Prince Kunta
JF-Expert Member
- Mar 27, 2014
- 22,797
- 28,904
Huu uzi mtamu sana leo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
P O Box SakoChama is back, Triple C is back
Chama amerudi, CCC amerudi
NChi ya ahadiNi juzi tu watoto wa Fransis Mbeya wametoka kuibamiza Necta Tanzania nzima.
Leo tena baba zao wa Mbeya City wametoka kumbamiza Simba.
Yaani simba wetu amebamizwa kama mtoto mdogo.
Sisi wadar tuna nini lakini
😃😃😃😃😃😃😃NChi ya ahadi
Vitoto vya form four navyo vilifumua NECTA juzi, Tz nzima.Imbombo ngafu
Shida yako ni Simba tu, peleka jukwaa la michezoNi juzi tu watoto wa Fransis Mbeya wametoka kuibamiza Necta Tanzania nzima.
Leo tena baba zao wa Mbeya City wametoka kumbamiza Simba.
Yaani simba wetu amebamizwa kama mtoto mdogo.
Sisi wadar tuna nini lakini
TawireNawakumbusha SIMBA, Game 2 zijazo ni VS MTIBWA SUGAR Ugenini then KAGERA SUGAR ugenini.
Katika game hizo mbili Simba ataangusha point 2 au 3.
Nina uhakika na hili.
Wanaongoza hata kuchoma masoko ya wamachingaVitoto vya form four navyo vilifumua NECTA juzi, Tz nzima.
Mpira hauna maana. Yaani leo Bocco wa kutukanwa hivi na mikia?. Muondoeni kwa heshima. Kawabeba sana huyu,na siku zote mlimliliaViongozi wa Simba ni Matako sana BOCCO na shoga yake MUGALU walkuwa ni wakufukuza.