Mazishi ya Queen yamewageuza viongozi wetu Afrika kuwa watoto wa shule

Mazishi ya Queen yamewageuza viongozi wetu Afrika kuwa watoto wa shule

kavulata

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2012
Posts
13,778
Reaction score
14,214
Hadhi waliopewa viongozi wetu wa Afrika kwenye mazishi ya Queen sikuyapenda hata mimi, kama watoto wa shule vilee!! wamefuata nini cha mno? ona usafiri walipewa tofauti kabisa na wengine. Nani katuroga? njaa au nini? usipokwenda watakufanya nini?



 
Kuna mengi huyajui katika issue za kiusalama wa viongozi mkuu.
kama usalama sio rahisi kwa mtu mmojammoja kwanini uende mahala hapo kwa wakati huo? mbona viongozi wengine (sio waafrika) usalama wa kiongozi mmojammoja ulikuwepo? dharau hizo ujue!! Kila uhai una thamani kwa Mungu, maadui wa viongozi wetu wakuu wako kila nchi pia. Kulinda viongozi wetu kama vifanga vya kuku kwenye cage sio sawa.

 
😁😁😁
40406038.jpg
 
Hadhi waliopewa viongozi wetu wa Afrika kwenye mazishi ya Queen sikuyapenda hata mimi, kama watoto wa shule vilee!! wamefuata nini cha mno? ona usafiri walipewa tofauti kabisa na wengine. Nani katuroga? njaa au nini? usipokwenda watakufanya nini?

View attachment 2362652

View attachment 2362653
Kwani kuna shida gani? Huwa wanjikweza tu wakiwa hapa lakini ni wa kawaida sana! Mimi nawaangalia wale mabodigadi wao kuna mbinti mmoja yule kipepeo huwa anatembea kwa kutanua mikono hatari lakini huko mbona amenywea? Kumbe inawezekana kabisa marais kutembea bila walinzi!!😁😁😂😂😂
 
Nikiwaambia jpm wetu angemtuma waziri mnabisha.
Mseveni, kagame umewaona huko?unajua kwa nini? Si wababe? Lazima kulinda status walijua mzungu anaweza washushushia heshima .
Kilichowafanya wafanywe vile kule ni vitu vifuatavyo:

1. Demokrasia: Wazungu wanafahamu kuwa viongozi wa Afrika wameiba kura kupata urais, hakuna demokrasia

2. Mahakama: Wanafahamu kuwa Afrika hakuna utawala wa sheria na mahakama haziko huru.
3. Wizi: Wanafahamu kuwa viongozi wa kiafrika ni wezi tu kama wezi wengine, wanaibia watu wao wenyewe na kwenda kuficha ulaya na marekani, wanajisikia kichefuchevu kuwatazama.
4. Msimano: Hawaeleweki, hawana msimamo kwenye maswala ya kimataifa, eti hawafungamani na upande wowote. Duniani hakuna kitu kama hiko, hata bibilia inakataa watu kuwa vuguvugu.
5. Ombaomba: Wanaomba mno, hapo wanafahamu kuwa kuja kwao kwenye msiba ni kisingizio tu, lakini wamekuja kuomba hiki na kile, hili na lile kutoka kwa viongozi wakizungu waliochaguliwa kidemokrasia kwelikweli na watu wao watakaokwenda kuhudhuria mazishi. Yaani wameficha mabakuli yao kwenye vilemba na kanzu zao. Hawakusanyi kodi huko kwao wanataka kupewa tu za walipakodi wa kizungu,
 
Very disappointed Rais wangu kula Shuttle Kimbinyiko huko London
 
Kwani kuna shida gani? Huwa wanjikweza tu wakiwa hapa lakini ni wa kawaida sana! Mimi nawaangalia wale mabodigadi wao kuna mbinti mmoja yule kipepeo huwa anatembea kwa kutanua mikono hatari lakini huko mbona amenywea? Kumbe inawezekana kabisa marais kutembea bila walinzi!!😁😁😂😂😂
Subiri waakiiirudi sasaa kutoka huko!! kivumbi, airport na barabara zao zinafungwa kuruhusu wao tu awapite na misururu mirefu ya magari na walinzi (kodi na tozo) kwenda kuwalaki, traffic njia nzima hadi waendako, uasafiri wa wananchi, wagonjwa na mizigo unalemazwa kwa masaa 3 kupisha msafara huo upite, hivyo kazi za uzalishaji mali za wananchi zinasimama na watu (wafanyakazi, wanafunzi, wagonjwa, wafumaniaji) kuchelewa wanakokwenda.
 
kama usalama sio rahisi kwa mtu mmojammoja kwanini uende mahala hapo kwa wakati huo? mbona viongozi wengine (sio waafrika) usalama wa kiongozi mmojammoja ulikuwepo? dharau hizo ujue!! Kila uhai una thamani kwa Mungu, maadui wa viongozi wetu wakuu wako kila nchi pia. Kulinda viongozi wetu kama vifanga vya kuku kwenye cage sio sawa.


Huenda waliona ni rahisi kuwalinda wakiwa pamoja kuliko kumlinda mmoja mmoja.
 
Huenda waliona ni rahisi kuwalinda wakiwa pamoja kuliko kumlinda mmoja mmoja.
si ndio watoto wa shule wanavyolindwa bwenini hivyo? mbona akina Biden, Macron, etc haikuwa vile?
 
Back
Top Bottom