Wakipekee
JF-Expert Member
- Aug 21, 2019
- 6,194
- 10,711
Acha hizo tangu lini mbeya city akawa mtani..Kila la kheri Mtani. [emoji120]
[emoji16]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha hizo tangu lini mbeya city akawa mtani..Kila la kheri Mtani. [emoji120]
🤔🤔Kila la kheri Mtani. 🙏
Kwanini wanacheza rafu sana ?Hivi wana Simba wenzangu kwanini wapinzani wetu mara nyingi wanadhoofishwa kwa kadi nyekundu au sisi kupewa penati? Nimefatilia toka kuanza kwa ligi paka leo karibu mechi zote lazima mpinzani wetu alimwe red card au tunapewa penati.. hii imekaaje wanasimba wenzangu
Mnaoangalia,vipi ni penati??
Bocccoooooooondiyo penalt