mwanausangi
JF-Expert Member
- Nov 4, 2021
- 548
- 608
pelekeni malalamiko yenu tff, msitulilie hapaaa!!makolo ulibwanji nyieeeWachezaji wengi walioanza Jana hawakuwa na Mechi Fitness kutokea Mapinduzi. Sijui ni nini Mugalu alianza kabla ya Kagere, Sijui ni Nini Mzamiru alianza, Sijui ni Nini Morrison Alianza huku Sakho Akiwa Bench, Sakho hata alipo ingia Impact Yake Ilionekana. Kitendo cha Kumuanzisha Benchi Sakho ni Kumrudisha Nyuma kutoka kwenye kila alicho kianza.
Pablo Aonyweee mapema, Kufungwa Kwa Jana Kumechagizwa sana Na yeye katika Kupanga Kikosi
Bora kama wewe ni mbeya cityVipi hasira zimeshuka kidogo. Inakuwaje hutaki sisi mashabiki wa Mbeya City tushangilie baada ya timu yetu kushinda!
Tuache bhana wenzako tufurahie. Siyo jambo jepesi kuifunga timu inayoshika nafasi ya 6 kwa ngazi ya vilabu Barani Afrika. Timu inanolewa na kocha kitoka Real Madrid! Timu imejaa Maprofesa wa mpira!!
kolooo umepanikii!!!relax nenda kanywe mirinda inashusha stress!!huu mchezo hauhitaji hasiraa!!Kwani mechi ilikua ya Simba na Utopolo? Mbona kama mmejifunga vibwebwe mnademka??? Wanaume mapovu yanawatoka kuliko Mbeya city wenyewe. Kweli nyie vyura hamuishi kelele
Wachezaji wengi walioanza Jana hawakuwa na Mechi Fitness kutokea Mapinduzi. Sijui ni nini Mugalu alianza kabla ya Kagere, Sijui ni Nini Mzamiru alianza, Sijui ni Nini Morrison Alianza huku Sakho Akiwa Bench, Sakho hata alipo ingia Impact Yake Ilionekana. Kitendo cha Kumuanzisha Benchi Sakho ni Kumrudisha Nyuma kutoka kwenye kila alicho kianza.
Pablo Aonyweee mapema, Kufungwa Kwa Jana Kumechagizwa sana Na yeye katika Kupanga Kikosi
Makolo ndili muchi bhabha![emoji2][emoji2]Utopolo mnajitekenya halafu mnacheka kwa sautiii
Nendeni TFF mkachukue kombe lenu la nusu msimu mlilozoea kulibeba.
Itaisha ijumaa ndugu yangu bado kipindi cha kwanza hikiKwani hii mechi bado haijaisha tu ?
We kolo kwanini umeamka mapema kabla ya wenzako?Kwani mechi ilikua ya Simba na Utopolo? Mbona kama mmejifunga vibwebwe mnademka??? Wanaume mapovu yanawatoka kuliko Mbeya city wenyewe. Kweli nyie vyura hamuishi kelele
Uzi utaendelea mpk penalty irudiweHuu uzi bado upo live?
Mkuu Kumekucha Mkuu.Niache kwanza nasikia kizunguzungu.
Acha hasira kufungwa ni kawaida, hakuna timu invincible duniani na wala hakuna kinachoweza kubadilika hata u-react vipi.Ficha ujinga wako basi, we hujaona swali la mleta Uzi? Au ulitaka nijibu vipi
Nilikuwa namtafuta mtu mwenye akili kama hii ili niseme kitu, afadhali umetokea japo naamini utapingwa sana. Kenedy ana akili na uthabiti wa mwili kuliko huyu tunayemlipa mamilioni kwa kazi ya kuhamasisha mashabiki washangilie.Tapeli hakuna mchezaji apo
Hahahaaaa. Acha kabisa Swahiba.Swahiba makolo wa mdosi watakomaje leo!unasubiri kukuche tu hapo
Kumekucha ndugu yangu nimechoka vibaya sana.Mkuu Kumekucha Mkuu.
Kabisa. Yabidi kukomaa tu Mtani sababu ndo ushaipenda mwenyewe.Kama ni kututenda Pablo, Babra, Mugalu na akina Bocco wanajua.
Kwa vile hakuna watu waaminifu kama mashabiki wa mpira. Hakuna namna tunakomaa.
Mda wote anatafuta sifa kutoka jukwaanjNilikuwa namtafuta mtu mwenye akili kama hii ili niseme kitu, afadhali umetokea japo naamini utapingwa sana. Kenedy ana akili na uthabiti wa mwili kuliko huyu tunayemlipa mamilioni kwa kazi ya kuhamasisha mashabiki washangilie. Nilijua ipo siku wenye akili wataona madhaifu ya Inonga na kumdharau, asante Paulo Nonga kwa kuonesha madhaifu ya the most sang defender from Simba.
Sasa mkuu ukiwatema hao wote si timu yote ishakufa?! Itabidi uanzishe timu mpyaKocha aache hasira zisizo na maana, ana panic mno.
Atulie mpira ndo ulivyo
Kuna wachezaji inabidi Simba iseme imetosha
Kibu
Kagere
Mugalu
Bocco
Mzamiru
Morrison
Mhiru
Bwalya
Wawa
Hawa waondolewe kwa manufaa ya timu
Pumzika Ndugu Yangu Mtani Pole Sana Kunywa Maji Mengi.Kumekucha ndugu yangu nimechoka vibaya sana.