Lycaon pictus
JF-Expert Member
- Jan 31, 2021
- 9,189
- 16,128
ndoa ndoano-Dizasta
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vijana wasioe.Mwenzio akinyolewa
Kweli kabisa kuna mtu ameweka historia yao Facebook mwanaume anatoka Zambia sio mtanzania.Wahamiaji hao,wanyakyusa hawana upuuzi wa kuuana
Unaushahidi gani...unamjua huyo mwanamke??Bila kupindisha maneno chanzo ni mwanamke kutoka nje ya ndoa.
Sasa sijui kwanin walihusisha na watotoView attachment 2356124
Kitongoji cha kibumbe, kata ya Kiwira wilaya ya Rungwe mkoani Mbeya mke, mume na watoto wawili wakutwa wamefariki ndani ya nyumba na miili yao ikiwa imeharibika.
Mdogo wa marehemu (mke) kutoka Mbeya Mjini alisema zaidi ya wiki moja alikosa mawasiliano na familia hiyo ambao wote ni walimu, hivyo ikawalazimu kwenda kujua kuna nini sababu haikuwa kawaida kukaa bila kuwasiliana na dada yake.
Walivyofika walikuta milango yote imefungwa ambapo walitoa taarifa kwa uongozi wa kijiji. Anasema walifanikiwa kuingia ndani na kukuta miili hiyo ikiwa imeharibika, ikiwa pamoja na mapanga, nyundo na sumu (madawa ya kumwagilia kwenye mboga).
Kijana huyo anasema walivyofika walipata harufu kutoka ndani ya nyumba hiyo, walipoenda polisi walipewa ruhusa ya kuvunja mlango na kukutana na jambo hilo la kutisha.
Anasema kabla ya mauaji kulikua na mgogoro wa familia kati ya wanandoa hao.
Hawakuona haja kufika kwenye tukioKijana huyo anasema walivyofika walipata harufu kutoka ndani ya nyumba hiyo, walipoenda polisi walipewa ruhusa ya kuvunja mlango na kukutana na jambo hilo la kutisha.
MnyasaMwanamke alikua pisi kali mapaja laini tatizo aliolewa na msukuma tu mlugaluga
Mnavyoandika humu vitu vya kubuni muwe mnafikiria mbali..ndugu wa marehemu tupo na tunaona kabisa mnavyotunga story kwa manufaa ya nani sasaNilimshauri rafiki yangu, "achana na huyo mwanamke" Bahati nzuri alinielewa na maisha yanaendelea!
Ilikuwaje?
Jamaa wanaishi mikoa tofauti na mzazi mwenzake, (japo wamezaa watoto 2 lakini hawana ndoa), kutokana na distance jamaa akaanzisha mahusiano na binti fulani kitaa, binti penzi likamkolea akaamua kumzalia jamaa mtoto! (Akalazimika kujitetea mbele ya mkewe kwamba ameteleza tu) mke akasema poa, maisha yaendelee!
Jamaa katika pilika zake, akabaini kwamba mkewe/mzazi mwenzake analiwa na jamaa mwingine Dom akafanya uchunguzi binafsi na kubaini kuwa kweli mke anagawa uroda kwa mwanaume mwingine, kumuuliza mkewe akawa mbogo!
"Sina mwanaume wa kunichunga, kwani una ndoa na mimi?, hauna cha kunibabaisha, kama una maamuzi ya kufanya yafanye tu! Kwanza unajiona na wewe kidume wakati kutwa kubwabwaja tu"
Baada ya hayo maneno na mengine mengi niliyoyasahau jamaa akapata moto, na kutaka kumfuata huyo mke anakoishi, nikamwambia "Kaka, achana na huyo mwanamke, utaishia jela, japo ulimkosea kwa kuchepuka na kuzaa nje lakini nakushauri achana naye, ni either atakuua au wewe utamuua yeye" bahati nzuri jamaa alinielewa, baadaye alijipatia mwanamke wa Kigoma huko akaoa chap, (mke/mzazi mwenzake akashangaa tu jamaa anapost picha za ndoa na mke mwingine) akaanza mikwara ya nakupeleka ustawi wa jamii, sijui mahakamani jamaa akauchuna kimya! Alichofanya ni kulipa ada za watoto basiii, maswala mengine mama yao anamaliza (si alisema hatishiki wala hababishwi kwa kuwa ana mshahara wake??)
Baadaye mke aliyeachwa, akanitafuta "Shem naomba ongea na rafiki yako, akumbuke tulikotoka, mm nilimsamehe na yeye angenisamehe kwa kumcheat, tulee watoto wetu, maana hata jamaa niliyekuwa naye Dodoma, alishaoa alisema hawezi kuoa mtu mwenye watoto 2, nimebaki na upweke wangu"
Baada ya kumaliza kujieleza meeengi nikamwambia, "Mimi pia nilimshauri aachane na wewe ili usimuue wala yeye asikuue wewe, hii ilitokana na namna ulivyokuwa unamjibu hovyo mumeo, na kuonyesha wazi kuwa hana maana tRNA kwako, kwa hiyo ujue tu, kwamba hata mimi rafiki yake nilikunusuru wewe na yeye msiuane, hayo mengine mnaweza kuyaongea wenyewe kwa sasa kwa kuwa hasira zenu zimekwisha" ila ukumbuke yeye ni mume wa mtu!
Baada ya hapo, alikuwa very down na alipoondoka HAKUNITAFUTA TENA! and I didn't care kabisa! Wakati fulani ni bora kuamua tu haijalishi maamuzi yana matokeo ya namna gani!
Hahahaaaaaaaaa,mzigo+mzigo=!???Kwamba unaua kwa sababu wanasema Bora mgawane mali au?
Oa mwanamke zaidi ya mmja hutowaza kuua na kanuni ya kutafuta mwanamke wa pili sharti awe tofauti na WA kwanza na unaoa sio kwa sababu unatelekeza ya awali bali kwa sababu unataka kufanya checks and balances..
Hakuwa na hasira za ghafla?Daah huyu jamaa ni mwalimu wangu kabisa amenifundisha English lubala secondary
Hapo kwenye kumlea sasa,ukimlea akiwa na janjajanja ya kuchepuka,muase awe singo madha,atakua salama.unazaa mtoto wa kike. unamlea. anaenda kuolewa na jinga kama hili anauliwa kikatili namna hii. inaumiza sana.