Mbaroni kwa kusambaza uzushi Mtandaoni kwamba Rais Magufuli ni Mgonjwa. Kigogo wa Twitter naye anasakwa
Tusishabikie Uovu. Hii kitu inaweza kuleta vita vya wenyewe kwa wenyewe. Kiongozi mkuu wa chama unapofurahia mabaya kwa Rais wa nchi siyo jambo jema hata kidogo.kumbuka kuwa huyo unayemtabiria mabaya ana washabiki na wapenzi wa chama chake hata wasiyokuwa na chama.Angalia Burundi na Rwanda,Somalia, Iraq,libya etc.
Kumbe kuna kiongozi kafurahia.

Halafu wewe utakuwa hujakutana uovu, ndio maana unaita huu ni uovu.
 
Kwahiyo kila litakapotukia jambo lenye utata watalisolve kwa kumficha mzee na mzee atakubali?

Basi TISS na huyo wanayemficha wote hawana akili.
Kwa hiyo mzee anacheza KOKBORERA [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Jamani mbona mnatuchanganya?. Mtu wangu wa karibu kitengo kanidokeza nisisumbuke na kuangaika na uvumi unaoendelea mtandaoni TISS wameamua kucheza na akili za watu kupotezea ishu ya mahindi kukataliwa Kenya.

Kigogo na Chahali ole wenu Jiwe azinduke
Yaani unamaanisha amezimia
 
The clock is ticking tik tok!

We are desperately waiting for the most anticipated breaking news ever!

COUNT DOWN TO GLORY!
Count down to grory..jamani...real pp hate me this much😭😭
 
Mautawala mengine yaajabu sana eti ukilike habari nikosa unafungwa! Ku-like saingine inamaanisha nimeona ndomana hata taarifa zamsiba watu hu-like!! Viongozi washamba hawawezi elewa haya wao ni vitisho tuu kamazama za ukoloni? MTU umechunga weeee Leo ukubwani unaingia insta lazima utambwela!? Kiufupi Ukisemwa unaumwa tokeza useme sikweli basi inatosha. Binadamu wote nisawa no matter your position, tujifunze kwa walioendelea na kustaarabika...ubabe, vitisho, kutesa watu haviliinui taifa!!
 
Hakika bandiko lako limejaa dharau ya kitoto au kama ya mtu ambaye hakwenda shule.

Tuishi kwa kuheshimu taaluma za watu. Hata pale panapokuwa na makosa yasahihishwe kitaaluma na si vinginevyo.
You’re disgraceful. Shouldn’t have quoted me. You’ve exposed you’re behinds. Ngombe kasoro mkia.
 
Huyo si ndiyo aliyekamatwa subiri zamu yako aisee,hawa watu huwa wananikera sana kwa kukosa kazi za kufa na kukalia uzushi tu mitandaoni na kuleta taharuki.

Serikali nayo iko dhohofu kwakweli hivi watu kama hawa wanashindikana vipi kukamatwa?wanheiba kuku difenda zingejaa mjini kuwasaka
Nikamatwe kwasababu gani sasa!
 
hakuna kilio cha wengi mkuu.

kila mtu atalia kwa mguzo wake,wewe kapost ukijaaa utakula na wa kwenu.
Hivi ukimkamata muuza gazeti mmoja ndiyo solution ya kuzuia habari zinazosambazwa na media? Hata hapa JF hakuna shida, kwasababu hii ni forum. Unajuwa maana ya “media”?
 
Hivi ukimkamata muuza gazeti mmoja ndiyo solution ya kuzuia habari zinazosambazwa na media? Hata hapa JF hakuna shida, kwasababu hii ni forum. Unajuwa maana ya “media”?
haiwezi shikwa media,anashikwa mtu.

na hata kama haitazuia uzushi,bado wewe utakuwa uko ndani ukighalimu wazazi wako bila msaada.
 
Back
Top Bottom