Pweza Boy
JF-Expert Member
- Dec 30, 2017
- 1,395
- 3,177
Refa ametimiza wajibu wake. Hatutaki lawamaRefa kawapunguzia mtu na kuwapa tuta bado mikia hawamwelewi Ikambi,afanye nini sasa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Refa ametimiza wajibu wake. Hatutaki lawamaRefa kawapunguzia mtu na kuwapa tuta bado mikia hawamwelewi Ikambi,afanye nini sasa?
Nikweli maana kafanya yote........red card na tutaKwa vyovyote matokeo yatakavyokuwa, nyie MPENI REFA FUNGU LAKE... amefanya Kazi yake vya kutosha kabisa. Msimdhulumu ujira wake. Ama pandeni dau atoe red nyingine pengine wakiwa 8 mnaweza pata sare
wa kulaumiwa sio kocha bali viongozi, kocha alipeleka mahitaji lakini wakapuuzia hapo anawaonyesha ujinga waoHapo kwa John Bocco hata usimlaumu Bocco, lawama zote ziende kwa kocha, anawezaje kumpanga mtu asiyeweza hata kutuliza mpira na kutoa pasi kwa wenzake??? Yaani huyu bocco kwa kiwango chake cha sasa hata ligi daraja la tatu hachezi
Leo ndiyo anapata jibu kwanini mashabiki wa club yake wanamtegemea kuliko hata Masihi.Chama anachoma mahindi jukwaani
Sio kila kosa la kimpira linastahili adhabu, makosa mengine huwa ni physical challenge tu, sasa kwa Simba kila kosa linatafsiriwa na adhabu zinatolewa, iyo exception ndio tunayoitilia shakaWewe unaye angalia mechi zote unashindwaje kujua makosa na adhabu zinavyotolewa uwanjani.Kama simba inafika zaidi langoni mwa timu pinzani kuliko timu zingine inashindikana vip wachezaji wake kuchezewa rafu mara nyingi kuliko timu zingine.Swali ni je makosa yanayoadhibiwa na refa ni makosa sahihi au marefa wanayabuni wenyewe kichwani.mambo mengine hayahitaji mihemko kuyaelewa.
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Uongozi wa simba hauko serious!Bocco akapumzikee
Fafanua kidogowa kulaumiwa sio kocha bali viongozi, kocha alipeleka mahitaji lakini wakapuuzia hapo anawaonyesha ujinga wao
Hahahaaa. Vikizidi wampeleke pale kwa Dr Janabi huenda moyo umeleta shida. 🤣Atakuwa anapepewa na kupewa huduma ya kwanza
Ha ha ha haLeo ndiyo anapata jibu kwanini mashabiki wa club yake wanamtegemea kuliko hata Masihi.
Na mtu ka yule siku akiamua kuwaletea mbwembwe mbona hawataamini. 🤣🤣Leo ndiyo anapata jibu kwanini mashabiki wa club yake wanamtegemea kuliko hata Masihi.