Mbeya City 1-0 Simba SC | Ligi kuu Tanzania bara | Mbeya

Mbeya City 1-0 Simba SC | Ligi kuu Tanzania bara | Mbeya

Sawa mmekosa penalty Ila BOCCO mmuangalie kwa jicho la pili, mpira umemurudi kaishia kutetemeka tu.

Haya sasahivi kasababisha faulo ya kijinga kabisa.
Hapo kwa John Bocco hata usimlaumu Bocco, lawama zote ziende kwa kocha, anawezaje kumpanga mtu asiyeweza hata kutuliza mpira na kutoa pasi kwa wenzake??? Yaani huyu bocco kwa kiwango chake cha sasa hata ligi daraja la tatu hachezi
 
Hivi wana Simba wenzangu kwanini wapinzani wetu mara nyingi wanadhoofishwa kwa kadi nyekundu au sisi kupewa penati? Nimefatilia toka kuanza kwa ligi paka leo karibu mechi zote lazima mpinzani wetu alimwe red card au tunapewa penati.. hii imekaaje wanasimba wenzangu
Red card ni halali hyo bt penalty sio halali hyo
 
Kwahiyo wewe ungekua refa usingekua unatoa adhabu kwa makosa yanayofanywa na wachezaji.Kuna makosa ya kawaida yanayoonekana kwamacho ya mtu yoyote sasa labda utuambie wewe ni kosa gani lililohukumiwa isivyo stahili ili tujiridhishe kua simba inanufaika zaidi.

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Inaonekana we huwa unaangalia mechi za Simba pekee ndio maana unatetea, makosa hayo yapo karibia kila mechi, hoja yangu kwann Simba awe mnufaika mkubwa???
 
Dah! Mbeya City wanaupiga mwingi!! Yaani kama Brazil vile. Timu iko pungufu lakini haikati tamaa. Yaani ni more than a team work aisee! Hongereni Mbeya City kwa mapambano[emoji123]

Wanyakyusa wote nchini tuko pamoja nanyi.
 
Kwahiyo wewe ungekua refa usingekua unatoa adhabu kwa makosa yanayofanywa na wachezaji.Kuna makosa ya kawaida yanayoonekana kwamacho ya mtu yoyote sasa labda utuambie wewe ni kosa gani lililohukumiwa isivyo stahili ili tujiridhishe kua simba inanufaika zaidi.

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Ukibebwa bebeka acha kulia lia kolo
 
Back
Top Bottom