Kiti Chema
JF-Expert Member
- Oct 18, 2017
- 1,793
- 1,961
Simba yalia mbele ya Mbeya jiji, gazeti la mwanasport j,nne
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HIVI NDIO VIAPO SASA!!Simba akishinda leo naweka hapa, PICHA YANGU, KITAMBULISHO CHA KAZI, MAJINA KAMILI NA FAMILIA YANGU. Najua mtakuwa na MSHANGAO sana kwa kutoamini kuwa huyu mtu msumbufu humu ndani ndio huyu.
Uyu kocha wetu sio.dirisha dogo linafungwa kashindwa kabisa kupendekeza stricker wa maana pale mbele.Plus Wakili Msomi Bernard Morrison! [emoji51][emoji51] Washambuliaji makatili John Boco, Chris Mugalu na Meddie Kagere!! [emoji16][emoji16][emoji16]Viungo wakali akina Nungunungu [emoji51][emoji51][emoji51], Kanoute, Mzamiru [emoji16][emoji16]
Kuna timu ya kuwazuia kuchukua point zote 3 muhimu kweli?
Mkuu Mbona Ile Mechi Umeshinda[emoji23]Embu potezeeni basi watani.
Tutaweka wapi sura zetu sisi mashabiki wa Simba na midomo michafu ya nyinyi vyura.
Sio kwa Yanga hii weeeeeeee....Yanga tusiongee sana. Ligi bado ndefu
Niache kwanza nasikia kizunguzungu.Mkuu Mbona Ile Mechi Umeshinda[emoji23]
Mkuu unakosea sana. Chambua mpira kitaalam sio kishabiki. Tatizo la simba sio kuwa na striker mpya. Hata ukileta striker mwingine tatizo litabaki palepale kama hakuna mfumo unaoeleweka kwa kuwalisha mastriker mipira ili wafunge. Simba tatizo benchi la ufundi. Huyo Mugalu leo amepenyezewa mipira mingapi kutoka kwa viungo ili afunge?hapo ndio napomshangaa kocha na technical bench. maana toka pre season ilionekana striker ni tatizo. waliwezaje kuachana dirisha dogo likapita bila kusajili striker.
Nafahamu ili mpoteze ubingwa huwa kuna ujinga lazima ufanyike
Hujakosea Mkuu nafikiria kuja na hilo 'Andiko Gazeti' langu juu ya Udundula ( Ujinga ) uliotokea Leo Sokoine Stadium ila nasubiria Kwanza Hasira zangu zipungue ila nikimfikiria to Kocha Pablo, Mshambuliaji Mugalu na Nahodha Boko zinaibuka tena.Aisee muda huu GENTAMYCINE atakua anaandika gazeti huku machozi yakimtiririka kwa hasira.
Mkuu hakuna haja ya kuandika gazeti reeefu. Simba haina striker. mpira unachezwa sehemu ya wazi. Mimi kweli sio mchambuzi wa soka. Ila nimeandika nachokiona.Mkuu unakosea sana. Chambua mpira kitaalam sio kishabiki. Tatizo la simba sio kuwa na striker mpya. Hata ukileta striker mwingine tatizo litabaki palepale kama hakuna mfumo unaoeleweka kwa kuwalisha mastriker mipira ili wafunge. Simba tatizo benchi la ufundi. Huyo Mugalu leo amepenyezewa mipira mingapi kutoka kwa viungo ili afunge?
Narudia tena tatizo la simba ni benchi la ufundi: Nina mashaka sana na uwezo wa PABLO katika jinsi ya kuwatumia kiufundi wachezaji alionao. Angalia hata sub zake ni za hovyo achilia mbali game plan zake ambazo nyingi sio za kushambulia kutafuta matokeo mapema bali zaidi ni kujilinda.
Huku sisi tukimuombea Simba apingwe mechi zingine 2 na droo 3, haya tufanye Mungu kapokea maombi yetu sote, nani bingwa hapo?![emoji3][emoji3]Bocco Astaafu kwa Heshima, ni kweli Mugalu kakosa Penalt lakini Bocco kashindwa nn kumalizia tuu Pale.
Ila Bado nina Imani Simba Atakuwa Bingwa. Sasa Tunahitaji Yanga Apate Draw 2 au 1 na Kufungwa Mechi Moja
Tuna Imani na Polisi Tanzania. Ngoja Tuone
Pamoja sanaShukran mnoo 1954 🙏🙏
Kocha anayedhani ili timu ishinde inatakiwa kuwa na Washambuliaji wengi kadri iwezekanavyo?Hujakosea Mkuu nafikiria kuja na hilo 'Andiko Gazeti' langu juu ya Udundula ( Ujinga ) uliotokea Leo Sokoine Stadium ila nasubiria Kwanza Hasira zangu zipungue ila nikimfikiria to Kocha Pablo, Mshambuliaji Mugalu na Nahodha Boko ziinaibuka tena.
[emoji23][emoji23][emoji23] kwani makolo yana akili basHuku sisi tukimuombea Simba apingwe mechi zingine 2 na droo 3, haya tufanye Mungu kapokea maombi sote, nani bingwa hapo?![emoji3][emoji3]