Bill
JF-Expert Member
- Oct 5, 2007
- 9,258
- 10,014
Kama ni kututenda Pablo, Babra, Mugalu na akina Bocco wanajua.Huyu Bill ni best yangu sana hadi nimejikuta namuonea huruma. 😅😅😅
Leo uzi umekuwa mchungu kwake. 😀
Kwa vile hakuna watu waaminifu kama mashabiki wa mpira. Hakuna namna tunakomaa.