Ni simanzi kubwa kigoma mwanga kaskazini japo mimi ni ccm ila anguko la baba levo limenigusa saana
naandika hapa kwa uchungu saana
Matokeo yameshatangazwa rasmi?Inauma saana jamaa
sijawai kupata uchungu kama leo
imenitonesha ule uchungu ambao niliupata miaka kadhaa nyuma siku ambayo Manchester United tulifungwa 2-0 na Barca UEFA champions final
Mshkaji wako mbovu kajitakia hayo mwenyewe na sifa za kijingaNi simanzi kubwa kigoma mwanga kaskazini japo mimi ni ccm ila anguko la baba levo limenigusa saana
naandika hapa kwa uchungu saana
kuna next time mkuu, ajaribu again next time ila sasa ajitahidi kuwaskiliza wananchi zaidi wanataka nn, akienda na akiliza za upinzani ataanguka tena, ingawa sidhan kama ana tabia hii
Pole sana sugu, umevuna ulichopanda. Ulifikiri matusi yako ya IG na Twitter yatakusaidia. Haya karibu mtaani utukane vizuri
Matokeo yameshatangazwa rasmi?
Alikuwa ametuadi kuwa huu ndio mwaka wake wa mwisho kugombea uchaguzi angepanda hatua nyingine
Mshkaji wako mbovu kajitakia hayo mwenyewe na sifa za kijinga
Inauma saana hii miaka mitano bila baba levo itakuwa ni ya dhiki saana kwa vijanakuna next time mkuu, tanzania bado itaendelea kuwepo na maisha lazima yaendelee mkuu
Jiulize mwenyewe kwa sababu wewe ni maiti inayo tembea huwezi juaSi mlisema mtalinda kura? Mnaibiwaje huku mkiwa mnalinda?
Mnaibiwaje na mlisema mtalinda kura?? Leo wote mnalala na viatuWe k shangilia wizi
Hapo umecomment huku ukiwa na maumivu sana sehemu za siri. Mlikuwa na maneno meeengi huku vitendo sifuri.Jiulize mwenyewe kwa sababu wewe ni maiti inayo tembea huwezi juwa
Kwa sababu wewe ni mwizi huwezi elewa adi muda ufikeMnaibiwaje na mlisema mtalinda kura?? Leo wote mnalala na viatu
Pole sana, mwambie lissu arudi akagombee belgiumKwa sababu wewe ni mwizi huwezi elewa adi muda ufike
Top yako? KishagalagazwaSUGU TOP STILL, ASANTENI MBEYA
Tulia ametulia, safi sana wana mbeya kwa kuamuaTULIA ACKSON MWANSASUU