Kazi imeanza,! Watanyea ndoo sana hawa mibavicha!
Huyo aliyemkamata nadhani atakuwa ana uwendawazimu.

Hajawasikia waliosema kuwa Mbowe na Lema wamefariki? Amewafanya nini? Watu wajinga na wendawazimu kama huyo kamanda ndio wanaojenga hofu na kuleta chuki kubwa katika jamii.
 
wewe post,ukiulizwa uwataje BBC.
 
Sasa hii kesi ushahidi mtuhumiwa atamtaka rais atoke na madaktari wampime..

Akikutwa hata na UTI jamaa is safe.
 
Wanamsaka wapi sasa? Kwenye mtandao au huku uraiani au popote pale?

Halafu, hivi yule E.Chahali ana akili timamu kweli?
chahali alifukuzwa kazi kitengo baada ya kukanyaga nyaya za system.

tokea haoi amerukwa na akili,hayuko sawa kabisa.
 
Hivi twitter imefungwa tena ? Maana natumia VPN na sijawahi zima kizembe
Hawa jamaa hawako serious yaani wamefunga twitter halafu wanatumia hiyo hiyo twitter kama source ya kufikisha habari?
 
Unawakumbuka waliokuwa wanasema LOWASA ni MGONJWA!?
 
Matamko ya serikali!?
Wenye mamlaka ya kusema wapo kimya na siku zinaenda, unazuia uvumi kwa kukamata watu au kwa kuonyesha ukweli? Mbona kuwatafuta na kukamata ni kazi kubwa kuliko kusema tu mh. Raisi yupo kwake kwa mapumziko simpo tu"

Sipati picha, atavowananga watu kama kipindi kile alivozushiwa.
 
Hana hamu na wana mitandao! Wanakupa likes tu ila likikufika utaendelea kuwa peke yako

Kwani Mandela alivyoonda jela, weusi wote waliingia kukaa naye jela? Je hao wanaowasifia viongozi wa umma huwa na wao wanapanda yale maVX? Kwa taarifa yako hakuna mtu yoyote amekamatwa mpaka sasa, ila polisi wanatumia huo mkwara mbuzi ili watu wasiendelee kumpa makavu hilo jizi kuu la kura.
 
Wenye mamlaka mbona walishasema?
 
Taratibu chief

akikujibu nitag chap

agiza Bia hapo, Bill ije huku
 
Ungeyajua yote hayo usingetumia fake id
 
Usifananishe Mandela na vitu vya kijinga
 
Mimi ninamwomba Rais Magufuli na serikali yake kuwa wasitafute makosa kwa watu wengine bali ingekuwa busara kama yeye Rais na wasaidizi au watendaji wake wangejiuliza au kujitathmin wao wenyewe kuwa wamefanya makosa gani, mpaka hao watu au huyo kigogo akapata nafasi ya kujitutumua hivyo kwa kuleta uongo mitandaoni?

Nashangaa kwanini toka tusikie hizi tetesi za
kupotea kwake kutoka kwa hao waropokaji wa dunia wasioitakia mema Tanzania na watanzania kwa ujumla mpaka hii leo Rais Magufuli, kama bado yuko salama huko aliko, ameshindwa kupost hata clip moja, akawasalimia watanzania na kuwahakikishia kuwa yeye yu mzima na salama wa salmin?

Yeye na serikali yake wanavyo endelea kukaa kimya namna hiyo ina malengo gani kwetu sisi wapenzi wake?

Nachopenda kusisitiza kwa Rais wetu na watendaji wako wa serikali ni kwamba naomba utambue kuwa wewe sio tu Rais na kipenzi cha watanzania peke yetu, bali ni Rais na kipenzi cha wananchi wengi wa ulimwengu pia utake usitake. Matendo yako na ujasiri wako katika kipindi hiki kifupi cha muhula wako wa kwanza yametokea kuyapendeza wananchi wengi ulimwenguni hasa waafrika popote pale walipo duniani. Zaidi ya hayo wewe umekuwa matumaini yao na msemaji wao katika mapambano dhidi ya mabeberu.

Kwa hali hiyo nipende tu kukueleza kuwa usifikiri kukaa kwako kimya ni sifa. Kwa watu wengi ambao wewe ni matumaini yao kama nilivyo dokeza hapo juu ni kwamba kuto kujitokeza kwako kunatufanya sisi wazalendo wa nchi yetu Tanzanaia na wafuasi wako tuwe na mashaka na wasiwasi mkubwa. Usiku hatulali vizuri tuna kuwa na msongo wa mawazo kuhusu maisha yako na hali ya maisha ya watanzania na maendeleo yetu bila wewe itakuwaje?

Rais Magufuli naomba utambue kuwa wewe katika karne hii ya 21 mpaka sasa, sijui huko baadae, ni Star wa waafrika and you are more than akina Nyerere na akina Lumumba, kwa mtazamo wangu. Chochote kitakacho semwa kuhusu wewe basi ujue kuwa ulimwengu mzima utapata habari. Wewe kwenye ulimwengu uko kwenye Level ya akina Trump kiumaushuhuri.

Nitoe mfano kuhusu hii nchi ambayo ninanishi, kuna Magazine moja kwa jina la "SPIEGEL", hii Magazine ni kama TIMES na NEWS WEEK au SUN ya nchi tunazo zijua. Ni jarida ambalo linaheshimika sana Ujerumani na lina wasomi wengi ambao ni prominent kama akina Angela Merkel na wengineo. Sasa jarida kama hili likiandika mambo yoyote yale kuhusu wewe, yawe mabaya au mazuri, basi elewa kuwa you must be somebody to fear or to love.

Kwa bahati nzuri wewe kwa wazalendo wengi kama mimi nakupa BIG UP kutoka moyoni, lakini kwa wasaliti wachache wakiwemo wa-caucasian ni tishio kwao.

Kwa hali hiyo nakuomba chonde chonde Rais wetu tuondoe mashaka kwa kujitokeza kwa chochote kile. Kukaa kwako kimya hakutupi sisi wafusi wako faraja na amani, kunatufanya sisi tunyong'onyee sana na hivyo pia katika hili janga la COVID-19, tuweze kupungukiwa na immunity yetu na kuwa vulnerabe kwa CORONAVIRUS.

Wewe mwenyewe kila wakati unaimba wimbo wa kutaka sisi tusiwe na hofu, lakini hofu ya maisha yako ambayo wewe mwenyewe unasababisha kwa ukimya wako, hiyo huioni, isipokuwa hofu ambayo inasababishwa na CORONAVIRUS ndiyo unayoiona.

Hiyo ni double standard Rais wangu, huwezi ukatufanyia ubaya hivyo. Sisi tukiiona sura yako tu ni amani tosha.
Wewe ni ICON yetu sisi wanyonge na wazalendo wa nchi yetu na Race yetu. Wewe ni mpambanaji wa rasilimali zetu kwa maslahi yetu na ya waafrika wote kwa ujumla na pia uafrika wetu kwa hivi sasa kuliko Rais mwingine yeyote yule Afrika. Wewe ni mtetezi wa Race yetu dhidi ya Caucasians. Kwa hali hii tafadhali usifanye utani na maisha na afya yako!

Nakuombea maisha mema marefu na baraka nyingi zenye upendo kwa Mungu wetu wa Mbinguni!
 
Naona mmeanza na dagaa sio,
 
Kazi imeanza,! Watanyea ndoo sana hawa mibavicha!
Japokuwa sishabikii masuala ya kutangaziana habari za vifo wakati wahusi wako hai. Nikumbushe tu hii si mara ya kwanza wamejaribu kumtafuta kigogo. Walishajaribu before, hawakufanikiwa licha ya gharama kubwa kutumika.

Maybe tuone kwa sasa watakuja na njia gani.
 
Watawala, Mjitafakari matendo yenu..

Nchi imekosa mshikamano na badala yake tunaombeana mabaya hadharani,

Hakuna haja ya kukimbizana na watu mitandaoni.., mtakamata wangapi?

Jengeni nchi yenye umoja, msilingie na kujivunia vyeo mlivyo navyo

##YUKO WAPI RAIS WETU KIPENZI?
 
Freedom of expression sio kueneza uongo. Hata humu jf ukiweka post na kusema Mac melo anaumwa wakati haumwi unakula ban
Ila kwenye uchaguzi rais anaweza kuamua nani awe mbunge kinyume na box na box kura. Yaani watu hatujali uvumi, sisi wengine tuko kwenye maombi kabisa hilo jizi la kura litangulie ahera, nini kuzushiwa?
 
Ungeyajua yote hayo usingetumia fake id

Fake Id nimeanza kutumia kabla ibilisi hajawa rais. Kama yeye anajiamini mbona ndoa anatembea na walinzi zaidi ya 1,000?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…