gharama za PISI zipojeNiko uyole hapa napiga vyombo
Konyagi size ya kati bei 9,000/= wakati dar bei ni 11,000/=
Kitimoto kilo moja na ndizi mbili jumla 9,500/=
Lodge nzuri tu ina maji ya moto 15,000/=
Boda bei ni buku tu.
Kwa nini nisinenepe mwaka huu?
Sasa kijijini utampangisha nani chumba bei juu?Imagine rent nyumba ta vyumba viwili na sebule ,ndani ya geti,maji,umeme na fensi bei 70k.
Mbeya ni kijiji kikubwaSasa kijijini utampangisha nani chumba bei juu?
Mbeya bado kijijini tu.
Mjini Dar na kidogooo Arusha.
Ushahidi bei za pango vyakula n.k.
Du si mchezoSafari ya matumaini mkuu😂😂
Mkuu vipi bei ya totoz au hujafanikiwa kupata chimbo huko? Anayeifahamu Mbeya vizuri tafadhali atupe ramani ya machimbo.Niko uyole hapa napiga vyombo
Konyagi size ya kati bei 9,000/= wakati dar bei ni 11,000/=
Kitimoto kilo moja na ndizi mbili jumla 9,500/=
Lodge nzuri tu ina maji ya moto 15,000/=
Boda bei ni buku tu.
Kwa nini nisinenepe mwaka huu?
Wewe GWAMAKA USWEGE ukishakomenti kwenye uzi wowote basi lazima nisimalize kusoma komenti maana uwa nachukua kamusi nianze kufuatilia ni nini ulichoandika .Mbeya is a good example of how the rest of Tanzania ought to be. Fair rent, Food Security, Cheap Clothing Apparels, and Good Weather is a cherry on top.
Totoz class gani? Kama unata A class ni Mbeya Pazuri,City pub na kidogo Mwailubi. Kama unataka average hizo unazipata kwenye bar nyingi ila sio hiyo sehemu aliyoitaja mwenye srediMkuu vipi bei ya totoz au hujafanikiwa kupata chimbo huko? Anayeifahamu Mbeya vizuri tafadhali atupe ramani ya machimbo.
Ukijumlisha na UTI zao au?gharama za PISI zipoje
Semaa ubaya wa Mafiat kuchagua pisi ni mpaka utulie sana, usipokua makini unaweza kuokota grade z ukimuona asubuhi unamkataa 😂Totozi nenda mafiati kule
Asante kwa mchongo huu mkuu.Totozi nenda mafiati kule
Asante kwa koneksheni huu murua mkuuTotoz class gani? Kama unata A class ni Mbeya Pazuri,City pub na kidogo Mwailubi. Kama unataka average hizo unazipata kwenye bar nyingi ila sio hiyo sehemu aliyoitaja mwenye sredi
Mkuu acha utani kingani yote ile imejaa ukimwi 😂Totoz nenda Mbeya Pazuri au Nasoma, ila hawa wa buku buku wapo mtaa mmoja unaitwa Kingani semaa ndo mtaa mzima hewa nzito balaa, pale ukitulia utofautishe harufu zinazosikika lazima uhisi na harufu ya nyapu
UTI haiko Sexually Transmitted Disease (STD )Ukijumlisha na UTI zao au?
Tatizo pisi kali Mbeya ni wa kumulika na tochi...Pisi Kali bei gani
Ila nasikia wana mizigo ya kufa mtuTatizo pisi kali Mbeya ni wa kumulika na tochi...
Kwa Wanyakyusa ila makabila mengine shepu mbovu ukutane na Mmamalila, Mnyiha,Msongwe, M'bungu ama Msafwa. hamna kitu..Ila nasikia wana mizigo ya kufa mtu
Unawaza tumbo tu??🤣🤣🤣Niko uyole hapa napiga vyombo
Konyagi size ya kati bei 9,000/= wakati dar bei ni 11,000/=
Kitimoto kilo moja na ndizi mbili jumla 9,500/=
Lodge nzuri tu ina maji ya moto 15,000/=
Boda bei ni buku tu.
Kwa nini nisinenepe mwaka huu?