niggarz upbaganika
Senior Member
- Apr 22, 2016
- 109
- 91
Wanambeya waachwe huru wachague wampendae kwa hiari Yao.Alikuwepo Prof.Mwandosa ambaye amekuwa Mbunge na Waziri! Vipi kuna maendeleo gani aliyoleta mkoa wa Mbeya?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanambeya waachwe huru wachague wampendae kwa hiari Yao.Alikuwepo Prof.Mwandosa ambaye amekuwa Mbunge na Waziri! Vipi kuna maendeleo gani aliyoleta mkoa wa Mbeya?
Niliwahi kuishi mbeya wakati nasomaWatu wa Mbeya msirudi nyuma mmeshaonesha umma kuwa nyie ni watu imara na wapinzania wa siasa chafu za ccm. Mkirudia tena ccm tunawaondoa kati ya watu wa maana nchi hii.
Wewe mtu ngese lililobobea. Sugu ndio anakusanya kodi Mbeya? Mbona kulikuwa na Wabunge wengi tu kabla yake wa CCM na maprofessa walileta maendeleo? Wapi hasa Tanzania hii kwenye maendeleo twambie tupajuwe. Kwani hizo barabara zikijengwa wanapita watu wa Mbeya tu? Basi kawaambieni waru wa Zambia wajiandikishe basi jimbo la Mbeya wapate kujengewa barabara za kuelelea kwao? Musi transfer blames kwa wengine kwa kufeli kwenu. Sugu ain"t got shit to do with under development of Mbeya City. Kazi yake ni ku address malalamiko yao and he is.doing pretty good job. We all know that!Mbeya msifanye kosa.
Mkitaka maendeleo n ni Dr Tulia tu.
Nimepita karibuni huko, barabara ya Igawa Tunduma ni hoi bin taaban.
Kamwelwe aliwahisema inafanyiwa mchakato lakini nakuna lololte.
Tunaoenda mipakani ni kero.
Sasa mchagueni Sugu mle hewa.
Wananchi wa mbeya ni watu makini sana, mbeya ishawai kuwa na wabunge wengi sana kwene majimbo tofaut ambao waliukwaa uwaziri kama akina mwandosya,mwakyusa,mwakyemba lakin kasi ya maendeleo ni yakawaida sana...na wananchi wa mbeya wanalielewa hilo kuwa wenda serikali inafanya kusudi maana mbunge kazi yake ni kupiga mayowe tu bungeni hela inaletwa na serikali....watu wa mbeya wanalielewa sana na niwabishiMbeya msifanye kosa.
Mkitaka maendeleo n ni Dr Tulia tu.
Nimepita karibuni huko, barabara ya Igawa Tunduma ni hoi bin taaban.
Kamwelwe aliwahisema inafanyiwa mchakato lakini nakuna lololte.
Tunaoenda mipakani ni kero.
Sasa mchagueni Sugu mle hewa.
Ila mimi niko tofauti na mleta mada. Kama wana Mbeya mjini wata tumia akili wana takiwa wamrudishe Sugu. Tulia ana taka ubunge kwa manufaa yake binafsi na sio kwa maendeleo ya Wana Mbeya. Akiupata huo ubunge ana tamani kuwa spika wa bunge la Tanzania. Hivyo ana kwenda kuwa mtetezi wa serikali ya Ccm na siyo mtetezi wa wapiga kura.Mpaka sasa naona mzani upo 50 kwa 50 ...muda utatupa jibu
Sugu (Joseph mbilinyi).Asibeze anayoambiwa na mleta Mada.Tulia anabebwa na vitu viwili.Wewe mtu ngese lililobobea. Sugu ndio anakusanya kodi Mbeya? Mbona kulikuwa na Wabunge wengi tu kabla yake wa CCM na maprofessa walileta maendeleo? Wapi hasa Tanzania hii kwenye maendeleo twambie tupajuwe. Kwani hizo barabara zikijengwa wanapita watu wa Mbeya tu? Basi kawaambieni waru wa Zambia wajiandikishe basi jimbo la Mbeya wapate kujengewa barabara za kuelelea kwao? Musi transfer blames kwa wengine kwa kufeli kwenu. Sugu ain"t got shit to do with under development of Mbeya City. Kazi yake ni ku address malalamiko yao and he is.doing petty good job. We all know that!
On the contrary, Tulia ain't give a shit about Mbeya. Target yake ni Uspika ama uwaziri tu. Na kila mtu anajuwa hili ukiwemo wewe mwenyewe. Wabunge wa CCM ni zaidi ya 2/3 bungeni. Unataka kutwambia 2/3 ya Tanzania imepata maendeleo. Ninavojuwa mimi kila mukiwa wapinzani basi serikali ndio hufanya kitihada za ziada ili kuwashawishi
Kijana acha papara. Membe anagombea urais kupitia act, na chadema watamuunga mkono sababu lissu atajitoa. Kujitoa sio makisudi bali ni mkakati.Twende na Membe 2020 wana ccm
Kijana acha papara. Membe anagombea urais kupitia act, na chadema watamuunga mkono sababu lissu atajitoa. Kujitoa sio makisudi bali ni mkakati.
Sisiemu membe asahau, hawezi gombea.
shida awamu hii miladi mingi ya maendeleo imeenda kichama zaidi sugu asinge weza timiza ahadi zake nyingiBinafsi naamini mbeya ilistahili kuwa mbele sana kimaendeleo na hata kimuonrkano! Kuna mahali kitu hakiko sawa kwa viongozi. Labda huyu mheshimiwa apewe jimbo miaka mitano kama atalisogeza maana ana konection na juu, anaweza badili mji maana hata sio jiji. Sugu kashindwa, alichoweza ni kuwafanya baadhi ya wanambeya kuwa rebellion basi!
Tatizo ni kuwashtua, ubishi hauleti maendeleo wala hauliwi.Umeandika utumbo tu
Tatizo ni kuwashtua, ubishi hauleti maendeleo wala hauliwi.
Tatizo pia sugu kuoganaizi watu kuwa rebelion.shida awamu hii miladi mingi ya maendeleo imeenda kichama zaidi sugu asinge weza timiza ahadi zake nyingi
ila akijipanga vizur anashinda kwa hali yoyote kuna baadhi ya majimbo raia humtishi kituTatizo pia sugu kuoganaizi watu kuwa rebelion.