa mkopo, president akakataa, kilichofuata huyo kocha akafukuzwa."
"Pyramids hakuna bonus, niliuliza wachezaji wakasema hakuna, nakumbuka ni mechi na TP ndio president aliahidi pesa, lakini kitu kizuri wanalipa mshahara mkubwa." - Mayele
Media zinampoteza na wanamtumia kwa sasa ndio watampoteza kabisa, lazima kuna jopo la watu nyuma yake wanamtumia kwa manufaa yao binafsi. Una wakala mzuri alafu unalalamika mkataba ulikukandamiza, ni ulofa, huwa naona ni machizi watu wanaolalamikia mikataba ambayo waliona terms and conditions zake zi kandamizi lakini bado wakakubali kusign. Kosa ni lake sio timu maana hakushikiwa mtutu wa bunduki ili asign.Mayele alijua akienda Misri atafunga tu kirahisi kama alivyofunga Tanzania jamaa anapenda sana media hata kocha wa Mamelodi alimwambia aache hizo mambo acheze mpira maana alipokosa Visa ya kuingia SA kwa wakati mechi yao na Mamelodi SA akaandika kwenye mitandao Mamelodi wameshawishi asipate Visa ili asishiriki na akasema Mkuje Misri...Mamelodi kama kawa wakatimba Misri na wakashinda ndio kocha akamwambia achana na upuuzi wa Media cheza mpira wakongo wengi wana vipaji ila mambo ya kushindana ndio yanawapoteza hata kwao vita ipo kwa sababu ya tabia zao za kipuuzi kama hizo...
Mayele hakua na sababu ya kutukana sehemu ambayo imemfanya apate jina na watu walimheshimu kweli sema kafanya mambo kama sio Professional.
Akirudi atacheza alafu baada ya msimu mmoja ataenda kulipwa 800k huko namungo.Njoo bongo ucheze Simba ama Azam alafu baada ya mwaka utakwenda kucheza kwenye timu kama Namungo!
Unawakumbuka ndugu zako hakina Tshimbimbi, Malinga nk.
😂 atulie tu akubali uhalisiaNamshauri akae kimya kwa sababu hajui kama anabishana na majini
Nani mchawi?kuishi na washirikina kuna hitaji hekima sana Fiston Kalala Mayele atakua kapata somo kwamba mchawi hana rafiki
Nani kaenda uarabuni akafanya alichofanya hapa bongo?
Ni mchezaji mzuri ila anajiharibia, simba wamchukue.Mayele ni mchezaji wa kawaida sana.
Ningependa harudi Tanzania acheze Simba ama Azam ndio mtaamini kauli yangu.
Ujinga anao yeye ndio auache, aache kuisakama timu yetu.Acha ujinga wewe mayele yupo sawa kabisa alichokiongea nyuma mwiko mnashida sana
Kama kuna vifungu vinamfunga kufanya hivyo kumkataba aviheshimu si alidondoka wino mwenyewe?Ameikosea Yanga... kuna timu zingine zinamhitaji hapa tz... msitumie mbinu zenu za kiu topology kumzuia kuja kucheza tanzania
Haki ipi ?Kwahy mlitaka kusifiwa wakati hamkumtendea haki.?
AwanyorosheAkuye kwa munyama awanyooshe
Mayele amesemajeHaki ipi ?
GSM alipoanza kuifadhili Yanga alichukua wacgezaji wengi kutoka Congo, mshikaji wangu akasema hii ni hatari sana kuwa na wachezaji wengi wq kulipwa toka nchi moja sababu wanaweza wakashiriki kwenye kurubuniwa kwenye baadhi ya mechi. Angalia wapinzani wao wanao wqchezaji wa nchi tofauti.😂 atulie tu akubali uhalisia
Yeye alikua anataka kutoka Yanga na alitaka kuwaonyesha kuwa anaweza kwenda popote ingawaje Yanga walimwambia watamuongezea mshahara akagoma kwa hiyo zile fursa za Yanga bado zinamuumiza hakuna kitu kizuri kama upo sehemu unapata furaha sasa anaona hawezi kurudi tena Yanga kwa mazingira aliyotoka ndio maana anashinda kwenye media...Media zinampoteza na wanamtumia kwa sasa ndio watampoteza kabisa, lazima kuna jopo la watu nyuma yake wanamtumia kwa manufaa yao binafsi. Una wakala mzuri alafu unalalamika mkataba ulikukandamiza, ni ulofa, huwa naona ni machizi watu wanaolalamikia mikataba ambayo waliona terms and conditions zake zi kandamizi lakini bado wakakubali kusign. Kosa ni lake sio timu maana hakushikiwa mtutu wa bunduki ili asign.
Kipindi cha Mayele mchezaji aliyekuwa mzuri alikuwa Baleke.Ni mchezaji mzuri ila anajiharibia, simba wamchukue.
ningesema ila sitaki ugomvi na mabroo wa kkooNani mchawi?
Ilikuwaje kwa Fei toto kuifunga Yanga?Huko ndio atapotea kabisa na hatoweza kuifunga yanga hata goli moya.
Haruna Niyonzima........Mayele alikosea kucheza utopoloni. Sio tanzania .hao utopolo akili hawana. .mchezaji wao yeyote akiwa mzuri akiondoka lazma watamchukia .angalia Morriston,feisal na sasa mayele. Hyo timu ndo tabia zake.we timu inaandika barua kuomba wapewe goli wana akili hao?