Mbeya City 1-0 Simba SC | Ligi kuu Tanzania bara | Mbeya

Mbeya City 1-0 Simba SC | Ligi kuu Tanzania bara | Mbeya

haya ni matokeo ya kocha. kapanga mfumo wa kijinga akijilinda. halafu alikubalije dirisha dogo kufungwa bila kusajili striker wakati ni tatizo lolionekana mapema?
Mkuu haukuwa kwenye ile mob ya kutaka Chama?
Kwanza unamtoaje beki mrefu Inonga ? Au alitaka kufungwa 2?
Kapombe uwezo unazidi drop
 
Bado mapema sana mkuu
Bado naamini tupo kwenye race
Uto watapoteana tu wakati huo tutakua tumeisha gain momentum
Acha utani labda kama utakua mgeni wa hii ligi kumbuka Kuna timu 16 msimu huu... Unapotoa sare na mbeya city huku yanga anaishinda coastal Union mkwakwani inabidi ujiulize Kuna nini??

Anyway time will tell ila najua yanga ana mechi moja tu ngumu ambayo ni dhidi yenu... Sasa unampotengeneza gape ujue hali inazidi kua mbaya...
 
Yametimia. Dalili zilikuwa wazi kabisa. Nidhamu ni jambo la msingi popote pale. Simba walipaswa wawe psychologically fit hususan unapocheza na timu za Mbeya. Unajaza magarasa akina boko na akina mugalu unawaweka kina Sakho kipindi cha pili. Hiyo ni dharau ya soka.
Sasa ulitaka wacheze kina nani na hao ndio wachezaji tegemeo wa Simba?
 
Kwa picha za marudio inaonesha kuwa kagere hakuwa offside, ila bocco Ndio alikuwa offside, hivo naimani mwamuzi msaidizi alinyoosha kibendera kwakuwa bocco alidhamiria kuucheza mpira na Kufanya iwe offside
 
[emoji1787][emoji1][emoji3][emoji16][emoji38][emoji12][emoji23][emoji848]

[emoji1787][emoji1][emoji3][emoji16][emoji38][emoji12][emoji23][emoji848]

[emoji1787][emoji1][emoji3][emoji16][emoji38][emoji12][emoji23][emoji848]

[emoji1787][emoji1][emoji3][emoji16][emoji38][emoji12][emoji23][emoji848]

[emoji1787][emoji1][emoji3][emoji16][emoji38][emoji12][emoji23][emoji848]


makolo muli bwanji

Bhalibwino
 
Back
Top Bottom