mkorinto
JF-Expert Member
- Jun 11, 2014
- 31,415
- 38,761
waziri mkuu amesema rais yuko salama.Hii mi serikali ya ajabu sana....!!
Badala ya kutafuta suluhu ya tatizo wao wanaongeza tatizo jingine 1 au zaidi!!
ila sababu mna hamu wacha yawakute.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
waziri mkuu amesema rais yuko salama.Hii mi serikali ya ajabu sana....!!
Badala ya kutafuta suluhu ya tatizo wao wanaongeza tatizo jingine 1 au zaidi!!
Kawatishe watoto huko FbKumbe ndiye wewe unayeagiza mihogo kwa kulazimisha upewe kachumbari isiyo na pilipili?
Unaogopa pilipili tu seuze maneno ya ukweli uchungu wake usipime!!!
Hicho kitengo kwenye magazeti yake ya propaganda wewe unadhani anafanya hivyo kwa jeuri ya nani, jaribu kutumia akili Mkuu usitumie MASABURI YAKO kupinga kila kitu.Musiba anaingiaje hapa, mbona musiba hajawahi kuwa kwenye teuzi za Rais, unajua kabisa rais wetu sio mnafiki kama angekua anamkubali musiba angeshampa kitengo
Kwahiyo hapo unaona umetumia akili weee kunyamburisha hoja zako, acha ujuaji mwingi, mwenye akili hajitekenyi na akachekaHicho kitengo kwenye magazeti yake ya propaganda wewe unadhani unafanya kwa jeuri ya nani, jaribu kutumia akili Mkuu usitumie MASABURI YAKO kupinga kila kitu.
Jibu hoja we kitimoto, hayo magazeti yanayo andika vifo vya viongozi wa upinzani waziwazi kwanini hayachukuliwa hatua na serikali yako uchwara?Kwahiyo hapo unaona umetumia akili weee kunyamburisha hoja zako, acha ujuaji mwingi, mwenye akili hajitekenyi na akacheka
Watu wanahaki kujua rais wao yuko wapi,nakubaliana na ww,lakini wakipewa majibu si waelewe!! tatizo linakuja pale wachache wao ambao wamechezewa akili,kuanza kuropoka mara kif...mara ugnja,kitu ambacho si kweli.Hii mi serikali ya ajabu sana....!!
Badala ya kutafuta suluhu ya tatizo wao wanaongeza tatizo jingine 1 au zaidi!!
Hivi kama MSEMAJI WA SERIKALI ANGEJITOKEZA MBELE YA MEDIA NA KUTOA UFAFANUZI JUU YA AFYA YA RAIS nani angeliendelea kupiga kelele??
Lakini kinachofanyika sasa ni kinyume kabisa!!! Kujaribu kuficha na kutishia watu wanaohoji Rais yuko wapi?
Foreign intelligenceKumbe nikajua wana deals na uchumi zaidi
Uzuri wa sheria za hovyo kama hizi ipo siku zitawageuka wenyewe muulizeni Omar Al Bashir,Hivi vyeo vinapita ilihali hizi sheria mbovu zitaendelea kuwepo.Acha kubwabwaja kijana mwenzako tayari ananyea debe!
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kipolisi Kinondoni, Ramadhani Kingai amesema Polisi wanamshikilia Charles Majura (35) ambaye ni Fundi Simu, kwa kosa la kimtandao kwa kusambaza taarifa za uzushi kuwa Rais Dkt. John Pombe Magufuli ni mgonjwa.
Pia, Kingai amesema wanamsaka mwanaharakati anayejiita Kigogo katika mtandao wa Twitter, kwa tuhuma za kuzusha hofu na uongo kwamba Rais John Magufuli anaumwa.
View attachment 1724776
Labda anaweza kuamua kurudi kwa kuwa hazimtoshi, lakini mtu mwenye akili timamu hawezi kurudi.Al Jazeera walipewa uongo na Lissu. Lissu akitua tu Keko
Una uhakika[emoji23][emoji23][emoji23] safi Sana jeshi la polisi
Huwa nafurahi sana wazushi wakinyakuliwa
Lissu kumbe kawa riporter wa al jazeera ?Al Jazeera walipewa uongo na Lissu. Lissu akitua tu Keko
😂😂😂 safi Sana jeshi la polisi
Huwa nafurahi sana wazushi wakinyakuliwa
Anamsikia kwenye biguraInamaana Huyo afande hamjui kigogo au ?
Acha kelele subiria badae ndo upigemikelele kilio cha msiba wa "pipo dai ini dhe reki"Magereza yapo mengi tu nchini, mnaofikiri nafasi zimejaa mtasekwa ndani tu hakuna namna
Kwani kuna ugumu gani raisi kujitokeza hadharani akasema chochote?Huyu sio kiongozi wa familia ni kiongozi wa nchi.Mkija kuomba kura mikono nyuma mkisha iba kura mikono mbele.Freedom of expression sio kueneza uongo. Hata humu jf ukiweka post na kusema Mac melo anaumwa wakati haumwi unakula ban
Mwala embu njoo unithibitishie PMAcha kelele subiria badae ndo upigemikelele kilio cha msiba wa "pipo dai ini dhe reki"
Huyo si ndiyo aliyekamatwa subiri zamu yako aisee,hawa watu huwa wananikera sana kwa kukosa kazi za kufa na kukalia uzushi tu mitandaoni na kuleta taharuki.Maajabu makubwa kabisa haya!
Amesambaza kwa kutumia media gani?
Hakuna weledi hapo. Waliosambaza ni wengine huyo wanamuonea tu ili waonekane wanapiga kazi. Mediocrely done.