Mkuu haukuwa kwenye ile mob ya kutaka Chama?haya ni matokeo ya kocha. kapanga mfumo wa kijinga akijilinda. halafu alikubalije dirisha dogo kufungwa bila kusajili striker wakati ni tatizo lolionekana mapema?
Kwa hizi striker zao Mayele hata asipofunga tena mpk ligi inaisha hawamfikii zile goli 6 zake[emoji1787]Tunasubiri mufarakane sasa. [emoji1787][emoji1787][emoji126]
Kabisa na tutaongeza la ushindi muda wa habari za Michezo. 🤣🤣🤣Hii game Simba tunashinda dakik za jion kabisaa
Acha utani labda kama utakua mgeni wa hii ligi kumbuka Kuna timu 16 msimu huu... Unapotoa sare na mbeya city huku yanga anaishinda coastal Union mkwakwani inabidi ujiulize Kuna nini??Bado mapema sana mkuu
Bado naamini tupo kwenye race
Uto watapoteana tu wakati huo tutakua tumeisha gain momentum
Simba kawa BataMimi naanza;
Chama arudi Simba na gundu...
Mpunguze midomo, kuna wakati wenzako walikuwa wanabeza goli moja,leo umeona umuhimu wake.Sawa Leo tumepoteza tutajipanga Kwa mechi ijayo.
Pongezi kwenu vyura Kwa Leo mmejitahidi kutusagia kunguni.
Ila wewe...[emoji1787][emoji1][emoji3][emoji16][emoji38][emoji12][emoji23][emoji848]Tunasubiri mufarakane sasa. [emoji1787][emoji1787][emoji126]
Sasa ulitaka wacheze kina nani na hao ndio wachezaji tegemeo wa Simba?Yametimia. Dalili zilikuwa wazi kabisa. Nidhamu ni jambo la msingi popote pale. Simba walipaswa wawe psychologically fit hususan unapocheza na timu za Mbeya. Unajaza magarasa akina boko na akina mugalu unawaweka kina Sakho kipindi cha pili. Hiyo ni dharau ya soka.
Midamu nhee [emoji1787][emoji1][emoji3][emoji16]Leo kakatwa mtu bikra
NGUVU MOJAView attachment 2085125
Safari hii naona gunia la lawama linawaangukia Bocco na Mugalu! Hatusikii tena zile ngonjera kuhusu GSM na Mkuu wa Mkoa! [emoji16][emoji16][emoji16]Mpira ulikua mzuri sema Mbeya city wamebebwa sana... [emoji1787][emoji1][emoji3][emoji16][emoji38][emoji12]
[emoji1787][emoji1][emoji3][emoji16][emoji38][emoji12][emoji23][emoji848]
[emoji1787][emoji1][emoji3][emoji16][emoji38][emoji12][emoji23][emoji848]
[emoji1787][emoji1][emoji3][emoji16][emoji38][emoji12][emoji23][emoji848]
[emoji1787][emoji1][emoji3][emoji16][emoji38][emoji12][emoji23][emoji848]
[emoji1787][emoji1][emoji3][emoji16][emoji38][emoji12][emoji23][emoji848]
makolo muli bwanji
Duuh kumbe na wewe ni mwananchi mwenzangu Mrs Liverpool??[emoji848]Aki ya nani[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hahahaaa. Sawa.BOCCO + MUGALU ni zaidi ya uchafu.