OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
ni kama uongozi hautazami mpira,hapa kocha anatakiwa kupewa maelekezo na uongozi. kama yeye anaona mchezaji mzuri basi waondoke woteKama Simba wakiendelea kumwingiza Bocco tutamwondoa sisi. Hana kiwango bado wanang'ang'ana kumwingiza.
Alishindwa kumalizia mpira wa penati tukakosa goli la kusawazisha,goli la pili mpira ulikuwa wa Kagere naye anasubira tu ikawa offside ,tumekosa magoli mawili kwa ajili yake
Simba tumeonewa sana, hata ile penat aliyokosa Mugalu ilitakiwa irudiwe kwa maana alipiga kabla ya filimbi ya refarii
Basi wewe huijui Simba, Magoli ameshasema wazi viongozi ndio wanaosajili wachezaji kwa kuangalia Simba inataka nini, kifaa ninachotumia hapa siyo rafiki ningekuwekea video clip umsikilize mwenyewe.mimi nachojua kocha anapendekeza anahitaji mtu wa namna gani au jina la mchezaji kabisa uongozi unafanyia kazi. hayo mengine siyajui
kweli bocco wa kumwingiza halafu mpo nyuma magoli mawilini kama uongozi hautazami mpira,hapa kocha anatakiwa kupewa maelekezo na uongozi. kama yeye anaona mchezaji mzuri basi waondoke wote
Mmeshinda tano kwa moja wewe bado unamlaumu kocha?ni kama uongozi hautazami mpira,hapa kocha anatakiwa kupewa maelekezo na uongozi. kama yeye anaona mchezaji mzuri basi waondoke wote
Tunawapa ile wanaita plain. π€£Ila wewe...[emoji1787][emoji1][emoji3][emoji16][emoji38][emoji12][emoji23][emoji848]
kwa timu iliyopo hakuna ufumbuzi. kwa sababu zimetolewa nyingi lakini ni moja tu aliyofunga Kagere juzi. upigaji penati ni uwezo wa asili,kufundishwa inachangia kidogo sana
Inabidi kocha atafute mpigaji mzuri wa uhakika, si mbaya akimjaribu Sakho.kwa timu iliyopo hakuna ufumbuzi. kwa sababu zimetolewa nyingi lakini ni moja tu aliyofunga Kagere juzi. upigaji penati ni uwezo wa asili,kufundishwa inachangia kidogo sana
Kweli barbra angeingia angefaa zaidikweli bocco wa kumwingiza halafu mpo nyuma magoli mawili
Kanoute huyu huyu wa akina Aucho 7 au mwingine??Dah, aliyechoka Kanoute then anatolewa Inonga. Hii ni shida sasa.
Wamefungwa tena bwana. π π πNisaidie kuna habari gani mjini?
ππAmenambia anasubiri kipindi cha tatu...[emoji1787][emoji1][emoji3][emoji16][emoji38][emoji12][emoji23][emoji848]
Pape ozimani sako atasawazisha
Vipi akimjaribu barbra au mangungu angefaa zaidiInabidi kocha atafute mpigaji mzuri wa uhakika, si mbaya akimjaribu Sakho.
mpira wa penati uligonga mwamba yeye na kipa wamebaki kumalizia tu anaanza kutuliza tena badala ya kuunganisha,mpira hauna nguvu upo slow ni ishu ya kumalizia anausimamisha tena aupige Hadi anakutwa.Daaah ila bocco ni jipu, sijaangalia mpira wala kusikiliza ila kia mwana lawama kapeleka huko
Plus Wakili Msomi Bernard Morrison! [emoji51][emoji51] Washambuliaji makatili John Boco, Chris Mugalu na Meddie Kagere!! [emoji16][emoji16][emoji16]Viungo wakali akina Nungunungu [emoji51][emoji51][emoji51], Kanoute, Mzamiru [emoji16][emoji16]Phd prof.Pape Ousmane Sakho + Mwamba wa Lusaka =mwingi mpaka unamwagika.