Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ayaaa kumbe atar[emoji16][emoji16][emoji16]View attachment 2363215
unakula pesa za misaada ya wazungu ndio maana unasema hivyo, lakini kama ungethamini kusimamia rasilimali za afrika, biashara kati ya afrika, kukopeshana ndani ya waafrika na kumaliza migogoro ya waafrika ndani ya afrika ungeungana na hawa wanaolalamikia viongozi wao kusundikwa kwenye basi la shule kule UK.Waafrika ni watu wa ovyo sana, kazi kulalamika mambo yasiokuwa na msingi.