Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kikwete yeye sijamuona?school bus ya shule ya Cambridge
Sasa kama marais wetu hawana uadui wowote hii misururu mirefu ya magari na walinzi kwetu na kufunga barabara ni ya nini? inayokula kodi na tozo zetu? Kwanini kule ulaya unasema hakuna maadui wao lakini nyumbani wana maadui hivyo wana hitaji ulinzi mkali? eleza kidogo tukueleweSAsa kwa akili ya kawaida tu nani ana shida na raisi yeyeto wa kiafrica, ana impact gani duniani. Tofauti na raisi wa USA Wana maadui wengi na hatari yeyeto mda wowote.
kwahiyo huko kwao Afrika ndio wana maadui wengi kuliko ulaya? wanawafanya nini wananchi wao kiasi cha kuhitaji misululu ya walinzi na kufunga barabara?Ishu kuu ni usalama na wala Hakuna kingine. Kati ya Bideni na maraisi wa kiafrica nani yupo kwenye risk zaidi
Hao ndio wababe wa duniani,usakwa na magaidi na KILA aina ya maaduikwahiyo huko kwao Afrika ndio wana maadui wengi kuliko ulaya? wanawafanya nini wananchi wao kiasi cha kuhitaji misululu ya walinzi na kufunga barabara?
Kwetu huku misururu ni swaga SAwa na harmonize au diamond kutembea na lundo la walinzi ni swaga tu na sio uhatarishi wowote.Sasa kama marais wetu hawana uadui wowote hii misururu mirefu ya magari na walinzi kwetu na kufunga barabara ni ya nini? inayokula kodi na tozo zetu? Kwanini kule ulaya unasema hakuna maadui wao lakini nyumbani wana maadui hivyo wana hitaji ulinzi mkali? eleza kidogo tukuelewe
wametutia aibu sana sie waafrika kwakweliHii ni Ngorika au Raha Leo
Wamefunzwa matumizi bora ya pesa ya umma. Itashangaza wakirudi waendeleze ujinga wa safari zenye misafara ya magari 70 na helicopter 2 angani.Hadhi waliopewa viongozi wetu wa Afrika kwenye mazishi ya Queen sikuyapenda hata mimi, kama watoto wa shule vilee!! wamefuata nini cha mno? ona usafiri walipewa tofauti kabisa na wengine. Nani katuroga? njaa au nini? usipokwenda watakufanya nini?
View attachment 2362652
View attachment 2362653
Sio rais wako tu, rais wa dunia msafara wake ulikwama njiani.Very disappointed Rais wangu kula Shuttle Kimbinyiko huko London
Wamekomeshwa, mtu kaiba kura halafu anajiapisha kuwa Rais sawa na Macron, Biden na wengine waliochaguliwa kidemokrasia. Rais anashindwa hata kuwalisha watu wake, wanashindwa hata kupanga na kusafisha miji Yao.Wamefunzwa matumizi bora ya pesa ya umma. Itashangaza wakirudi waendeleze ujinga wa safari zenye misafara ya magari 70 na helicopter 2 angani.