Mbeya: Mwalimu aua mke na watoto wawili, naye ajiua kwa kunywa sumu

Mbeya: Mwalimu aua mke na watoto wawili, naye ajiua kwa kunywa sumu

zamani nilikiwa nashangaa sana mbaba kuwa na kamwanamke nje ya ndoa.ila baada ya kukua sasa naelewa.

jamani jamani chonde chonde wanaume,kuwa na mwanamke nje sio option ni kama kufunga gari mabawa ya kurukia.litatembea na matairi ila likitokea jambo lolote ktk matairi ni rahisi sana kujitetea.

wanawake kwa sasa wanasoma,wana uchumi imara,wana exposure,wanapewa elimu mbali mbali tunazoita za kujitambua,jumlisha na mitandao ndio kabisa inawachanua,sababu si viumbe walioumbwa kwa ajiri ya hayo jamii yao inaharibika kwa kasi,wanapoteza utii kwa wanaume,wanaongeza kujiamini,wanakuwa na viburi nk.
tukiwa tunawaoa kama wasaidizi,wao wanatuona kama washkaji tu ambao tumeweka nao mkataba kisheria wa kuishi nao pamoja.

mwanamke ni kiumbe ambaye hastahili kuonewa huruma katika mapenzi,yeye hapendi anatiii.kama unadhani ataumia kusikia una mchepuko kama ambavyo wewe utaumia ukisikia kwake bro unapotea.mwanamke hamhesabii kosa mumewe malaya bali wanawake wenzie wanaotoka na mumewe.

wanaume wote duniani tunachepuka kwa mujibu wa kamusi zao wanawake,sasa kama wewe huchepuki subiri siku moja atakuonyesha sababu za wewe kwanini untakiwa uchepuke ,na hawajisikiii kukaa na mwanaume ambaye ni kama mtungi wa gesi mpaka usogezwe.
siku ukija kujua na ukathibitisha anatoka nje,fukuza bila kumsikiliza akitafuta usawa baada ya wews kutangulia kutoka nje,NB ujasiri wa kufukuza ni pale tu unapokuwa na wanawake wengine nje.

tutakwisha kama tutaendelea kujifanya ma nice guy.
 
Sheria za ndoa zibadilishwa hasa upande wa imani za kidini….ni nadra sana kukuta matukio kama haya ukanda wa pwani
 
View attachment 2356124

Kitongoji cha kibumbe, kata ya Kiwira wilaya ya Rungwe mkoani Mbeya mke, mume na watoto wawili wakutwa wamefariki ndani ya nyumba na miili yao ikiwa imeharibika.

Mdogo wa marehemu (mke) kutoka Mbeya Mjini alisema zaidi ya wiki moja alikosa mawasiliano na familia hiyo ambao wote ni walimu, hivyo ikawalazimu kwenda kujua kuna nini sababu haikuwa kawaida kukaa bila kuwasiliana na dada yake.

Walivyofika walikuta milango yote imefungwa ambapo walitoa taarifa kwa uongozi wa kijiji. Anasema walifanikiwa kuingia ndani na kukuta miili hiyo ikiwa imeharibika, ikiwa pamoja na mapanga, nyundo na sumu (madawa ya kumwagilia kwenye mboga).

Kijana huyo anasema walivyofika walipata harufu kutoka ndani ya nyumba hiyo, walipoenda polisi walipewa ruhusa ya kuvunja mlango na kukutana na jambo hilo la kutisha.

Anasema kabla ya mauaji kulikua na mgogoro wa familia kati ya wanandoa hao.
Sasa sijui kwanin walihusisha na watoto
 
Ok wote mmeongea kwa hisia bila kuwajua kwa undani na wengi mmemuhukumu mwanamke.. ila kama unawafahamu vizuri utajua vizuri..watu wa kiwira wanawafahamu vizuri hawa wanandoa.. Mume anahistoria ya kumpiga sana mke mpaka kutoroka kurudi kwao na kazi kuacha..ila ilikua ni hali ya kuacha watoto tu nyumbani mama kurudi hakumaliza mwezi..jamaa pia si raia wa Tanzania ni raia wa nchi jirani kusini.. historia ya migogoro yao chanzo ni vipigo na mateso kwa mama watoto alipoamua ku move on mama wawatu alkua na huruma na wanae kurudi ndio ikawa over
 
Ni kama kuna zimwi la msimu la mauaji vile

1663187959520.png
 
Mwanamke alikuwa kisu haswa. Wapumzike kwa amani, ingawa wameacha maumivu makali kwa ndugu zao.
 
Nilimshauri rafiki yangu, "achana na huyo mwanamke" Bahati nzuri alinielewa na maisha yanaendelea!

Ilikuwaje?
Jamaa wanaishi mikoa tofauti na mzazi mwenzake, (japo wamezaa watoto 2 lakini hawana ndoa), kutokana na distance jamaa akaanzisha mahusiano na binti fulani kitaa, binti penzi likamkolea akaamua kumzalia jamaa mtoto! (Akalazimika kujitetea mbele ya mkewe kwamba ameteleza tu) mke akasema poa, maisha yaendelee!

Jamaa katika pilika zake, akabaini kwamba mkewe/mzazi mwenzake analiwa na jamaa mwingine Dom akafanya uchunguzi binafsi na kubaini kuwa kweli mke anagawa uroda kwa mwanaume mwingine, kumuuliza mkewe akawa mbogo!
"Sina mwanaume wa kunichunga, kwani una ndoa na mimi?, hauna cha kunibabaisha, kama una maamuzi ya kufanya yafanye tu! Kwanza unajiona na wewe kidume wakati kutwa kubwabwaja tu"

Baada ya hayo maneno na mengine mengi niliyoyasahau jamaa akapata moto, na kutaka kumfuata huyo mke anakoishi, nikamwambia "Kaka, achana na huyo mwanamke, utaishia jela, japo ulimkosea kwa kuchepuka na kuzaa nje lakini nakushauri achana naye, ni either atakuua au wewe utamuua yeye" bahati nzuri jamaa alinielewa, baadaye alijipatia mwanamke wa Kigoma huko akaoa chap, (mke/mzazi mwenzake akashangaa tu jamaa anapost picha za ndoa na mke mwingine) akaanza mikwara ya nakupeleka ustawi wa jamii, sijui mahakamani jamaa akauchuna kimya! Alichofanya ni kulipa ada za watoto basiii, maswala mengine mama yao anamaliza (si alisema hatishiki wala hababishwi kwa kuwa ana mshahara wake??)

Baadaye mke aliyeachwa, akanitafuta "Shem naomba ongea na rafiki yako, akumbuke tulikotoka, mm nilimsamehe na yeye angenisamehe kwa kumcheat, tulee watoto wetu, maana hata jamaa niliyekuwa naye Dodoma, alishaoa alisema hawezi kuoa mtu mwenye watoto 2, nimebaki na upweke wangu"

Baada ya kumaliza kujieleza meeengi nikamwambia, "Mimi pia nilimshauri aachane na wewe ili usimuue wala yeye asikuue wewe, hii ilitokana na namna ulivyokuwa unamjibu hovyo mumeo, na kuonyesha wazi kuwa hana maana tRNA kwako, kwa hiyo ujue tu, kwamba hata mimi rafiki yake nilikunusuru wewe na yeye msiuane, hayo mengine mnaweza kuyaongea wenyewe kwa sasa kwa kuwa hasira zenu zimekwisha" ila ukumbuke yeye ni mume wa mtu!

Baada ya hapo, alikuwa very down na alipoondoka HAKUNITAFUTA TENA! and I didn't care kabisa! Wakati fulani ni bora kuamua tu haijalishi maamuzi yana matokeo ya namna gani!
Mnavyoandika humu vitu vya kubuni muwe mnafikiria mbali..ndugu wa marehemu tupo na tunaona kabisa mnavyotunga story kwa manufaa ya nani sasa
 
Kwamba unaua kwa sababu wanasema Bora mgawane mali au?

Oa mwanamke zaidi ya mmja hutowaza kuua na kanuni ya kutafuta mwanamke wa pili sharti awe tofauti na WA kwanza na unaoa sio kwa sababu unatelekeza ya awali bali kwa sababu unataka kufanya checks and balances..
Hahahaaaaaaaaa,mzigo+mzigo=!???

Sent from my TECNO PR651H using JamiiForums mobile app
 
Jamaa ni mpole Yani ulikua mpaka akuchape basi mmemuuzi sana na akitoa adhabu anatoa adhabu ya jumla Kwa wote na hiyo siku mtachapika mpaka siku utaiona chungu
 
unazaa mtoto wa kike. unamlea. anaenda kuolewa na jinga kama hili anauliwa kikatili namna hii. inaumiza sana.
Hapo kwenye kumlea sasa,ukimlea akiwa na janjajanja ya kuchepuka,muase awe singo madha,atakua salama.
 
Back
Top Bottom