Zima vpn jaribu kufungu twitter kama itakubaliHivi twitter imefungwa tena ? Maana natumia VPN na sijawahi zima kizembe
Mfungo wa kwaresma unapatikana maeneo gani wote tuende tukamcheki kama yupo?Rais haumwi, yupo mfungo wa Kwaresma...
wanajua kuna wambea wataziona tu.Zima vpn jaribu kufungu twitter kama itakubali
Matumizi ya vpn kwa mujibu wa mamlaka ya mawasiliano ni illegal
Sasa ilikuwaje wapost habari nyeti kwenye twitter hususani zinazowahusu wa tanzania huku wakijua wameifungia na matumizi ya vpn yamepigwa marufuku?
Watu hawafahamu hilo. Ukisikia mtu kakamatwa na kushitakiwa kwa kumiliki program ya computer ndio vitu kama hivyoKwanini niwashe vpn kama haijafungwa?
Una habari kua kwa mujibu wa TCRA matumizi ya vpn ni illegal?
Polisiccm huenda ni fursa kwao kujipa sifa kwa CCMBadala ya kujibu hoja wanakamata watu, kama si kweli si ajitokeze? Mbona simple tu
Wanamtafuta twira!Wanamsaka wapi sasa? Kwenye mtandao au huku uraiani au popote pale?
Kumbe ndiye wewe unayeagiza mihogo kwa kulazimisha upewe kachumbari isiyo na pilipili?Acha kutisha watu muuza mihogo wewe wa Buza
Watakuwa TISS wapuuzi kufanya huo ujinga.Jamani mbona mnatuchanganya?. Mtu wangu wa karibu kitengo kanidokeza nisisumbuke na kuangaika na uvumi unaoendelea mtandaoni TISS wameamua kucheza na akili za watu kupotezea ishu ya mahindi kukataliwa Kenya.
Kigogo na Chahali ole wenu Jiwe azinduke
At least wewe umeliona hilo,View attachment 1724713Namhurumia sana mama Janeth wakati huu mgumu anaopitia.
Basi uwaache watamtafuta wenyewe usiwafundishe kaziKwan wanalipwa mshahara kwa kaz gan
Mbowe alizushiwa na watu wake mwenyewe,maana sakata la kutofautiana wao kwa wao limeanza kitambo.limekuja kujishihieisha majuz kwenye teuzi za viti maalum.Mkuu Ramadhani Kingai nikukumbushe siku chache zilizopita Mh. Mbowe na mwenzie walizushiwa kifo, acha huyo amezushiwa ugonjwa (wakati inawezekana kabisa kwamba ni mgonjwa kweli), sijui mmeshawashughulikia wahusika hao waliowazushia kina Mbowe kifo?.
hata kama amezushiwa na watu wake wenyewe serikali ilibidi it tamko.tena ni gazeti la musiba ndo maana watu wanafurahi jiwe kufa ili kiburi Cha kina musiba kiisheMbowe alizushiwa na watu wake mwenyewe,maana sakata la kutofautiana wao kwa wao limeanza kitambo.limekuja kujishihieisha majuz kwenye teuzi za viti maalum.
lile Ni gazeti la kina musiba ndo maana watu wanafurahi jiwe kufa ili kiburi Cha kina musiba kiisheMbowe unamlinganisha na Rais kweli!!? Rais wa nchi ni mkuu wa nchi na Amiri Jeshi wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama huwezi mlinganisha na Mwenyekiti wa Chama!
hawawezi kumkamata.lile ni gazeti la ccmJeshi letu la polisi liko makini, ila na najua tu hata yule aliyemzushia mrema wa chadema eti kafa a. kusini naye atakamatwa tu.
Aliwahi kupigwa na stuli hadi akazimasi huwa mnasema anapigwaga pia[emoji23][emoji23][emoji23]sio kwamba anafurahi na nyinyi ufipa!!!!
UFIPA BANA TABU SANA.
na aliishawahi mmwagia uji wa moto mpaka akalazwa.[emoji16][emoji16][emoji16]Aliwahi kupigwa na stuli hadi akazima
nani alimtuma jiwe amtangaze yule mama kanisani kuwa ni mgonjwa?Alikutuma umtangaze hata kama ni mgonjwa?!
umbea na kujifanya una update sana mjini ndio vinawaponza vijana.Ni AIBU kukamatwa na kuwekwa ndani kwasababu za kijinga kama hizi..