Mbaroni kwa kusambaza uzushi Mtandaoni kwamba Rais Magufuli ni Mgonjwa. Kigogo wa Twitter naye anasakwa
Sheria za hii nchi ni za ki se nge sana
Hususani sheria ya mitandaoni ni za ki ma Ku ma ku
 
Achana na mimi cockroach. Wewe ni kiumbe mfu na usiye kuwa na hoja za kuargue na mtu kama mimi, tulio liona darasa kwa ndani na kupata exposure ya maisha kwenye nchi nyingine pia. Hoja zako za kibongo bongo ni nyepsi sana na hazina mantik. Ni hoja za masikini wa akili. Mtu asiye liona darasa kwa ndani. PERIOD!

Ni jizi la kura, na wewe huko ulaya huna lolote la maana zaidi ya kufua nguo za ndani za wazungu fullstop.
 
Badala mseme anauwa ili nchi ianze maombi rasmi ya kumnusuru mnaficha...endeleeni bac
 
Badala mseme anauwa ili nchi ianze maombi rasmi ya kumnusuru mnaficha...endeleeni bac
Huo uonevu unyanyasaji wa kukamata kamata watu hovyo ndiyo imepelekea wananchi kuichukia Serikali hii ya chato
 
Tatizo lililopo kuna watu mnawachukulia kama miungu fulani hivi kuwa hawawezi kuumwa Wala kufa. Mh Rais mstaafu Kikwete alijijua yeye ni binadamu ambaye anaweza kuuma na anaweza kufa pia. Na ndiyo maana alipoumwa alisema na hata tezi dume alienda kutibiwa kila mtu alijua na ikawa rahisi wananchi kumuombea.
 
BBC nao wamechukuliwa hatua gani?
Ndio maana hizi chuki kwa watawala haziishi kwakua nchi sasa inaongozwa kama wanavyoongoza familia zao nyumbani.

Mnahangaika na watu ambao kuwapata ni tabu mnawaacha BBC ambao wanaofisi zao kuwapata ni rahisi.

Ninyi mmezoea kuonea watu.Mnatunga sheria zisizo tekelezeka ili mfunge watu.Hivi kwa mfano unatunga sheria kupata haja ndogo ni mara moja kwa siku utakua na lengo gani kama si kulazimisha watu wavunje sheria ili muwafunge.?Hii cyber crime act inafanana kabisa na mfano huu wa sheria zisizotekelezeka.

Naamini kwa sheria hii hata ile ya jiwe "basi baki na mavi yako nyumbani" kama ni raia wa kawaida tayari umevunja sheria na unafungwa.

Kwa haya mnayoyafanya hizi chuki hazitaisha
Acha kubwabwaja kijana mwenzako tayari ananyea debe!
 
Tatizo lililopo kuna watu mnawachukulia kama miungu fulani hivi kuwa awawezi kuumwa Wala kufa. Mh rais mstaafu Kikwete alijijua yeye ni binadamu ambaye anaweza kuuma na anaweza kufa pia. Na ndiyo maana alipoumwa alisema na hata tezi dume alienda kutibiwa kila mtu alijua na ikawa rahisi wananchi kumuombea.
Huyo alikuwa anaumwa na alijitangaza mwenyewe. Huyu haumwi wewe unatangazaje? Umeshamsikia tena Balozi wa Mashoga anatoa updates za India/China? Ameshajua aliingia choo cha kike.
 
Kabla hawajamkamata, namba mojeri angejitokeza kama dakitare wa strateji pale tibisiii kukanusha ingekuwa gudi saner..! Hivi na wale walioandika kwenye gazzete kwamba uboowe naye kapita hivi wamekamatwa au..??? Najaribu kuota kwa loud subwoofer kibabe tuu, Msinimaize wasiojulikana black or white.. Jmoc njema tulipe kodi kwa spidi ya hatareeeee ila ukiokotwa kwenye mtaro kesho asubuhi haituhusu, kapambane na mning'inio..!
 
Maajabu makubwa kabisa haya!

Amesambaza kwa kutumia media gani?

Hakuna weledi hapo. Waliosambaza ni wengine huyo wanamuonea tu ili waonekane wanapiga kazi. Mediocrely done.

Hakika bandiko lako limejaa dharau ya kitoto au kama ya mtu ambaye hakwenda shule.

Tuishi kwa kuheshimu taaluma za watu. Hata pale panapokuwa na makosa yasahihishwe kitaaluma na si vinginevyo.
 
Back
Top Bottom