denooJ
JF-Expert Member
- Mar 31, 2020
- 18,509
- 68,228
Kwa hiyo kandambili mnataka mpewe ubingwa kabla hata round ya kwanza haijaisha?!
Game inayofata mkipigwa au draw msinune, mnyama bado yupo mawindoni na bahati mbaya mmeshamjeruhi, nyie ongozeni round ya kwanza kama kawaida yenu, sisi tutaongoza round ya pili mpaka mwisho
Game inayofata mkipigwa au draw msinune, mnyama bado yupo mawindoni na bahati mbaya mmeshamjeruhi, nyie ongozeni round ya kwanza kama kawaida yenu, sisi tutaongoza round ya pili mpaka mwisho