Kichwa Kichafu
JF-Expert Member
- Apr 13, 2017
- 44,855
- 189,385
Hawa Hawa Wanyakyusa Wamempiga Mtu Na Kitu Kizito.Wamefungwa tena bwana. [emoji28][emoji28][emoji28]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawa Hawa Wanyakyusa Wamempiga Mtu Na Kitu Kizito.Wamefungwa tena bwana. [emoji28][emoji28][emoji28]
Kimoko Tu Ila Watoto Mia[emoji23][emoji23][emoji23]Cha nguruwe mkuu
Hao Mbeya City Heri Ucheze Nao Wakiwa Kamili Ila Si Pungufu.Ahahaaaaa....
Makolo wameingia kwenye mtego mbaya sana,mbeya city ni wanyama..cha nguruwe kinauma kimoja watoto mia.Hao Mbeya City Heri Ucheze Nao Wakiwa Kamili Ila Si Pungufu.
Atiii? Kumbe leo tumepatikana dah ila sio mbaya sana ligi bado ndefu.Wabaya sana hawa Mbeya City wametufunga moja wao bila eti.
#Ndompira.
Acha kujificha kwenye shamba la karanga,wewe ni makolo...show love to your club.Yanga tusiongee sana. Ligi bado ndefu
Eeeh!Simba tumeonewa sana, hata ile penat aliyokosa Mugalu ilitakiwa irudiwe kwa maana alipiga kabla ya filimbi ya refarii
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]....Refa mda umetosha maliza mpira, Hawa Mbeya city wamecheza pungufu muda mrefu
Matches bado nying sana....league bado sanaaaaWANASIMBA TUKIRI TU KUWA MWAKA HUU SIO WA KWETU..... HATUNA KIKOSI CHA USHINDANI.....WACHEZAJI HAWAJITUMI.......
YALIYOPITA SI NDWELE TUGANGE YAJAYO...... LAKINI MSIMU HUU SI WA KWETU TUJIANDAE KISAIKOLOJIA.........
ALAMSIKI....
Ndio hao hao.Hawa Hawa Wanyakyusa Wamempiga Mtu Na Kitu Kizito.
Muonekano wa timu yetu hautupi matumaini ya kulitwaa kombe.....tunacheza kama mtu mmoja mmoja na sio kama timu......ukitazama Yanga wanavyocheza utaona kuwa Simba tuna safari ndefu sana msimu huuMatches bado nying sana....league bado sanaaaa
Eti bado ndefu. Lol.Atiii? Kumbe leo tumepatikana dah ila sio mbaya sana ligi bado ndefu.
Aende Ihefu huko akajifue!Hili jamaa linavyo cheza hasa ile penati dah...
Kweli Bocco akapumzike tuu jamanii tumechokaaaa
Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
Sidhani. 😅Maskini nawahurumia OKW BOBAN SUNZU na GENTAMYCINE sijui kama watalala usingizi leo.
Bega la boloMadokta tushatia maguu unyakyusani
Mbeya city wajichagulie bega