Umoja ni kitu muhimu sana na kipekee niwapongeze Bavicha na Chadema kwa ujumla kwa namna walivyompigania Mdude Nyagali mwanzo mwisho na leo yuko huru.
Nategemea UVCCM na CCM kwa ujumla mtaiga " roho ya Upendo " kutoka kwa wenzenu wa Chadema ili mumpiganie komredi Ole Sabaya aliyeko magereza au Lupango.
Nawasalimu kwa jina la JMT!
Kwani n kosa ?nae sasa atulie bas utashangaa siku mbili anataka kuongea na vyombo vya habari wala akomagi
Msifurahie mateso ya Binadamu mwenzenu.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Na akiona hata unga wa dona tu anapita mbali km 10
Punguza hasira basi…. Siku zote nuru hushinda gizaJipeleke tu hata wewe unamtosha
Unadhani dikteta angekuwa hai Mdude angeachiwa huru? sahau hiloUmoja ni kitu muhimu sana na kipekee niwapongeze Bavicha na Chadema kwa ujumla kwa namna walivyompigania Mdude Nyagali mwanzo mwisho na leo yuko huru...
Mama anazidi kufuta legacy ya lile jambazi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sasa hivi akipitia yale matusi kwenye account yake atakuwa anajuta sana!
Sasa hivi ni full adabu
Huwezi ukafananisha Udhalimu na Uanaharakati.
Roho inakuuma sana Mdude kuachiwa huru eeh? Mlivyozoea kuonea watu, sasa hivi haki inatendeka roho zinawachomoka!! Agents wa Shetani kabisa!!!UTASUBIRI SANA muh8ini yule kishashika adabu mwambie aende akashitaki sasa kama atakukubalia sasahivi kila mtu hata mtoto atamuamkia mpuuzi yule
Na wenu yuko motoni anaungua tu.akae atulize sasa aache ujinga
Nyerere mwenyewe alikuwa akiwapa Vidonge zaidi ya hivyo Serikali ya Mkoloni.View attachment 1833419mwana harakati huru huyoanatumia uhuru wa kutoa maoni yake
Kiwanda kikubwa ni kile kilichosema mavi wayaache nyumbaniKiwanda Cha matusi kipo huru.
We hujielewi kabisa! Issue wala sio CCM au CHADEMA. Kama haki inatendeka ndani ya jamii hata CCM ikitawala milele hakuna tatizo.Mafanikio ya Samia ni habari mbaya sana kwa Lisu maana 2025 hana chake tena.
Ccm itaendelea kupeta
Kuna tusi gani hapo? Kwani nikikufananisha na nguruwe ndio unakuwa nguruwe? Labda una tabia za kinguruwe nguruweView attachment 1833419mwana harakati huru huyoanatumia uhuru wa kutoa maoni yake