masopakyindi
Platinum Member
- Jul 5, 2011
- 18,207
- 13,839
- Thread starter
-
- #81
Eneo linalotazamana na hilo jengo Hamshauri na Madiwani kwa kweli kwa kukosa maono na ubunifu wamebaki wameduwaa wasijue la kufanya karibia miaka 20 sasa.Uhindini hiyo. Hapo mbele kidogo ni Mbeya Peak Kwa kina Lusajo. Wana supu ya mbuzi nzuri sana
Watu wa Mipango Miji vichwani wamejaa vichaka vya kijijini walikotoka, so far wameshindwa kuibadili miji yetu kwa mipango madhubuti.Bila shaka mtoa mada umemuelewa.
Na huu ni mchango huru.
Tumetolea mfano majiji yote kuwa yako hovyo kwa 80%. Michango mingi imejikita kuwa Tanzania upande wa mipango miji ni zero.
Nimetolea mfano wa nilikojenga mimi kuwa nako mipango miji ni ovyo kabisa.
Maana kuna watu wasioijua Dar wanaipa sifa ambazo si za kweli.
Kabisa Mkuu! Katika watu wa hovyo hao wanaongoza.Watu wa Mipango Miji vichwani wamejaa vichaka vya kijijini walikotoka, so far wameshindwa kuibadili miji yetu kwa mipango madhubuti.
Msio na maono ngojeeni muendelezwe na Magufuli akirudi, maana hata methali za mtu kwao au hata kinyakyusa kuwa ,"Chsrity begins at home" ni vigumu kwenu kuzielewa, mlivyo na vichwa vigumu.Hivi watu mnatumia akili zenu sawasawa kweli? Hivi kweli Tulia ana uwezo huo au mmeamua kumpaka mafuta kwa mgongo wa chupa na kumvimbisha kichwa!
Eh! Tulia atapata wapi fedha? Bladifakeni!!
Hilo wengi hawalitambui.Kuna maeneo Mwanjelwa ukiwaka moto nyumba moja utaua watu mtaa mzima
Mkuu umeitwa nunda kwa kutoona kuwa wazo la maendeleo lazima lianzie kwako nyumbani.Hivi watu mnatumia akili zenu sawasawa kweli? Hivi kweli Tulia ana uwezo huo au mmeamua kumpaka mafuta kwa mgongo wa chupa na kumvimbisha kichwa!
Eh! Tulia atapata wapi fedha? Bladifakeni!!
Sawa tu na Mwanza
"Jiji" la Mbeya ni 90% squatters.
Hata aliyekuwa mkuu wa mkoa wakati fulani Mateo Qares, aliliita jiji la Mbeya kijiji kikubwa.
Sehemu ambayo imepimwa vizuri jiji la Mbeya ni lile la mkoloni, Uzunguni, Ghana, Soko Motola(alikofikia Mandela) na Majengo na mjini kati.
Lakini sehemu ambazo kuna watu wengi zaidi kama Mwanjelwa, Mafiati,Isyesye, Mabatini , Nzovwe na sehemu nyingi hali ni mbaya sana.
Dr Tulia sasa tunakutegemea kuanzisha mpango kabambe utakao wezesha kuchonga barabara kati kati ya hizo squatters. Ofcourse lazima watakaobomolewa inabidi walipwe fidia.
Hili lazima lifanyike sasa, maana 50 years later ndio mafanikio yataonekana.
Magufuli ametuonyesha hili, hapo Kimara-Kibaha.
Dr Tulia hili ukifanya litakumbkwa kwa miaka mingi.
AMbeya wakajifunze kwa wenzao wa Kilimanjaro.
Acha kufikiria kula kula tu,Uhindini hiyo. Hapo mbele kidogo ni Mbeya Peak Kwa kina Lusajo. Wana supu ya mbuzi nzuri sana
Nilipokulia kinondoni mitaa fulani nlikuta lami, taa ziko zinewekwa mtaani,kila mtaa ulikuwa na mfumo wa hydrants incase ikitokea moto,Yaani wao wanaona sawa tu mkuu
Hawajui kwanini wenzetu wanaendelea
Goba nyumba hazijaka kwenye mpangilio yaani kimtaaHii nchi asilimia kubwa ya miji ni skwata tu. Ni hata Dar, ukiachana na maeneo machache mengine mengi ni skwata sema zina nyumba za kishua. Hata Goba ni skwata tu
Hivi ile hoteli jirani na shule ya sisimba bado ipoUhindini hiyo. Hapo mbele kidogo ni Mbeya Peak Kwa kina Lusajo. Wana supu ya mbuzi nzuri sana
Wee utakuwa bumunda! Hivi kwa akili yako Spika ana nafasi gani katika maendeleo ya Jimbo? Labda mnataka aanze kumlamba Samia nyayo vinginevyo mwacheni akomae kuongoza Bunge, ndiyo kazi anaweza!Msio na maono ngojeeni muendelezwe na Magufuli akirudi, maana hata methali za mtu kwao au hata kinyakyusa kuwa ,"Chsrity begins at home" ni vigumu kwenu kuzielewa, mlivyo na vichwa vigumu.
Magufuli ameasisi kujenga daraja la Busisi kwenda kwao, lKini kwa kukomaa akili zenu sala hamuelewi!
Mbeya minunda mko wengi.
Block t,jacaranda nmeishi huko mpaka naondoka maeneo hayo yalikuwa yamepangika sijui kwa sasaMkuu! Mbeya kuna block T, forest mpya, forest ya zamani, jacaranda, block Q, kuna eneo kama unaenda mbalizi nimepasahau jina mbele ya iyunga, huko Ghana, na kuna maeneo nimeyasahau majina yako vizuri sana.
Ni bumunda tu ndiyo linakuwa na ujinga huo! Tulia ni sawa na madiwani wengine zaidi ya hapo ni kujitoa ufahamu.Mkuu umeitwa nunda kwa kutoona kuwa wazo la maendeleo lazima lianzie kwako nyumbani.
Mtu aliye ndani ya tope la choo kama ulivyo, haisaidii kumtupia kamba kumuokoa.Ni bumunda tu ndiyo linakuwa na ujinga huo! Tulia ni sawa na madiwani wengine zaidi ya hapo ni kujitoa ufahamu.