Acha Uongo sema huna hela, kwani hadi uwe huko aliko tu ndo umnunulie?
Were dogo deni LA Heslib umelimaliza? Si ulisoma Cuba wewe kwa heslip unadaiwa karibia mil 200Wakuu nawezaje kumpata ili nimlipie ada mpaka chuo kikuu?
Unayo akili timamu?Chadema mnasema maendeleo sio vitu kwenye sera yenu kwa nini mumempa vitu yaani madaftari na peni huyo mtoto?
Mwangalieni usoni dogo anavyowashangaa!! mbona mnasema maendeleo sio vitu halafu mnanipa vitu? Dogo anaonyesha wazi kachukia na hawaelewi Chadema anauliza nini hiki mlichonipa mkononi wakati mnasema maendeleo sio vitu na nimemsikia mimi mwenyewe Lisu akiongea nilipokuwa juu pale penye mti? Mbona siwaelewi?
View attachment 1572220
Sare nyingine za shule sio sare za shule nyingine.Safi sana, huyu ningekuwa huko alipo ningemnunulia pia sare za shule nyingine kama seti tatu hivi!
Kizazi cha haki, dogo kaweka historia ya kuwahi kuishi na "kumzimikia" mwanaharakati bora kabisa wa haki za binaadam na utawala bora kuwahi kutokea Africa!Ama hakika kutoa ni moyo , makamanda wa Mbarali wamemkabidhi madaftari na vifaa vingine vya shule bwana mdogo aliyelazimika kupanda juu ya mti ili kushuhudia Tundu Lissu akimwaga sera jukwaani .
Unaweza kuona kama ni jambo dogo lakini ni jambo linalofikirisha mno !
View attachment 1572209View attachment 1572210
Unaweza kumsikiliza dogo hapa akihojiwa na vyombo vya habari vya kimataifa
Tatizo lako wewe chanzo chako cha habari ni channel 10 na tbc na uhuru na mzalendo tu
Pole wewe uliyefungiwa ndani ya chumba nambari 4 hapo lumumbaWewee unajijua ? Pole sana
ππππ
Sasa mtoto kupanda juu ya mti ndio Jambo kubwaAma hakika kutoa ni moyo , makamanda wa Mbarali wamemkabidhi madaftari na vifaa vingine vya shule bwana mdogo aliyelazimika kupanda juu ya mti ili kushuhudia Tundu Lissu akimwaga sera jukwaani .
Unaweza kuona kama ni jambo dogo lakini ni jambo linalofikirisha mno !
View attachment 1572209View attachment 1572210
Unaweza kumsikiliza dogo hapa akihojiwa na vyombo vya habari vya kimataifa
Nyie mlipanda juu ya miti kuvuta bangi , huyu kapanda kuona UkomboziSasa mtoto kupanda juu ya mti ndio Jambo kubwa
Tushapanda Sana miti Kama tunataka kushangaa Jambo tulipokuwa watoto
Yaani watu mnapenda kukuza vituko kijinga a duuh