mzee wa bwaksi
JF-Expert Member
- Dec 1, 2021
- 2,255
- 3,972
Hapo kwa John Bocco hata usimlaumu Bocco, lawama zote ziende kwa kocha, anawezaje kumpanga mtu asiyeweza hata kutuliza mpira na kutoa pasi kwa wenzake??? Yaani huyu bocco kwa kiwango chake cha sasa hata ligi daraja la tatu hacheziSawa mmekosa penalty Ila BOCCO mmuangalie kwa jicho la pili, mpira umemurudi kaishia kutetemeka tu.
Haya sasahivi kasababisha faulo ya kijinga kabisa.
alipoanguka peke yake tu ulimwelewa?Nashindwa kuelewa pale kakosaje
Wanatutafuta ubaya tu,tuongee maneno ya hovyoBado kuna mtu anamuingiza Bocco mechi hii?????? Momoe sjui kwanini mikwaju imeondoka siku hizi pale Msimbazi
Red card ni halali hyo bt penalty sio halali hyoHivi wana Simba wenzangu kwanini wapinzani wetu mara nyingi wanadhoofishwa kwa kadi nyekundu au sisi kupewa penati? Nimefatilia toka kuanza kwa ligi paka leo karibu mechi zote lazima mpinzani wetu alimwe red card au tunapewa penati.. hii imekaaje wanasimba wenzangu
Inaonekana we huwa unaangalia mechi za Simba pekee ndio maana unatetea, makosa hayo yapo karibia kila mechi, hoja yangu kwann Simba awe mnufaika mkubwa???Kwahiyo wewe ungekua refa usingekua unatoa adhabu kwa makosa yanayofanywa na wachezaji.Kuna makosa ya kawaida yanayoonekana kwamacho ya mtu yoyote sasa labda utuambie wewe ni kosa gani lililohukumiwa isivyo stahili ili tujiridhishe kua simba inanufaika zaidi.
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Kwamba hakushika?Red card ni halali hyo bt penalty sio halali hyo
vyote halaliRed card ni halali hyo bt penalty sio halali hyo
Ukibebwa bebeka acha kulia lia koloKwahiyo wewe ungekua refa usingekua unatoa adhabu kwa makosa yanayofanywa na wachezaji.Kuna makosa ya kawaida yanayoonekana kwamacho ya mtu yoyote sasa labda utuambie wewe ni kosa gani lililohukumiwa isivyo stahili ili tujiridhishe kua simba inanufaika zaidi.
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app