Mbeya: Mdude Nyagali aachiwa huru na Mahakama baada kutotiwa hatiani katika kesi ya kusafirisha dawa za kulevya

Awamu zote zinazoongozwa na Waislamu zinakuaga saafi Sana na Zina furaha Sana sijajua kwa Nini yaaani. Kwani huko makanisani huwa mnafundishwa kitu gani
Hapa Pana point panahitaji mjadala mpana
 
Sasa mahakama za ccm si ndio hizo zimeona ziachane nae baada ya kuona hana ishu tena?

Wapi ww, dhalimu ndio alikuwa anaendesha siasa za kidhalimu, na sasa hayupo haki imerejea nchini.
 
Bila katiba mpya ipo siku atakuja jiwe mwingine na atadumu muda mrefu sana.
Itakuwa kilio mara mbili.
Exactly, maana i wazi kuwa mtu (rais) ana nguvu kuliko vyombo vyote vinavyoifanya nchi iitwe taifa hivyo kama atakuwa na akili kama za jiwe au Kim Jong ill raia ndio wanaomia.
Suluhisho ni katiba mpya yenye kwendana na uhalisia wa mazingira ya sasa, yenye kumwajibisha kiongozi kwa wananchi na si mamlaka za juu kama wao wanavyotuambia sasa kuwa baya lililotokea ilikuwa ni kutii mamlaka za juu.
 
Wapi ww, dhalimu ndio alikuwa anaendesha siasa za kidhalimu, na sasa hayupo haki imerejea nchini.
Si ndio maana huwa nakwambia sasa tuko vizuri? Mambo ni super.

Haki kila kona,! Hata 2025 mnaenda ikulu kama kimbunga maana aliekuwa anawanyima haki hiyo kafariki!

Makofi kwa mama tafadhaliiiii
 
Ni wakati wa kusamehe, kusahau na kusonga mbele ndugu yangu.
 
Si ndio maana huwa nakwambia sasa tuko vizuri? Mambo ni super.

Haki kila kona,! Hata 2025 mnaenda ikulu kama kimbunga maana aliekuwa anawanyima haki hiyo kafariki!

Makofi kwa mama tafadhaliiiii

Kwenda ikulu sio lazima, bali tunaongelea mazingira sahihi na ya haki ya kwenda ikulu. Somo ndio hilo dogo.
 
Kwenda ikulu sio lazima, bali tunaongelea mazingira sahihi na ya haki ya kwenda ikulu. Somo ndio hilo dogo.
Sasa si ndio yapo sasa hivi baada ya aliekuwa anayazuia kufariki?
 
Kwa hali hii hivi Magufuli huko aliko ana waongoza malaika kweli au anawaongoza mashetani wenzake?.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…