Crimea
JF-Expert Member
- Mar 25, 2014
- 25,874
- 36,030
Hata wewe hapa ukiendekeza hizi lugha za nyumbani kwenu ulikolelewa mods watakushughulikiaDada naskia umepata mp matundu yote mawili baada ya taarifa ya mdude
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata wewe hapa ukiendekeza hizi lugha za nyumbani kwenu ulikolelewa mods watakushughulikiaDada naskia umepata mp matundu yote mawili baada ya taarifa ya mdude
Waanajisikia furaha na amani, maana mioyo na nafsi zao zimejaa ugaidi na ukatili.Hivi huwa wanajisikiaje wanapotesa watu bila sababu....
Wewe dada pakata mumeo vizuri upate watotoHata wewe hapa ukiendekeza hizi lugha za nyumbani kwenu ulikolelewa mods watakushughulikia
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mbona kama una stress au wewe ndio mdude mwenyewe?Wewe dada pakata mumeo vizuri upate watoto
Dada naskia umepata mp matundu yote mawili baada ya taarifa ya mdude
Hivi huwa wanajisikiaje wanapotesa watu bila sababu....
Kwani alishtakiwa kwa kosa la matusi au madawa ya kulevya?Atakuwa na adabu sasa!
Hutaona tena yale matusi aliyokuwa anataukana!
Kwa muda aliaokaa ameshanyooka kama rula
Sasa haki inatendeka....
Mwendawazimu na legacy zake za ovyo.Aibu nyingine kwa mwendazake.
Yote kwa pamojaKwani alishtakiwa kwa kosa la matusi au madawa ya kulevya?
Serekali ya kihuni hiiNatoa wito huu kwa Serikali ya awamu ya 6, kwamba wote walioshiriki kumtesa Mdude ambao bila shaka wanafahamika , wakamatwe haraka sana na kushitakiwa Mahakamani
Ni muhimu sana kwa Chalamila na kundi lake akiwemo RPC wa Songwe na RPC wa Mbeya , Biswalo Mganga (mnyororo ni mrefu) wakamatwe na kushitakiwa ili kuimarisha utawala wa sheria nchini Tanzania, ni muhimu watu hawa kukamatwa ili kuepusha wananchi kujichukulia sheria mkononi kwa lengo la kulipa kisasi.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ushahidi umekosekana vipi na polisi walidai wamemkamata live na kitu cha kwa Pele, au sasa ndiyo wamepima wakagundua ni glucose?
Kesi yake ilikuwa kuhusu huu upuuzi unaweka hapa au madawa ya kulevya?View attachment 1833419mwana harakati huru huyoanatumia uhuru wa kutoa maoni yake
HallelujahNuru imerudi Tanzania.
Glory to God.
Mwendazake ni nani?
Sidhani kama wapinzani hususan Lisu kama wanataka uraisi, ukiwepo utawala wenye kufuata misingi ya sheria na haki nadhani kila mtu atatafuta shughuli ya kufanya.Mafanikio ya Samia ni habari mbaya sana kwa Lisu maana 2025 hana chake tena.
Ccm itaendelea kupeta