Mara ya Mwisho kwenda Mbweni ni lini....Masaki ina lami miaka mingi mkuu kutokana na hadhi yake...
Mbweni nayo lami haipo kila mahali bali barabara muhimu tu kama ilivyo kwa Mbezi Beach...
Pia kwa Dar kuna maeneo lami zinapelekwa kutokana na uwepo wa kiongozi au viongozi fulani...reference zipo nyingi tu
Kazi za ovyo sana. Uchafu mtupuHuko wanajua hakuna watu wenye hadhi kubwa wanaoweza kuhoji ndio maana wanajenga kwa kujiachia watakavyo. Huwezi kuta ujinga huu unafanyika ununio, mbweni nk. Nchi hii shida sana. Binafsi nimetokea kumchukia sana Mbarawa na watendaji wa TANROAD. Natamani Wizara ya UJENZI ingekuwa na waziri kama William Lukuvi, yule mzee angeshapita yeye mwenyewe kwenye hizi barabara zote za mbezi, mpiji, Makabe na Matosa na angewakimbiza sana hawa wababaishaji wa TANROAD. MBARAWA YEYE YUPO TU OFISINI AKISUBIRIA TAARIFA.
WIZARA HII INAHITAJI WAZIRI KAMA LUKUVI AU KAMA ILIVYOKUWA ENZI za Magufuli akiwa waziri, pia TANROAD INAHITAJI MTU KAMA NEHEMIAH MCHECHU
Mwaka huu wataweka baadhi ya mitaa Chief nishauona mkeka.Kuna kitu kinanishangaza Sana...ukienda Manzese Hadi vichochoroni kuna lami...ukienda Yombo kuna lami mitaani tu huko Buza Hadi vibarazani kuna lami...
Ukifika Mbezi Beach ukishatoka Bagamoyo road Tu ni vumbi juu ya vumbi...majumba makali ...eneo planned lakini barabara vumbi....wakati ukienda Mbweni JKT angalau kuna lami za mtaani kiasi lakini Mbezi beach vumbi vumbi.....yaani Manzese Hadi mto umepigwa zege.....
Kuna mtu anajua why???
Mbezi beach hawana mfumo wa maji taka ,watu huko hufaulisha maji takaMagufuli alipanga Kuweka Lami mbezi yote na kuweka mfumo wa Maji Taka...Eneo lilikua kijengwe pale Kilomgawima la kupokea maji taka..Posta pia ilikua ifumuliwe yote...Sasa sujui nn kunaendelea...
Mitaa yangu ya nyuma ya mango garden na kinondoni bwawani mkeka100% hadhi inapanda maradufu.
Hata mimi huwa sielewi mbezi beach pamoja na mikocheni ukiangalia barabara zilivyo na majumba ya kifahari yaliyopo maeneo hayo ni vitu viwili tofautiKuna kitu kinanishangaza Sana...ukienda Manzese Hadi vichochoroni kuna lami...ukienda Yombo kuna lami mitaani tu huko Buza Hadi vibarazani kuna lami...
Ukifika Mbezi Beach ukishatoka Bagamoyo road Tu ni vumbi juu ya vumbi...majumba makali ...eneo planned lakini barabara vumbi....wakati ukienda Mbweni JKT angalau kuna lami za mtaani kiasi lakini Mbezi beach vumbi vumbi.....yaani Manzese Hadi mto umepigwa zege.....
Kuna mtu anajua why???
Sina jungu hata moja ni masufuria tu kijana😂Punguza majungu 😅
Mikocheni wakitaka lami wavunje sehemu walizozidisha kujengaHata mimi huwa sielewi mbezi beach pamoja na mikocheni ukiangalia barabara zilivyo na majumba ya kifahari yaliyopo maeneo hayo ni vitu viwili tofauti
Ni mwendo wa kuuza BandariSasa sujui nn kunaendelea...
Hii ndiyo Kijichi jimbo la Mbagala Wilaya ya Temeke Maisha yanaenda kasi sanaKuna kitu kinanishangaza Sana...ukienda Manzese Hadi vichochoroni kuna lami...ukienda Yombo kuna lami mitaani tu huko Buza Hadi vibarazani kuna lami...
Ukifika Mbezi Beach ukishatoka Bagamoyo road Tu ni vumbi juu ya vumbi...majumba makali ...eneo planned lakini barabara vumbi....wakati ukienda Mbweni JKT angalau kuna lami za mtaani kiasi lakini Mbezi beach vumbi vumbi.....yaani Manzese Hadi mto umepigwa zege.....
Kuna mtu anajua why???
Kuna DMDP phase 3 inakuja, hivi kijichi siyo sehemu ya jimbo la Kigamboni?Mbona huo mradi umeacha Kigamboni?
Huwa mnapenda kudandia vitu msivyovijuwa na kumpachika mtu sifa asizostahili.Sio haba hata sie wa G'mboto uswazi Mwendazake alitujengea lami mpaka mlangoni, bila kusahau maji ya Dawsco. Toka ameenda mradi wa maji umesimama.
I guess chuma kilijua kina muda mfupi wacha kituhangaikie watu wa hali ya chini, hawa matajiri wa mbezi na kwingineko wata jisort akiondoka.
Kifupi ilikua awamu ya wanyonge.
MbagalaKuna DMDP phase 3 inakuja, hivi kijichi siyo sehemu ya jimbo la Kigamboni?
Hata kuamia Dodoma alipanga Nyerere ila kafanya Magufuli hivyo huna chakutuambiaHuwa mnapenda kudandia vitu msivyovijuwa na kumpachika mtu sofa asizostahili.
Mradi wa DMDP ni kazi ya Malaya Kikwete pamoja na daraja la Mfugale, ila utekelezaji umeangukia awamu ya tano.
Huu ujinga ndio mtasababisha watu wang'ang'anie Madaraka kwa kisingizio cha kumaliza kazi walizozianza, huu ujinga Magufuli na machawa wake walishauanza.
Mimi ni mjumbe wa project ya DMDP mtaani kwangu tulichaguliwa Kikwete akiwa Rais, hunidanganyi lolote kuhusu mradivwa DMDP.
Tena world bank wasingesimamia wenyewe hii miradi yao ungesikia imehamishiwa Chato.
Na bwawa la Nyerere anajenga Samia,na daranga la Kigongo Busisi anajenga Samia, na ameleta ndege ya cargo.Hata kuamia Dodoma alipanga Nyerere ila kafanya Magufuli hivyo huna chakutuambia