Anigrain
JF-Expert Member
- Nov 15, 2020
- 1,680
- 4,204
Ficha ujinga wako basi, we hujaona swali la mleta Uzi? Au ulitaka nijibu vipi.... Kwa hiyo andiko lako hili linaweza kubadili matokeo yakasomeka Mbeya City 1 na Simba 1. Nauliza tu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ficha ujinga wako basi, we hujaona swali la mleta Uzi? Au ulitaka nijibu vipi.... Kwa hiyo andiko lako hili linaweza kubadili matokeo yakasomeka Mbeya City 1 na Simba 1. Nauliza tu.
Kuchoka au out of game ni jambo la kawaidaKanoute huyu huyu wa akina Aucho 7 au mwingine??
Akili za nini sasa?. Kama wenye akili ndio hao wa jalalaniUnaweza ukawa na watu lakini hawana akili.
Afadhali presha yangu imeshuka sasa Mkuu.Nikimbie ili iweje?
Hawa ni tanesco wamefakisha
Hahahahaaa. Usijali Mtani ukirudi uchaji halafu uje uliendeleze mana wenzio watakuwa washasepa. 😀Ni umeme, simu haina chaji si unacheki hapo juu sasa hivi itazima
Ikizima msiponiona msiseme nimekimbia
View attachment 2085132
hapo ndio napomshangaa kocha na technical bench. maana toka pre season ilionekana striker ni tatizo. waliwezaje kuachana dirisha dogo likapita bila kusajili striker.Haikuwa sahihi timu kubaki na flops 3 Kwa wakati mmoja.
Hawana ubavuMabingwa wa mapinduzi, pindueni hapo kwa wanaume wa mkoani
labda tuanze na GSMKweli tumfukuze na mudi kama vipi wanatuharbia team
Simba nguvu moko
Ahahaaaaa....Hao jamaa wakibaki 10 uwanjani huwa wanakuja kama nyuki.[emoji23]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]We mbuzi weka update mamaeee
Ngoja niongee na mods wakupandishe cheo 😅Mkuu vp??
Huyu admin ajengewe sanamu [emoji16]
Kila siku sio j.pili mkuuPoleni sana watani. Leo ilikuwa ni siku ya kufa nyani! Haiwezekani mkose penati, lakini pia kushindwa kuifunga timu yenye wachezaji pungufu kwa zaidi ya dakika 50!