Mbeya: Mdude Nyagali aachiwa huru na Mahakama baada kutotiwa hatiani katika kesi ya kusafirisha dawa za kulevya

Asante Mungu kwa kutenda haki,hii ni aibu nyingine kwa mwendazake Jiwe na wafuasi wake,ikiwezekana kaburi lake likafungwe pingu zibakie hapo hapo
 
Atakuwa na adabu sasa!

Hutaona tena yale matusi aliyokuwa anataukana!

Kwa muda aliaokaa ameshanyooka kama rula
Kwani alishtakiwa kwa kosa la matusi au madawa ya kulevya?
 
Hivi shetani Magufuli alitufanyia Nini Watanzania mpaka akatutawala?
Ashukuriwe Mungu aliyemchoropoa pumzi
 
Serekali ya kihuni hii
 
Ushahidi umekosekana vipi na polisi walidai wamemkamata live na kitu cha kwa Pele, au sasa ndiyo wamepima wakagundua ni glucose?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…