Mbeya City 1-0 Simba SC | Ligi kuu Tanzania bara | Mbeya

Mbeya City 1-0 Simba SC | Ligi kuu Tanzania bara | Mbeya

Hapo kwa John Bocco hata usimlaumu Bocco, lawama zote ziende kwa kocha, anawezaje kumpanga mtu asiyeweza hata kutuliza mpira na kutoa pasi kwa wenzake??? Yaani huyu bocco kwa kiwango chake cha sasa hata ligi daraja la tatu hachezi
wa kulaumiwa sio kocha bali viongozi, kocha alipeleka mahitaji lakini wakapuuzia hapo anawaonyesha ujinga wao
 
Wewe unaye angalia mechi zote unashindwaje kujua makosa na adhabu zinavyotolewa uwanjani.Kama simba inafika zaidi langoni mwa timu pinzani kuliko timu zingine inashindikana vip wachezaji wake kuchezewa rafu mara nyingi kuliko timu zingine.Swali ni je makosa yanayoadhibiwa na refa ni makosa sahihi au marefa wanayabuni wenyewe kichwani.mambo mengine hayahitaji mihemko kuyaelewa.

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Sio kila kosa la kimpira linastahili adhabu, makosa mengine huwa ni physical challenge tu, sasa kwa Simba kila kosa linatafsiriwa na adhabu zinatolewa, iyo exception ndio tunayoitilia shaka
 
Back
Top Bottom