Mbeya: Mpaluka Nyagali Mdude akamatwa na Heroine, apandishwa kizimbani akikabiliwa na mashtaka ya Uhujumu Uchumi

Mbeya: Mpaluka Nyagali Mdude akamatwa na Heroine, apandishwa kizimbani akikabiliwa na mashtaka ya Uhujumu Uchumi

Kila mtu angekuwa na mawazo kama yako dunia isingekuwa na mabadiliko yoyote. Kwenye kupigania haki ni lazima kuwe na sacrifice na wale wa mwanzoni wengi huuawa au kuumizwa na kufungwa kwa kesi za kubambikiwa. Hakuna sehemu mabadiliko yamekuja bila baadhi ya watu kuumia. Njia nzuri ni kwa waliobaki wenye kukerwa na ukandamizaji huu kupaza sauti na kusaidia kwa hali na mali. Leo umemuita fala lakini kumbuka utawala wa aina hii huwa na kawaida ya kunogewa na ukatili inaofanya. Pamoja na woga wako si ajabu kesho wewe au ndugu yako akajikuta ameathirika na huu ukatili bila hata kutegemea. Hata marehemu Akwilina alikuwa ''fala''?
First they came for the Communists And I did not speak out Because I was not a Communist
Then they came for the Socialists And I did not speak out
Because I was not a Socialist Then they came for the trade unionists
And I did not speak out Because I was not a trade unionist
Then they came for the Jews And I did not speak out
Because I was not a Jew Then they came for me
And there was no one left To speak out for me
Sawa lakini si kwa kutukana kama alivyokuwa anafanya huyo bavicha

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Inataka sana moyo kuwa Mtanzania. Imagine mtu alikamatwa kwa makosa ya mtandao halafu baadae mnaambiwa anashtakiwa kwa kukutwa na madawa ya kulevya.
 
Daaah Masikini yale matusi anayotukanaga waliokua wana like na Ku comment hawapo tena[emoji23][emoji23][emoji23] Ama kweli mchuma Janga hula na wakwao!
Hakujifunza kwa kabendera waliomshangilia mwanzo mwanzo kadri siku zilivyosogea alibaki mwenyewe, hata huyu Dogo itakuwa hv hv yuko mwenyewe

Sent using kidole gumba
 
Duh! Amebambikiwa dogo! Jamaa wana roho kutu sana. Huyu naye walikuwa wamuuwe kama Ben Saanane
Mungu wake bado ni Mwema,alimnusuru baada ya kutekwa na kufunguliwa mashtaka ya uchochezi.

Zamu hii wamempelekea kitengo cha dawa za kulevya,ila matendo haya ya kishetani yanaitia DOA jekundu Amani ya Tanzania. Watu wanapambana na COVID-19,jamaa anapanga uovu dhidi ya ubinadamu?

Loh Nchi Yangu Tanzania, umepatwa na nini tunashindwa kuwanusuru watoto wetu wanaoteswa na majasusi?

Amani inaimbwa sana lakini practically hii nchi ni sawa na Afghanistan ya kina Osama bin Laden.
 
Kwa hiyo walipokuwa wanamteka na kumpiga na kumtupa porini walikuwa wanautafuta unga?
 
Back
Top Bottom