Wewe mpuuzi, kwani hii nchi ni yako, acha utumwa
 
Ww mpuuzi, kwani hii nchi ni yako, acha utumwa
Ndio, hii ni nchi yangu, ndio maaana nasema TCRA wawafichue wale wote walio husika na kushabikia uzushi, wakamatwe na hatua kali zichukuliwe dhidi yake, tena naomba safari hii kabla hawajafikishwa mbele ya mahakama waonyeshwe hadharani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…