Mbeya: Mdude Nyagali aachiwa huru na Mahakama baada kutotiwa hatiani katika kesi ya kusafirisha dawa za kulevya


Kama ameachiwa baada ya kufanyiwa unyama na dhalimu, na uzuri dhalimu hayuko madarakani unataka amtukane nani? Halafu ukitaka kujua ww ni akili ndogo unalazimisha ni matusi, wakati kesi ilikuwa ni ya madawa ya kulevya. Tupe maelezo ya kesi iliyojadiliwa ili tujue kama unajua lolote.

Ushindani wa vyama na vyama ni uwepo wa sera, lakini ukiona mlevi wa madaraka anageuza ushindani ni uadui na uhasama, hapo ujue ni uhayawani tu. Mazingira mazuri ni pale uwanja wa mashindano unapojali misingi ya ushindani halali.
 
Yalikuwa ni matusi pamoja na madawa ila kilichofanya afatiliwe hadi kugundulika ni madawa ni yale matusi,

Mkuu dhakimu wako kafa! Mambo ni super! Mi 10 tena kwa mother!

2025 mtateleza tu kwenda ikulu! Si dhalimu wenu aliekuwa anawazuia kafa?
 
hakika sindano imepenya
Yalikuwa ni matusi pamoja na madawa ila kilichofanya afatiliwe hadi kugundulika ni madawa ni yale matusi,

Mkuu dhakimu wako kafa! Mambo ni super! Mi 10 tena kwa mother!

2025 mtateleza tu kwenda ikulu! Si dhalimu wenu aliekuwa anawazuia kafa?
 
Yalikuwa ni matusi pamoja na madawa ila kilichofanya afatiliwe hadi kugundulika ni madawa ni yale matusi,

Mkuu dhakimu wako kafa! Mambo ni super! Mi 10 tena kwa mother!

2025 mtateleza tu kwenda ikulu! Si dhalimu wenu aliekuwa anawazuia kafa?

Kesi imeendeshwa kwenye hizo mahakama za ccm, ungeenda kutoa ushahidi wa hayo madawa, ama ungefungua kesi ya matusi.

Kuhusu uchaguzi, kwenda ikulu sio issue, bali issue unakwendaje.
 
Jambo muhimu ni kumshukuru Yule aletae na atwaae kiumbe chake, mdude nae abamshukuru sana Creator
 
Heri kumtumikia Mungu,kutumikia waraka wa shetani haufiki mbali. Hawa chawa wa mwendazake wataaibika na kuisha wote,it's a matter of time...very short time.
 
Hao Polisi wakamatwe wahojiwe hayo madawa waliyomwekea waliyapata wapi haiwezekani jeshi la Polisi liwe na kashfa Kama hiyo huo uhuni wa kubambikia watu kesi za madawa halafu hayo madawa muhusika hakua nayo Nina mashaka juu ya Hilo

# kamanda Siro
 
Unamaanisha hukumbuki ya Dr. Ulimboka, Absolom Kibanda na Mwangosi yalitokea awamu ipi?!
Awamu zote zinazoongozwa na Waislamu zinakuaga saafi Sana na Zina furaha Sana sijajua kwa Nini yaaani. Kwani huko makanisani huwa mnafundishwa kitu gani
 
Mwenyezi Mungu anapoamuwa jambo basi hakuna wa kupingana naye, nadhani unapoamuwa kumfanyia mtu ubaya basi kumbuka na kesho yako. Je wale waliombambikizia/waliomtengenezea hii kesi leo nafsi zao ziko upande upi? Karibu uraiani Mdude Nyagali A.K.A Sumu ya nyigu.
 
Bila katiba mpya ipo siku atakuja jiwe mwingine na atadumu muda mrefu sana.
Itakuwa kilio mara mbili.
 
Kesi imeendeshwa kwenye hizo mahakama za ccm, ungeenda kutoa ushahidi wa hayo madawa, ama ungefungua kesi ya matusi.

Kuhusu uchaguzi, kwenda ikulu sio issue, bali issue unakwendaje.
Sasa mahakama za ccm si ndio hizo zimeona ziachane nae baada ya kuona hana ishu tena?
 
Mafanikio ya Samia ni habari mbaya sana kwa Lisu maana 2025 hana chake tena.

Ccm itaendelea kupeta
Kama haki itaendelea kutendeka sidhani kama kutakuwa na ubaya wowote ule, maana sisi Wananchi tunahitaji Kiongozi mwenye kuongoza watu kwa kufuata maandiko ya MWENYEZI MUNGU sio viongozi makatili kama alivyokuwa jiwe.
 
Mama Samiah Suluhu Hassan, kama ungenielewa na kunikubalia ningekwambia Polisi yupi unaweza kumpa nafasi akalisafisha jeshi zima na huyu si mwingine bali Dr. Mussa Ali Mussa, huyu mzee ni muumini wa taaluma sio mtu was maslahi kama wengine wengi waliomo ndani ya jeshi hilo wanaotia aibu kila siku.
Sasa kesi kama hii aibu yake ni ya kiasi gani kwa jeshi liliweka taaluma pembeni na kukubali kutumiwa?!
 
Na asipokosoa kwa staha(kama hiyo staha inajulikana inaanzia wapi na inaishia wapi) haki itendeke pia.
Pongezi kwake...

Ila sasa akitaka kukosoa akosoe kwa staha

Ova
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…